gwaride lazima liwepo,ili kukuonyesha wewe mnyonge kwamba jeshi lao liko imara,kwa hiyo usiwe na akili ya kujikomboa kwa namna yoyote ile,labda baada ya miaka 100.mimi tatizo langu ni hili
hivi hakuna njia nyingine ya kusheherekea bila magwaride????????????
hivi ku celebrate mafanikio ya nchi ni kufanya gwaride only??????????????
Nilijua tu PJ mie nilivutiwa na gwaride tu na si vingine bwana ...Sioni uzuri wa gwaride kama jeshi letu lipo kwaajili ya kwenda kuvamia Komoro unnecessarily, kisa urafiki wa JK na Osambi!....sioni..not me!
Nani hao hawautaki tena?
kwa nini raisi hakutoa hotuba?wangembana raisi wa zanzibar ahutubie
Nilijua tu PJ mie nilivutiwa na gwaride tu na si vingine bwana ...
kwa nini raisi hakutoa hotuba?wangembana raisi wa zanzibar ahutubie