Ok muungano sio hoja hoja ni muungano upi unafaa serikali ngapi ,Kwa nini wenzetu wawe na Raisi Bunge nk inamaana sisi tunajipendekeza au Shida yetu kisiwa au Tunanufaika na nini?
 
Alaf kumbk wanaotak kuvnj muungano ni chadem co ccm.

ccm wataulinda muungano,wa serikali 2, kwa gharama yoyote hata kama kugawa nusu ya ardhi kwa zanzibar! bila serikali 2 ccm haitashinda zanzibar, na bila serikali 2 viongozi wabovu hawawezi kuingia ikulu magogoni! zanzibar wamepata mafuta na gesi utegemezi wao kwa bara bye bye! viongozi bara wanawahitaji wajumbe wa nec toka zenj kupitisha mambo yao! ngoma hiyo, upo?
 
Hayo co mawaz yko mbna maelz umetoa kama ya pandr aliyefukuzwa kaz dr weapon??!! Mnaundugu!??
 

kutaka serikali tatu sio kuvunja bali ni kuuimalisha..
 
"Tungejua kama hali ya aina hii itajitokeza, basi tungeanza na kura ya maoni, tungewauliza wananchi kama wanautaka muungano na kama ndiyo, basi uwe wa aina gani au serikali ngapi, mtu angesema moja, mbili, tatu na kadhalika," alisema Pinda jana kwenye Viwanja vya Bunge mjini hapa.
 

Muungano uvunjwe, binafsi sioni faida yake
 
Asiependa muungano aame nchi. Cc ni watanzania hakuna mtanzania bila tanzania.



jeee kuna TANZANIA. BILA YA KUWA NA TANGANYIKA NA ZNMANZIBAR?
Acha kubwabwaja kama hujui kasome kwanza.
wewe hunatofaut na yule aluesema TANZANIA ni muungano wa PEMBA NA ZIMBABWEEE!!!!!!!
 
Jibu ni tusiuvunje, tuuboreshe.
Lakini hatuwez kuuboresha kwa S2 tutabaki palepale. Suluhisho ni S3 jambo S1 ingekuwa bora zaidi ila wenzetu kule Ungaja et al Pemba hawataki kusikia hiyo S1.
 
Unatuusu mini watanganyika

hamjijui watanganyika coz kukumbatua ilo jina tu la Tanzania ni wazi kua ninyi ni wadumishi wa muungano. jiulizr nini abbrive ya TAN and ZAN
Au wew wajua hilo no jina la babu yako?
mo kila siku nashanhazwa na baadh ya watanganyika easiojielewa wanakataa muungano but still wanajiproud to be Tanzanian. shame on you
proud ur NATIONALITY LOV UR TANGANYIKA NA USIWE MTUMWA WA TANZANIA BARA!!! BARA KUNA ZNZ .
SHAME ON YUO BABA
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…