Dream to have a Country (Tanzania) without Mafisadi shall never die naikubali ila kuna probelm kubwa Watanzania lazima wakubali CCM imemaliza kuitafuna nchi na mafisadi wameimaliza CCM kama ilivyomalizwa KANU ya KENYA kwa 10% Kitu Kidogo like Eric Waina ina Songs Taifa la Kitu kidogo hii ndio njia CCM inakoipeleka Bongo Watanzania siku wakikubali maneno ya MWalimu Nyerere kuwa upinzani wa CCM utatoka ndani ya CCM basi Tanzania itakua na weak political parties like Kenya na hapo ndio Demokrasia itakapoanza kuota mizizi huwezi kuwa na Chama kinacho shika kial kitu , Court , Parliament , and state house hutoweza kuondoa mafisadi milele , Watanzania lazima wawape Wapinzani nguvu ya Bunge kuwapa majority na hapo ndio Wafisadi watakapokuwa challnged with out that itakuwa Wadumu mafisadi milele , na Idumu CCM kwani Kenya imetoka huko huko kwenye Powerful KANU na sasa iko kwenye transition ya kujibadilisha hakuna mwenye nguvu zote Kenya mda huu.
Kwa wale wanaotaka Zanzibar iwe mkoa Nafikiri kuna wengine watasema Kigoma iunganishwe na Burundi kwani Waha pia wako Burundi na ni nchi ndogo Pia Rwanda iwe Mkoa wa watanzania hapa ndipo Kila mtu atakapowaogopa Watanzania kwani East African community Zanzibar lazima ipewe uwakilishi kama Burundi na Rwanda licha ya ukubwa au udogo wake kwanini Watanzania hawakupewa nafasi mbili kwenye Jumuia kwa vile ni nchi kubwa kuliko RWanda au Burundi na ina population kubwa kuliko Rwanda yenye 8.5 Millions wakati Tanzania ina watu milioni Sitini vipi iwe na stautus sawa na Rwanda au Burundi ?
Kwa wale wanaotaka Zanzibar iwe mkoa Nafikiri kuna wengine watasema Kigoma iunganishwe na Burundi kwani Waha pia wako Burundi na ni nchi ndogo Pia Rwanda iwe Mkoa wa watanzania hapa ndipo Kila mtu atakapowaogopa Watanzania kwani East African community Zanzibar lazima ipewe uwakilishi kama Burundi na Rwanda licha ya ukubwa au udogo wake kwanini Watanzania hawakupewa nafasi mbili kwenye Jumuia kwa vile ni nchi kubwa kuliko RWanda au Burundi na ina population kubwa kuliko Rwanda yenye 8.5 Millions wakati Tanzania ina watu milioni Sitini vipi iwe na stautus sawa na Rwanda au Burundi ?