NDUHIJE.com
Member
- Feb 28, 2014
- 28
- 0
Alaf kumbk wanaotak kuvnj muungano ni chadem co ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaf kumbk wanaotak kuvnj muungano ni chadem co ccm.
Yani unauliza nisheria gani itakayo piga marifuku wazanzibar kumiliki ardhi Tanganyika wakati kunasheria inayowazuiya watanganyika ardhi zanzibar. We ngoja Serekali ya Tanganyika Itakapo kuja na kimbunga 2.0 na wazanzibar, wakenya, watwanda wote wahamiaji haramu.
![]()
![]()
![]()
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.
Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".
Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:
1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.
-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.
2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.
-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.
3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.
-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?
4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.
-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????
Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?
Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.
Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.
Muungano uvunjwe, binafsi sioni faida yake
Muungano uimarishwe kwa lengo la kuzuia vurugu za upemba uunguja na uarabu
Ngoja CDM wachukue Tanganyika na CUF wachukue Zanzibar
Wazo lako litatimia kwa mkataba lakini/shirikisho
Asiependa muungano aame nchi. Cc ni watanzania hakuna mtanzania bila tanzania.
Unatuusu mini watanganyika
uvunje kabsaa hautusaidii watanganyika kabsaa.[/QUqaOTE]
haMfaidiki but hamtec action and no reaction coz imekua km niaibu mtu kujiita MTANGANYIKAA na badala yake tunajisingizia UTAnzania bara aibuuu.
TANGANYIKA BADO IPO NA ITASIMAMA TUUU HATA KIWETE HUA NA MBIOOO