Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.
Na Tausi Mbowe, Dodoma
MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti.
Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Hata hivyo, Dk. Mwakyembe ambaye hakutaja moja kwa moja jina la kiongozi huyo ambaye hivi karibuni alisimama na kupingana na Waziri Mkuu Pinda kuhusu hadhi ya Zanzibar, alisema kwa waziri kupingana na tamko la Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu wa kupindukia.
Alisema kilichotokea ni fedheha kwa serikali kwa kuwa Waziri Mkuu alishatoa tamko bungeni, lakini kichekesho kinakuja pale waziri anasimama na na kumkejeli.
Pia Dk. Makyembe alihoji serikali ipo wapi na usiri wa serikali ikiwa ni pamoja na vyombo vya mawasiliano kama vimeenda likizo kwa kushindwa kumshughulikia waziri huyo ambaye alionekana wazi kumkejeli Waziri Mkuu ambaye amekuwa akifuata katiba na tayari alikwisha agiza wanasheria wa pande zote mbili kulishughulikia suala hilo.
"Waziri wa Zanzibar kumkosoa Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wetu, mimi hapa sioni kama kuna mgogoro wowote wa kikatiba ninachoona ni fedheha kubwa kwa serikali yetu, baadhi ya viongozi wa serikali. Ninachoomba adhibiwe, asipoadhibiwa mimi sioni ajabu siku moja Rais akinyooshewa kidole machoni," alionya Mwakyembe.
Alisema endapo Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Baraza la Mawaziri akiamua jambo na kulitolea ufafanuzi, hairuhusiwi kwa waziri yoyote kupinga maamuzi hayo, kwani kwa kufanya hivyo ni kutoheshimu kiongozi huyo na ni utovu wa nidhamu.
MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti. Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Nadhani unachuki binafasi na Mwakyembe mkuu. Otherwise, it looks like you must be experiencing some serious pyschological problems; and I strongly suggest that you find some good professional counseling before things get even worse.
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.
Na Tausi Mbowe, Dodoma
MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti.
Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Hata hivyo, Dk. Mwakyembe ambaye hakutaja moja kwa moja jina la kiongozi huyo ambaye hivi karibuni alisimama na kupingana na Waziri Mkuu Pinda kuhusu hadhi ya Zanzibar, alisema kwa waziri kupingana na tamko la Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu wa kupindukia.
Alisema kilichotokea ni fedheha kwa serikali kwa kuwa Waziri Mkuu alishatoa tamko bungeni, lakini kichekesho kinakuja pale waziri anasimama na na kumkejeli.
Pia Dk. Makyembe alihoji serikali ipo wapi na usiri wa serikali ikiwa ni pamoja na vyombo vya mawasiliano kama vimeenda likizo kwa kushindwa kumshughulikia waziri huyo ambaye alionekana wazi kumkejeli Waziri Mkuu ambaye amekuwa akifuata katiba na tayari alikwisha agiza wanasheria wa pande zote mbili kulishughulikia suala hilo.
"Waziri wa Zanzibar kumkosoa Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wetu, mimi hapa sioni kama kuna mgogoro wowote wa kikatiba ninachoona ni fedheha kubwa kwa serikali yetu, baadhi ya viongozi wa serikali. Ninachoomba adhibiwe, asipoadhibiwa mimi sioni ajabu siku moja Rais akinyooshewa kidole machoni," alionya Mwakyembe.
Alisema endapo Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Baraza la Mawaziri akiamua jambo na kulitolea ufafanuzi, hairuhusiwi kwa waziri yoyote kupinga maamuzi hayo, kwani kwa kufanya hivyo ni kutoheshimu kiongozi huyo na ni utovu wa nidhamu.
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.
Hakuna nchi inayoitwa Zanzibar hapa Duniani.
Kwa maoni yangu Mwakyembe yuko sahihi ndivyo inavystahili. hata kama waziri mkuu alikosea Shamhuna hakustahili kutoa kauli yake.Isitoshe hakutoa kauli ya kungwana ni kauli ya kihuni ambayo yeye kama waziri hakustahili nchi hii haiendeshwi na kauli za kuhuni kama za shamhuna mbona pandu kuficho hajalaumiwa.Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.
Na Tausi Mbowe, Dodoma
MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti.
Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Hata hivyo, Dk. Mwakyembe ambaye hakutaja moja kwa moja jina la kiongozi huyo ambaye hivi karibuni alisimama na kupingana na Waziri Mkuu Pinda kuhusu hadhi ya Zanzibar, alisema kwa waziri kupingana na tamko la Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu wa kupindukia.
Alisema kilichotokea ni fedheha kwa serikali kwa kuwa Waziri Mkuu alishatoa tamko bungeni, lakini kichekesho kinakuja pale waziri anasimama na na kumkejeli.
Pia Dk. Makyembe alihoji serikali ipo wapi na usiri wa serikali ikiwa ni pamoja na vyombo vya mawasiliano kama vimeenda likizo kwa kushindwa kumshughulikia waziri huyo ambaye alionekana wazi kumkejeli Waziri Mkuu ambaye amekuwa akifuata katiba na tayari alikwisha agiza wanasheria wa pande zote mbili kulishughulikia suala hilo.
"Waziri wa Zanzibar kumkosoa Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wetu, mimi hapa sioni kama kuna mgogoro wowote wa kikatiba ninachoona ni fedheha kubwa kwa serikali yetu, baadhi ya viongozi wa serikali. Ninachoomba adhibiwe, asipoadhibiwa mimi sioni ajabu siku moja Rais akinyooshewa kidole machoni," alionya Mwakyembe.
Alisema endapo Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Baraza la Mawaziri akiamua jambo na kulitolea ufafanuzi, hairuhusiwi kwa waziri yoyote kupinga maamuzi hayo, kwani kwa kufanya hivyo ni kutoheshimu kiongozi huyo na ni utovu wa nidhamu.
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.
.........
hivi Yeye Si Ndie Aliyesababisha Lowasa Kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe Ndie Alimkosoa Na Kumkashifu ,inakuwaje Kiongozi Anapoelezwa Ukweli Aseme Ni Ukosefu Wa Adabu .kama Hivyo Ndivyo Basi Yeye Mwakiyembe Nae Hana Adabu.huyu Si Ndie Aliesema Kuna Mambu Ameyawacha Na Kama Angeyaandika Kwenye Tume Na Kaimati Basi Serikali Au Wengine Wangeumbuka ,hivyo Aliitumia Nafasi Ya Tume Kuwakandamiza Wengine Na Kuwalinda Na Kuwahifadhi Wengine ,mwakiyembe Ameidanganya Bunge Na Taifa Kwa Kutoa Taarifa Iliyochujwa.na Kwa Mtazamo Huo Uwajibikaji Wa Waziri Mkuu Lowasa Ni Batili.