Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Hii habari niliirusha jana usiku na kuiweka picha nashangaa Mtu wa pwani ameirudisha na kejeli,sasa mnaboa na kuanza kufanya mambo ya ajabu ajabu au hapa pia ni ukumbi wa mafisadi katika rangi nyengine. Inabidi tuumbuane kwa ujinga huu wa kuondoa mada na kuileta tena , kama mletaji wa kwanza alikuwa hafai basi hata huyu wa pili hafai maana mada au habari ilkuwa na kichwa cha maneno sawa tofauti ni picha ya Katibu wa hicho Chama cha CUF. kwa wale waliobahatika kuiona mada hii nilipoileta hata haijatolewa kwenye magazeti wataikumbuka hii picha niliyoiweka na watasema kweli ikiwa ni wasema kweli.
Sasa Moderator suali ni kwako nipe sababu ya kuiondoa mada na halafu kuileta tena niandikie japo pembeni ili mara ya pili nifuate sheria kama zipo.
Jamaa wa JF mfuata sheria MWIBA.
Sasa Moderator suali ni kwako nipe sababu ya kuiondoa mada na halafu kuileta tena niandikie japo pembeni ili mara ya pili nifuate sheria kama zipo.
Jamaa wa JF mfuata sheria MWIBA.