Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
CCM imezidi kujimaliza huko Zanzibar ,hivi sasa wanasema waliopinga wazo la serikali ya mseto sio wanaCCM kutoka Zanzibar bali ni wabara kwani kumbukumbu zinaonyesha ,maamuzi ya CCM bara ndio yanayosimamia mambo yote yanayofanywa na CCm Zanzibar kwa mafano ambao ni hai ni wa huyu raisi wao Karume wanavyosema kwamba hawakumchagua na alikuwa ni wa mwisho katika kutafuta nani akamate uraisi wa Zanzibar ,na walipofika Dodoma CCM bara ikayapangua na kuwapangua wote na kumueka kibaraka wao wanaemtaka ambae ni Karume mtu aliekuwa hakupata hata ridhaa za wanachama wenzake kutoka Unguja hivyo utaona ,CCM Bara wamewagawa wanaccm na wanawatawala na kuwaendesha wanavyotaka.
Ikumbukwe tu Wazanzibar fujo wanaliweza hata ikibidi wapoteze roho zao lakini wakiamua na viongozi wa CUF wakajifanya kama hawaoni basi hawa kina Karume hawachukui hata muda kukaa ila watapanda boti na kuja kujificha Bara kama walivyofanya katika uchaguzi uliopita.tusidanganyane inajulikana wazi kuwa Wazenji wote chama chao ni CUF hakuna cha mpemba wala waunguja ila wamekaliwa na nguvu za dola ,na leo nimesikia wakimpa salamu Kikwete aanze kutayarisha polisi na majeshi mambo tayar au msimu tayari na wengine wanasema zamu yake ya kuja kuwaua wazanzibari ishafika.
Ikumbukwe tu Wazanzibar fujo wanaliweza hata ikibidi wapoteze roho zao lakini wakiamua na viongozi wa CUF wakajifanya kama hawaoni basi hawa kina Karume hawachukui hata muda kukaa ila watapanda boti na kuja kujificha Bara kama walivyofanya katika uchaguzi uliopita.tusidanganyane inajulikana wazi kuwa Wazenji wote chama chao ni CUF hakuna cha mpemba wala waunguja ila wamekaliwa na nguvu za dola ,na leo nimesikia wakimpa salamu Kikwete aanze kutayarisha polisi na majeshi mambo tayar au msimu tayari na wengine wanasema zamu yake ya kuja kuwaua wazanzibari ishafika.