Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 129
"Karume baba alitumia raslimali za taifa kunufaisha watu, mchango mkubwa ukitokana na karafuu, zao ambalo zaidi ya asilimia 90 ya uzalishaji wake hutegemea kisiwa cha Pemba.
Hadi anauawa, Zanzibar lilikuwa moja ya mataifa machache, ingawa ndani ya Muungano, yaliyokuwa na fedha nyingi za kigeni na uchumi unaokua na kuimarika. Itakumbukwa ni kipindi hicho, Zanzibar iliikopesha fedha Bara."
Hadi anauawa, Zanzibar lilikuwa moja ya mataifa machache, ingawa ndani ya Muungano, yaliyokuwa na fedha nyingi za kigeni na uchumi unaokua na kuimarika. Itakumbukwa ni kipindi hicho, Zanzibar iliikopesha fedha Bara."