Wewe hujui unafikiri kitu gani na unachokiandika sicho ulichokipanga inaonyesha una mgongano wa mawazo na huna coordinasheni ,
Sasa hebu nipe majibu.
1 ) Zanzibar ni kitu gani ? Mkoa ,wilaya,tarafa kata ,jimbo au sehemu ?
2 ) Nani aliwapa nguvu waasisi hao kuunganisha Nchi bila ya ridhaa zaW/nchi?
3 ) Hakuna Muungano kama Nchi zinazoungana hazipo ,ndio ukaona ili kuwepo na Muungano basi inahitajika serikali ya Tanganyika ,huu ni Muungano feki uliojaa mazabe .
4 ) Hakuna mZanzibari anaetaka Zanzibar iwe Nchi kwani haijawahi kutokuwa si Nchi.
5 ) Zanzibar ina maamuzi yake ,Raisi ,Mawaziri ,mahakama na Baraza la wawakilishi.
6 ) Suala unalolizungumza halipo kwani halijatolewa kauli na kuthibitishwa rasmi.ni waZiri Mkuu ambae anakurupuka kwa tiketi ya CCM na sio kama Waziri Mkuu maana tumesikia anapozungumza kama Waziri mkuu huwa analikwepa suala hilo ,huzungumza kama CCM ili kuwatosa wahafidhina si unafahamu wana matatizo tokea walipopigwa na chini kule Butiama.
7 ) Damu itamwagika naona umekwenda mbali hivi kitu gani na nani atamwaga damu kwa ajili ya nini ?
8 0 Mjadala huu upo kwa lengo la kisiasa ,unafahamu tokea wahafizina wamchafulie Kikwete kule Butiama na kumwambia awarudishie ASP yao hadi leo mambo hayajakaa sawa na katika gazeti moja la juzi Wahafidhina wa Zanzibar walisema wanahisia za wenzao wa bara kuwawekea ngumu kwa matatizo yale yaliotokea Butiama ,sijui kama uliliona hilo.
Hapa hakuna kundi wala kikundi ila kuna Muungwana na akina kaka kazi wake wa Butiama na kikundi cha Karume ambavyo vimo katika mapambano ya vita vya maneno na kila mmoja anataka kujionyesha kuwa yeye ndio Superior kuliko mwengine ,nani atapwaya ,hatujui ila muda ndio utakaotuwekea mambo waziii.
Naombeni mnisaidie, hv United States of America ilikuwaje kuwaje..?? Au uliundwaje..!!..?? Na pia, ni nchi ziliungana au ni majimbo au ni kata..??
Second, hv kama ile mipango ya kina Nyerere na Kwame Nkurumah ya kuleta United States of Africa ingekuja, na kukachaguliwa rais mmoja then Tanzania ingeitwaje..?? Jimbo au Nchi..??
Third, hv United Kingdom i.e. London ilianzaje..??
Mimi naomba majibu then ndio nitoe comments..!! As bado niko na maswali haya kichwani mwangu...!!