Mimi sioni kosa la maelezo ya Pinda hata kidogo isipokuwa katumia lugha ambayo wengi wameshindwa kuitafsiri..
Ni kama hivi,
watu wawili waliofunga ndoa yaani Mume na Mke.. Unauliza swali kuwa kuhusiana na mmoja (martial stutas) kama anatambulika kuwa ni single.. Na mkuu Pinda kajibu hapana - sio single - Maadam Zanzibar bado kaivaa pete, yupo ktk sheria za ndoa basi bado ni mke/mme wa mtu (married).
Kwa hiyo unaweza kuona ujanja aliotumia kujibu hoja ambayo haikujieleza zaidi ya kuhoji, mbona mke/mme huyu ana kazi yake ana account yake na hata nyumba kwa jina lake?...kwa nini asiwe single!.. well ukweli ni kwamba Zanzibar sio nchi kwa tafsiri ya nchi ila ni sehemu ya nchi inayoitwa Tanzania..that is the fact.
States zote za Marekani ziliungana kuunda nchi moja inayojulikana leo kama USA, huwezi kuuliza kama New York au California ni nchi..
Swala la Utawala kama kuwa na rais ni makubaliano tu ambayo kesho tunaweza sema toka leo Tanzania haitakuwa na rasi isipokuwa waziri mkuu.. Kwa kufanya hivyo hatuwezi kupoteza hadhi ya kuwa NCHI kwa sababu hatuna rais.
Ni kama hivi,
watu wawili waliofunga ndoa yaani Mume na Mke.. Unauliza swali kuwa kuhusiana na mmoja (martial stutas) kama anatambulika kuwa ni single.. Na mkuu Pinda kajibu hapana - sio single - Maadam Zanzibar bado kaivaa pete, yupo ktk sheria za ndoa basi bado ni mke/mme wa mtu (married).
Kwa hiyo unaweza kuona ujanja aliotumia kujibu hoja ambayo haikujieleza zaidi ya kuhoji, mbona mke/mme huyu ana kazi yake ana account yake na hata nyumba kwa jina lake?...kwa nini asiwe single!.. well ukweli ni kwamba Zanzibar sio nchi kwa tafsiri ya nchi ila ni sehemu ya nchi inayoitwa Tanzania..that is the fact.
States zote za Marekani ziliungana kuunda nchi moja inayojulikana leo kama USA, huwezi kuuliza kama New York au California ni nchi..
Swala la Utawala kama kuwa na rais ni makubaliano tu ambayo kesho tunaweza sema toka leo Tanzania haitakuwa na rasi isipokuwa waziri mkuu.. Kwa kufanya hivyo hatuwezi kupoteza hadhi ya kuwa NCHI kwa sababu hatuna rais.