Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Zanzibar sio ma mtu ya kuungana nayo sema basi tu tuliukuta huu Muungano
 
Mzanzibar ni mtanzania lakini si Kila mtu wa bara ni mzanzibari.
Unapiga kelele kukusanya mapato wakati Rais wako ni Mzanzibar!
 
Yusuph Mwenda said Mzanzibari ni mtu wa Mbeya , aliwahi kuwa Diwani wa Mikocheni na meya wa Kinondoni, Znz aliteuliwa tu , tuwe na taarifa walau kdg ndio tulalamike
 
Punguza ubaguzi ndugu Yussuf Juma Mwenda ni mtu wa Tanganyika amewahi kuwa meya wa Manispaa moja hapa Dar es salaam aliazimwa Zanzibar kwa kwenda kuisuka Mamlaka ya mapato ya huko visiwani tu sasa amerudi kwao.
 
Yani mambo yanavyoenda hovyo sana sana mzanzibari anaendaje kuwa mkusanya mapato TRA watuambie ZRA watananyika wapo wangapi ?
Hii ni mbinu ya kupenyenza wa Zanzibari wengi TRA kwenye ajira.
Usiwe na wasiwasi

Hawana impact , by the way Mwenda ndio alikuwa Mamluki kule Zanzibar. Hakuna Mzanzibar anaeitwa mwenda 🤣
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye mada, Raisi wa Tanzania ana mamlaka yapi Zanzibar? Na kama yapo, basi kusiwepo na Raisi wa Zanzibar ila Mkuu wa mikoa ya Unguja, Pemba na Mafia.

Pili, Kwa Nini Mh. Samia aitwe Raisi wa Muungano wakati Muungano wenyewe Kuna Raisi wa iyo nchi ilioungana na anaitwa Raisi wa Zanzibar, na kama raisi yupo wa Zanzibar, Waziri mkuu wake ni nani?

Natafakari
 
Mafia haiko Zanzibar mkuu, ni moja ya wilaya ya Pwani.
 
Safari hii mmeshikwa haswa.

Nadhani vilio vya Zanzibar vya miaka yote nanyi mmeanza kuvitoa mdogo mdogo.

Zanzibar wapewe nchi yao na Watanganyika wapewe nchi yao hizi kelele zisizo eleweka zitakoma bila kufanya hivyo tunapoelekea ni kuanza kuchinjana.

Yale yale ya Rwanda watutsi na wahutu.
 
Safari hii mmeshikwa haswa.

Nadhani vilio vya Zanzibar vya miaka yote nanyi mmeanza kuvitoa mdogo mdogo.

Zanzibar wapewe nchi yao na Watanganyika wapewe nchi yao hizi kelele zisizo eleweka zitakoma bila kufanya hivyo tunapoelekea ni kuanza kuchinjana.

Yale yale ya Rwanda watutsi na wahutu.
Utamchinja nani na kwa lipi?
 
Kama Mama Samia ni Raisi wa MUUNGANO wa Tanzania, Raisi wa Zanzibar ni Raisi wa nani? Na kazi yake iko wapi pale kama nchi hizi zimeungana?
 
Kama Mama Samia ni Raisi wa MUUNGANO wa Tanzania, Raisi wa Zanzibar ni Raisi wa nani? Na kazi yake iko wapi pale kama nchi hizi zimeungana?
tumeungana na zanzibar kwenye mambo maalumu na sio mambo yote.

Hivyo Rais wa tanzania ni raisi wa zanzibar pia kwa yale ambayo tumeungana.
 
Back
Top Bottom