YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,596
- 37
Vunja Zenj tubaki na serikali moja!
Gharama za uendeshaji zitapungua na tutakuwa na umoja wa ukweli!
Mkuu,Vunja Zenj tubaki na serikali moja!
Gharama za uendeshaji zitapungua na tutakuwa na umoja wa ukweli!
Kula tano hapo!! Hiyo ndio njia pekee murua zaidi na sahihi kuboresha UMOJA WETU WA KITAIFA.
Wao waki-dictate sawa, sisi hatuna haki...mhh!! Sounds like double standard!Nafikiri tatizo hasa linaloukabili Muungano wetu ni hili la sisi huku bara ku-dictate kila kitu kinachohusu muungano na tumeacha ku-negotiate na wazenj. Hiki ndio chanzo cha msuguano uliopo na wazenj. Tusisahau kuwa huu ni muungano wa equal members; Tanganyika na Zanzibar.
Wao waki-dictate sawa, sisi hatuna haki...mhh!! Sounds like double standard!
Anyway, kama kweli umoja unahitajika either tuwe na serikali 3 (impractical) au tuwe na moja (practical). Hatuhitaji kuwa na nchi mbili, hilo ni kosa tangu enzi za Nyerere na ni vema likarekebishwa. Ila wazenj sometimes huwa wananiboa kwa ulalamishi usio na tija!
mitego na ujanja wa Njerere na Wa Tanganyika wa kulivunja Taifa la Jamhuri ya Watu wa Zanzibar iliwashinda hadi Mr Julius mZee wa aZimio La Arusha wa siasa za Ujamaa na kujitegemea ilifikia wakati wa kifo chake na styl hakufanikiwa kuli Vunjaaa Taifa La wa Zenji...Wa Zanzibari Taifa lao litakuwepo hadi mwisho wa Dunia hiiii na wataji tambulisha na ku Proud kama wao ni Wa Zanzibari na walipata uhuru wao kutoka kwa muengereza British monarch on December 1963!!! Wa Zanzibari Agenda yao na mipango yao mikubwa ni kulirudisha Taifa lao kama lilivyokuwa hapo zamani before ya kuvamiwa na wa Tanganyika katika Nchi yao na Mipaka yao!!!!!! wa Zanzibar watarudisha Taifa lao kamili na kiti chao ndani ya United Nation (UN) KAMA Ilivyokuwa hapo zamani kabla ya kufanya Muungano na Tanganyika!!! Ni mambo kidogo tu na machache waliyobakisha Wa Zanzibar Kulirudisha Taifa lao Kamili na DOLA yao UHURU...Wafuatiliee Habariiiiii Zao Upate kuchemsha Bongoooo:A S-alert1:Vunja Zenj tubaki na serikali moja!
Gharama za uendeshaji zitapungua na tutakuwa na umoja wa ukweli!
Eti nisaidieni,au Tanganyika ndio Tanzania? Hapana,Tanzania ni acronym ya majina mawili,Tanganyika na Zanzibar.Sasa mbona Zanzibari bado inaishi!!,tanganyika siioni!!
Hata ktk mashindano ya soccer ya challenge yanayoendelea,mbona timu ya Zanzibar jezi zake zimeandikwa ZANZIBAR na timu inaitwa zanzibar? Timu ya bara inaitwa kilimanjaro staz,jezi zake hazijaandikwa jina la nchi,kili staz inawakilisha nchi gani?kwa nini zisingeandikwa Tanganyika? au tanganyika imekufa? Sasa si zingekufa zote Zanzibar na Tanganyika! Au mnaonaje linapokuja swala la pande hizi mbili za muungano kushiriki kila moja kivyake kama ilivyo ktk soccer,tutumie bara kwa upande mmoja na visiwani kwa upande wa pili,hata jezi zionyeshe hivyo.Kuna nini hapa chafichwa?Mie nabata ushungu.
..kwanza tuvunje muungano, halafu turejeshe Tanganyika.
..kuirudisha Tanganyika ndani ya muungano, kutatuongezea gharama za uendeshaji serikali.
..wa-Tanganyika tutalazimika kuhudumia serikali ya Tanganyika, pamoja na ile ya Muungano.
..kumbuka kwamba tutalazimika kuwa na bunge la muungano, na bunge la Tanganyika.
..juu ya hayo wakati mwingine SMZ wanakuwa so irresponsible kiasi kwamba huacha kulipa madeni yao kwa mashirika kama Tanesco, na pia kulipa watumishi wa serikali "tarehe 45 ya mwezi." katika mazingira kama hayo wa-Tanganyika hulazimika kuchukua mzigo wa gharama za kuendesha SMZ.
..narudia: rudisha Tanganyika; vunja Muungano; imarisha mahusiano na Zenj kupitia East African Community.
Wao waki-dictate sawa, sisi hatuna haki...mhh!! Sounds like double standard!
Anyway, kama kweli umoja unahitajika either tuwe na serikali 3 (impractical) au tuwe na moja (practical). Hatuhitaji kuwa na nchi mbili, hilo ni kosa tangu enzi za Nyerere na ni vema likarekebishwa. Ila wazenj sometimes huwa wananiboa kwa ulalamishi usio na tija!
Mistari miwili ya mwisho brother you are right.
Laiti ukikaa na Wazenji, huwa wanaona kama wao ni koloni la Tanganyika,
Huona kama Tanganjika sory Tanzania bara ni kikwazo kwa wao kufanikiwa ktk mambo yao hasa kiuchumi.
La msingi atokee rais jasiri aanzishe mchakato wa kuuvunjilia mbali muungano kama kushirikiana tushirikiane tu kila nchi itakapokuwa kivyake.
Wazenji wanalalamika mno bana.
Duh! Hili la Zanzibar kuwa mama una hakina nalo? Na huyu Baba sasa naona kwa kumkosa mama anatafuta la witi kwa mababa mengine (Kenya na Uganda.
WAZAZI WETU 'JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA' NA 'ZANZIBAR', KUISHI HUKU KAMA VIMADA MPAKA LINI???
Nimependa sana hilo!!
Ni hapa JF tu ndiko tunakodiriki si kulitaja tu jina Tanganyika bali hata kulifanyia uchambuzi wa kina.
Kwa kwaida Serikali ya Ubia Kati ya Mheshimiwa Tanganyika na Mheshimiwa mwenzake Zanzibar (Baada ya kuzaa jina zuuuuuri duniani la Mama yetu Tanzania basi ni vema wakaishi CHUMBA KIMOJA KWA KILA NYANJA YA MAISHA.
Kweli kabisa kama waliamua kwa hiari yao kuoana basi ni vema kuonekane maisha ya kifamilia wanaoishi kwa kuvumiliana katika shida na raha.
Kwetu sisi vijana hatufurahishwi kuendelea tu kuishi bila hata kujua mzazi wetu mwingine aliendaga wapi zaidi tu ya kuhadithiwa kwamba asubuhi moja alipokwenda sokoni hakurudi tena nyumbani.
Kama Tanganyika alikufa basi katuonyesheni kaburi lake ili tukubaliane na matokeo. Na kama kageuka MSEKULE nako tuambiwe ili tukasali dua na rozari na kumrudisha katika hali ya kawaida.
Kitendo cha sisi kulazimika kuishi kama yatima miaka nenda rudi katika jumba hili zuri liitwalo Tanzania kamwe halitufurahishi. Maana maisha tunayoyaona sisi watoto kati ya Mama yetu wa Kambo Zanzibar na Mzazi Tanzania ni kama maisha ya KUWEKA KIMADA VILE.
Iweje kwamba wameona na kila siku majirani wanatuambia kwamba mama mdogo Zanzibar bado anakilipia chumba chake cha ujanani kule mtaa wa pili na hata vyombo vyake vya kulala, samani na vile vya kupikia anavitunza tu hukohuko LAKINI nako hapa nyumbani akija anadai chumba cha baba yetu ni halali yake???
Jamani siku hizi maradhi ni mengi sana na mzazi pekee tuliobaki naye ni Baba yetu Tanzania ambaye tukimpoteza ndio basi tena, hivyo tunamuomba mama yetu mdogo Zanzibar chagua kukaa na Baba moja kwa moja kama mke na mume na kwa kuzingatia heshima ya ndoa maana sisi vijana wenu tumeshakua watu wazima na mnapoishi KIUJANJA UJANJA hivi wenzenu huzuni hauishi moyoni na hasa tunapomkumbuka mama yetu Tanganyika ambaye hajulikani aliko hadi leo hii.
Viwili katu haviwezi kuwa kimoja hasa ikiwa miundo na tabia ni tofauti kama ilivyo Tanganyika na Zanzibar!Vunja Zenj tubaki na serikali moja!
Gharama za uendeshaji zitapungua na tutakuwa na umoja wa ukweli!
Mkuu,
Unaelewa kuwa zenj wamefanya mabadiliko ya katiba yao?
Inakubidi uyapitie,uyasome uone kama wako tayari kuvunja Zenj.
Zamani kipengele kimoja kilikuwa kinasomeka Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Sasa hivi kinasomeka Zanzibar ni moja ya kati ya nchi mbili zilizounda Muungano wa Tanzania.
Kauli ya Pinda ndiyo iliyopelekea mabadiliko hayo, sasa hii yako sijui itawafanya waje na nini.
Jitahidi uyatie maneno yako katika kinywa cha Pinda, halafu yeye ayaseme kule bungeni halafu usikilize wazenj watakavyopiga taarabu.
Wao waki-dictate sawa, sisi hatuna haki...mhh!! Sounds like double standard!
Anyway, kama kweli umoja unahitajika either tuwe na serikali 3 (impractical) au tuwe na moja (practical). Hatuhitaji kuwa na nchi mbili, hilo ni kosa tangu enzi za Nyerere na ni vema likarekebishwa. Ila wazenj sometimes huwa wananiboa kwa ulalamishi usio na tija!
Mistari miwili ya mwisho brother you are right.
Laiti ukikaa na Wazenji, huwa wanaona kama wao ni koloni la Tanganyika,
Huona kama Tanganjika sory Tanzania bara ni kikwazo kwa wao kufanikiwa ktk mambo yao hasa kiuchumi.
La msingi atokee rais jasiri aanzishe mchakato wa kuuvunjilia mbali muungano kama kushirikiana tushirikiane tu kila nchi itakapokuwa kivyake.
Wazenji wanalalamika mno bana.
Tunaukaribisha uhuru wa Tanganyika kwa mikono saba.