Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Pinda ameshavurugia wahafidhina mambu yao,sasa wanaemda kumsakama ,tuone Butiama V/s Unguja. Sijui nani anaenda kumuomba razi nani ?
Na vikao kama hivi mara nyingi huizamisha CCM haswa kwa siasa za Zanzibar ambazo wananchi wake huwaga wananunua ubishi.Lolote litakaloamuliwa na CCM huko basi halikubaliki kwenye vichwa vya waZanzibari kama wasivyokubalika jinsi mafisadi wanavyorudisha feza.
Mwaka huu wananchi wa pande zote mbili za Muungano wako macho ,wacha mafisadi wavuke ,mito maziwa na bahari lakini mambu ya kuiba na kula hazina ya Taifa imefikia mwisho ingawa mafisadi wamekodolea macho mafuta ya Zanzibar lakini hila na njama zinajulikana kwani mafisadi wanajipanga kikao cha mkao wa kugawana.
Tatizo mafisadi wa Unguja hawakupata kumega vyanzo vya feza huku Tanganyika sasa wamekuwa wakali kuona mafisadi kutoka bara wananyatia vyanzo bikira huko Zenji.
Hapa hakuna tatizo la Muungano wala Zanizibar ni nchi au si nchi ,naomba tusizinguane ,lipo jambo kwani ukiangalia utaona mabishano hayakuanza kwa CCM na CUF bali ni huko huko upande wa CCM baina ya mafisadi na Wahafidhina ila CUF alijibanza kati na kusema aliyosema akijua sivyo inavyotakiwa lakini ndio siasa zilivyo.
Na vikao kama hivi mara nyingi huizamisha CCM haswa kwa siasa za Zanzibar ambazo wananchi wake huwaga wananunua ubishi.Lolote litakaloamuliwa na CCM huko basi halikubaliki kwenye vichwa vya waZanzibari kama wasivyokubalika jinsi mafisadi wanavyorudisha feza.
Mwaka huu wananchi wa pande zote mbili za Muungano wako macho ,wacha mafisadi wavuke ,mito maziwa na bahari lakini mambu ya kuiba na kula hazina ya Taifa imefikia mwisho ingawa mafisadi wamekodolea macho mafuta ya Zanzibar lakini hila na njama zinajulikana kwani mafisadi wanajipanga kikao cha mkao wa kugawana.
Tatizo mafisadi wa Unguja hawakupata kumega vyanzo vya feza huku Tanganyika sasa wamekuwa wakali kuona mafisadi kutoka bara wananyatia vyanzo bikira huko Zenji.
Hapa hakuna tatizo la Muungano wala Zanizibar ni nchi au si nchi ,naomba tusizinguane ,lipo jambo kwani ukiangalia utaona mabishano hayakuanza kwa CCM na CUF bali ni huko huko upande wa CCM baina ya mafisadi na Wahafidhina ila CUF alijibanza kati na kusema aliyosema akijua sivyo inavyotakiwa lakini ndio siasa zilivyo.