Mkuu MO,
Unajua ndugu yangu katika taifa kama letu na mazingara ya uongozi wetu na siasa kwa ujumla, unapopata angalau kidogo kinacho-make sense, basi unashukuru, maana kumbuka wangeweza kunyamaza kimyaaa, au wangeweza kuleta mauza uza kibao,
Lakini kwa kusema watatafuta maoni ya wananchi, angalau sisi wananchi tunaweza kuwafuatilia kwa makelele, si unakumbuka Hosea alivyosema kuwa Richimonduli haikuwa na noma, sasa si unajua kuwa anasubiri hukumu ya Waziri Mkuu, kutokana na mapendekezo ya wabunge kuwa aondolewe, pole pole mkuu, as a nation we are making progress, ingawa sio kwa kasi ambayo wengi hapa tungeitaka!
Sasa Mkuu hapa unajua kabisa tuna discuss the inner workings ya haya masuala. I repeat there is no need for all this craziness and rubbish amateur moves being done. U have to remember we are talking about human lives that might be lost because of one reason and one reason only:: Indecisive character za mkuu.
Watu wa CUF walikuwa wameshapowa na dhuluma walizotendewa kwenye uchaguzi. Sasa hawa viongozi wetu wanacheza chess lakini wote ni amateurs wameleta issue ya kura ya maoni?/ The moment U start talking about voting in a climate like Zanzibar trust me, trouble is just around the corner.
So let me ask::::
Kura za maoni ni binding???
Nani mwenye madaraka ya kuitisha kura za maoni??
Tume ya uchaguzi imeambiwa nini??
Yaani hata Karume ameweza kumshinda mkuu wa kaya kwenye issue hii, kwa kweli tumekwisha.
So CUF unadhani imewekwa kwenye position gani na hili??
CUF uongozi wao umekubali in good faith maamuzi ya mjadala uliocost nchi yetu billions, leo wanaambiwa never mind, tunataka kura za maoni!! Unafikiri wananchama wa CUF watawaona vipi viongozi wao??
We shall see plenty kwenye hivi vicircus vyetu vya kujitakia.
U either believe in something and do it, or U keep quiet.
JF, naomba watu wa IKULU wapewe maoni kuwa mkuu wa kaya aanze zile safari zake maana kumbe akikaa hapo magogoni ni even worse.