Kipunguni
Senior Member
- Jun 20, 2008
- 151
- 4
Kutakuwa na kikao maalum kesho Zanzibar. Kikao hicho kitahudhuriwa na viongozi wa CCM Bara na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Kikao hicho kina muelekeo wa kuzungumzia masuala ya muungano.
Je, tutarajie chochote kipya?
Wazanzibari "wataburutwa" tuu .... Bara haiwezi kuvunja Muungano na kuwaachia mafuta.