Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Huyo waziri wa Zenj lazima ashikishwe adabu, Na huyo Mbunge kasema kweli, na kitu ambacho kwa miaka mingi viongozi wa SMT na SMZ wameshindwa kukikemea...
 
Last edited:
Mwiba,
In a Government administration yule Waziri wa Zanzibar ni "bomu" kweli kweli; hajui miiko yake ya kazi! Harrison kama mbunge kaongea ukweli mtupu! It is time for presidents to appoint people who are capable as learders than such a crap like this Zanzibar fellow!

Sielewi kipi kimekufanya upelekee attack kwa Harrison! Different stories!
 
Sasa utovu wa Mwakiembe uko wapi hapa? Ni roho gani imekuongoza kubandika haya hapa? unajua maslahi yakikuongoza wewe, usitake na sisi tuamini unachokiamini.
 
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.


Na Tausi Mbowe, Dodoma

MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti.
Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Hata hivyo, Dk. Mwakyembe ambaye hakutaja moja kwa moja jina la kiongozi huyo ambaye hivi karibuni alisimama na kupingana na Waziri Mkuu Pinda kuhusu hadhi ya Zanzibar, alisema kwa waziri kupingana na tamko la Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu wa kupindukia.
Alisema kilichotokea ni fedheha kwa serikali kwa kuwa Waziri Mkuu alishatoa tamko bungeni, lakini kichekesho kinakuja pale waziri anasimama na na kumkejeli.
Pia Dk. Makyembe alihoji serikali ipo wapi na usiri wa serikali ikiwa ni pamoja na vyombo vya mawasiliano kama vimeenda likizo kwa kushindwa kumshughulikia waziri huyo ambaye alionekana wazi kumkejeli Waziri Mkuu ambaye amekuwa akifuata katiba na tayari alikwisha agiza wanasheria wa pande zote mbili kulishughulikia suala hilo.
"Waziri wa Zanzibar kumkosoa Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wetu, mimi hapa sioni kama kuna mgogoro wowote wa kikatiba ninachoona ni fedheha kubwa kwa serikali yetu, baadhi ya viongozi wa serikali. Ninachoomba adhibiwe, asipoadhibiwa mimi sioni ajabu siku moja Rais akinyooshewa kidole machoni," alionya Mwakyembe.


Alisema endapo Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Baraza la Mawaziri akiamua jambo na kulitolea ufafanuzi, hairuhusiwi kwa waziri yoyote kupinga maamuzi hayo, kwani kwa kufanya hivyo ni kutoheshimu kiongozi huyo na ni utovu wa nidhamu.

Nashindwa kukusoma mkuu, unaonekana bado una mengi ya kusema kuhusu Mwakyembe, maliza yote tuendelee na mjadala.Kufananisha kamati ya bunge kumsema Lowasa na huyo kiongozi wa Zanzibar ni vitu viwili tofauti kabisa!

Tena jamaa inaonekana hamuogopi mtu yeyote yule anazungumza ukweli kabisa.anazungumzia kanuni za baraza la mawaziri.umechanganya vitu tofauti kabisa kaka.Are you senior???

Big up Dr.; mwiba ukuchome wenyewe!!!!!

Waberoya
''Dot let school interfere with your education''
 
MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti. Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.

Of course, this Shamuhuna guy anastahili kuadhibiwa. Hili ni suala la kikatiba ndugu Mwiba na halina uhusiano kabisa na makosa ya kiutendaji yaliyofanywa na Lowassa.

Nadhani unachuki binafasi na Mwakyembe mkuu. Otherwise, it looks like you must be experiencing some serious pyschological problems; and I strongly suggest that you find some good professional counseling before things get even worse.
 
Nahisi mkuu mwiba amekurupuka......... heading na story tofauti kabisaaaa au ni mwandishi wa yale magazeti yaleeeeee.........
 
Mwakyembe is very right. I would expect these strong words to have been uttered by the president and the issue of Zanzibar would have come into the end. Leaving this issue of whether Zanzibar is a sovereign state or not into the hands of Sitta and people like Shamhuna it gives much worries if proper answer/solution can be obtained.
 
Nadhani unachuki binafasi na Mwakyembe mkuu. Otherwise, it looks like you must be experiencing some serious pyschological problems; and I strongly suggest that you find some good professional counseling before things get even worse.

Hapohapo, umegusa mahali pake. Au ndio Kalokiro ipo kazini?
 
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.


Na Tausi Mbowe, Dodoma

MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti.
Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Hata hivyo, Dk. Mwakyembe ambaye hakutaja moja kwa moja jina la kiongozi huyo ambaye hivi karibuni alisimama na kupingana na Waziri Mkuu Pinda kuhusu hadhi ya Zanzibar, alisema kwa waziri kupingana na tamko la Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu wa kupindukia.
Alisema kilichotokea ni fedheha kwa serikali kwa kuwa Waziri Mkuu alishatoa tamko bungeni, lakini kichekesho kinakuja pale waziri anasimama na na kumkejeli.
Pia Dk. Makyembe alihoji serikali ipo wapi na usiri wa serikali ikiwa ni pamoja na vyombo vya mawasiliano kama vimeenda likizo kwa kushindwa kumshughulikia waziri huyo ambaye alionekana wazi kumkejeli Waziri Mkuu ambaye amekuwa akifuata katiba na tayari alikwisha agiza wanasheria wa pande zote mbili kulishughulikia suala hilo.
"Waziri wa Zanzibar kumkosoa Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wetu, mimi hapa sioni kama kuna mgogoro wowote wa kikatiba ninachoona ni fedheha kubwa kwa serikali yetu, baadhi ya viongozi wa serikali. Ninachoomba adhibiwe, asipoadhibiwa mimi sioni ajabu siku moja Rais akinyooshewa kidole machoni," alionya Mwakyembe.


Alisema endapo Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Baraza la Mawaziri akiamua jambo na kulitolea ufafanuzi, hairuhusiwi kwa waziri yoyote kupinga maamuzi hayo, kwani kwa kufanya hivyo ni kutoheshimu kiongozi huyo na ni utovu wa nidhamu.

Mhe Mwiba

Naomba uwe kama Isayamwita uwe unadhubuti, usikimbie ila naomba ujibu hoja plz!
 
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.

Mwiba unashangaza sana hivi wewe na Lowassa ni ndugu? Tofautisha sana kati ya aliyoyafanya Lowassa na haya aliyoyatamka Pinda. Hatuwezi kukuunga mkono kwa kumtetea Lowassa kwa yale aliyoyafanya hujuma ile haitaweza kutibika kwa miaka mingi. Lakini baya zaidi utengano wa Wazanzibar kwa kujiita Zanzibar ni nchi wakati ilishaungana siku nyingi 26.4.1964 ikawa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Leo hii mnaibuka na miiba yenu na kusifia utengano huo nadhani hakuna nafasi hiyo. Tanzania is one. Hakuna nchi inayoitwa Zanzibar hapa Duniani.
 
MWIBA,sasa umenunuliwa na mafisadi! Ukimshambulia Mwakyembe aibu itakurudia mwenyewe. Mwakyembe ni msema kweli daima na yuko makini sana wakati wa kuongea. ORATORY yake ni ya hali ya juu sana kama unabisha, kawaulize aliowafundisha pale faculty of law udsm.

Alichokisema Mwakyembe ni wazi kuwa mawaziri wengine hawaijui katiba na hivyo hawana adabu kikatiba mbele ya waziri mkuu. Huo ndio utovu wa nidhamu kikatiba mbele ya waziri mkuu.

Sasa nagundua wewe siyo MWIBA ila ni kipande cha uyoga ambacho hakiwezi kuchoma hata karatasi! POLE sana ndugu yetu RUDI KUNDINI!
 
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.


Na Tausi Mbowe, Dodoma

MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ameitaka serikali kumuadhibu Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Ali Juma Shamuhuna, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu wa kumkosoa hadharani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusiana na kauli yake kuwa Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya Pinda kutoa msimamo huo kuwa Zanzibar si nchi, Shamuhuna alidai katika tamko lake ndani ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar ni nchi huku akibeza wale wanaodai tofauti.
Dk. Makyembe ambaye jana alikuwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2008/09, alisema kitendo kilichoonyeshwa na kiongozi huyo wa juu wa serikali ni utovu wa nidhamu na kimeonyesha fedheha kubwa kwa serikali.
Hata hivyo, Dk. Mwakyembe ambaye hakutaja moja kwa moja jina la kiongozi huyo ambaye hivi karibuni alisimama na kupingana na Waziri Mkuu Pinda kuhusu hadhi ya Zanzibar, alisema kwa waziri kupingana na tamko la Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu wa kupindukia.
Alisema kilichotokea ni fedheha kwa serikali kwa kuwa Waziri Mkuu alishatoa tamko bungeni, lakini kichekesho kinakuja pale waziri anasimama na na kumkejeli.
Pia Dk. Makyembe alihoji serikali ipo wapi na usiri wa serikali ikiwa ni pamoja na vyombo vya mawasiliano kama vimeenda likizo kwa kushindwa kumshughulikia waziri huyo ambaye alionekana wazi kumkejeli Waziri Mkuu ambaye amekuwa akifuata katiba na tayari alikwisha agiza wanasheria wa pande zote mbili kulishughulikia suala hilo.
"Waziri wa Zanzibar kumkosoa Waziri Mkuu ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wetu, mimi hapa sioni kama kuna mgogoro wowote wa kikatiba ninachoona ni fedheha kubwa kwa serikali yetu, baadhi ya viongozi wa serikali. Ninachoomba adhibiwe, asipoadhibiwa mimi sioni ajabu siku moja Rais akinyooshewa kidole machoni," alionya Mwakyembe.


Alisema endapo Waziri Mkuu ambaye ndiye kiongozi wa Baraza la Mawaziri akiamua jambo na kulitolea ufafanuzi, hairuhusiwi kwa waziri yoyote kupinga maamuzi hayo, kwani kwa kufanya hivyo ni kutoheshimu kiongozi huyo na ni utovu wa nidhamu.
Kwa maoni yangu Mwakyembe yuko sahihi ndivyo inavystahili. hata kama waziri mkuu alikosea Shamhuna hakustahili kutoa kauli yake.Isitoshe hakutoa kauli ya kungwana ni kauli ya kihuni ambayo yeye kama waziri hakustahili nchi hii haiendeshwi na kauli za kuhuni kama za shamhuna mbona pandu kuficho hajalaumiwa.
 
Hivi yeye si ndie aliyesababisha Lowasa kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe ndie alimkosoa na kumkashifu ,inakuwaje kiongozi anapoelezwa ukweli aseme ni ukosefu wa adabu .kama hivyo ndivyo basi yeye Mwakiyembe nae hana adabu.Huyu si ndie aliesema kuna mambu ameyawacha na kama angeyaandika kwenye tume na kaimati basi serikali au wengine wangeumbuka ,hivyo aliitumia nafasi ya Tume kuwakandamiza wengine na kuwalinda na kuwahifadhi wengine ,Mwakiyembe ameidanganya Bunge na Taifa kwa kutoa taarifa iliyochujwa.Na kwa mtazamo huo uwajibikaji wa WaZiri Mkuu Lowasa ni batili.
Sura za akina Mwakiembe ni hatari na watu wa aina hii ambao ni waongo wa kupindukia ,watu ambao misimamo yao ni ya kujipendekeza hawafai katika jamii na inafaa waepukwe ,watu kama akina Mwakiyembe ni wataka sifa na wako tayari kuua kama walivyowaua akina Lowasa na wenzake kwa kuwaficha na kuyaficha mengine wasiyaandike katika taarifa ya tume aliyokabidhiwa.
Mwenyezi Mungu amemuadhirisha Mwakiyembe kwa kauli yake aliyoitoa kuwa kuna mambo amewacha kuyaandika na kumuonesha unafiki wake ,huyu ni mnafiki nambari one.

.........


Mkuu Mwiba UMETOKOTA, Lowassa alifanya ufisadi hivyo alikuwa na tuhuma za wizi na akaambia yeye ni "MWIZI".

PINDA alikuwa anatoa UFAFANUZI wa nafasi ya Zanzabar kama ni nchi au la katika MUUNGANO kulingana na KATIBA ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania baada ya kuulizwa swali.

Hivi Mwiba umeshindwa kutumia akili ndogo tu kutofautisha vitu hivyo viwili ambavyo ni tofauti kabisa. Next time, fikiri kabla ya kuandika maana wewe ni MWIBA UNAOCHOMA
 
hivi Yeye Si Ndie Aliyesababisha Lowasa Kutimuliwa Uwaziri Mkuu ,sababu Mwakiyembe Ndie Alimkosoa Na Kumkashifu ,inakuwaje Kiongozi Anapoelezwa Ukweli Aseme Ni Ukosefu Wa Adabu .kama Hivyo Ndivyo Basi Yeye Mwakiyembe Nae Hana Adabu.huyu Si Ndie Aliesema Kuna Mambu Ameyawacha Na Kama Angeyaandika Kwenye Tume Na Kaimati Basi Serikali Au Wengine Wangeumbuka ,hivyo Aliitumia Nafasi Ya Tume Kuwakandamiza Wengine Na Kuwalinda Na Kuwahifadhi Wengine ,mwakiyembe Ameidanganya Bunge Na Taifa Kwa Kutoa Taarifa Iliyochujwa.na Kwa Mtazamo Huo Uwajibikaji Wa Waziri Mkuu Lowasa Ni Batili.

mwiba Kweli Unachomaaaa... Mpaka Unajichoma Mwenyewe, Kwa Hili Ndugu Mwiba Umenishangaza Mtanzania... Kweli Tanzania Bado Sana
 
Hayo ya Mwakyembe na Lowassa hayaendani kabisa nadhani ndio yale yale ya Mwnakjj ya BEING OFF POINT!
Vilevile sijaona la Mwakyembe la kuadhibiwa ni lipi?
 
Si staili yangu kunyoosha kidole kwa mwanaJF yoyote,lakini hili la Mwiba limenifanya niamini kwamba kuna watu wakitumiwa wanaweza kubadili rangi nyekundu kuwa nyeusi na nyeupe ikawa kijani ili mradi tu.Unapotaka kumkosoa mzalendo Dr.Harrison Mwakyembe au mwingine yeyote unapaswa kuja na hoja siyo hoja zisizo na msingi zinazonyesha ni namna gani umelalia huo upande wako.Nafikiri ingekuwa vyema kama ungemzungumzia Mwakyembe na issue ya kamati yake bila kuihusisha na hoja aliyoitoa jana bungeni kuhusiana na suala la katiba (muungano). Dr.Harrison aliyazungumza yale ambayo nilifikiri yalitakiwa kukemewa angalau chini kwa chini na Mh.JK ili yasiendelee kuanzisha mpasuko mwingine katika nchi yetu.
 
Tena, Kamati ya Mwakyembe ilimheshimu sana Lowassa. Haikutaka hata kumwita ili imhoji. Lowassa alipopewa nafasi ya kuongea BUNGENI, akaitumia alivyoona yeye inafaa.
Shamhuna atamharibia sana KARUME. Au ndio kampeni za URAIS wa Zanzibar zimeanza?
Kwa nini Karume hajalikemea hili?
 
Mwiba uzalendo umetushinda wa JF ukizingatia wewe ni mwanachama. Tumekuwa tukipambana na ufisadi na mambo mengine mengi ya kijamii. Tumekushangaa sana wewe kumkandia Dr. Harrison Mwakyembe kwa kutoa report ya tume iliyochunguza mkataba wa Richmond. Mateso yote tunayoyapata hapa Tanzania kuhusiana na umeme ni kwa ajili ya matumizi mabaya aliyoyafanya Lowassa akiwa Waziri Mkuu. Pinda ametetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba Zanzibar si nchi. Na sisi Watanzania waelewa tunaamini Zanzibar si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama ilivyo Tanganyika si nchi.

Mimi binafsi japo SLOGAN yetu ni "WHERE WE DARE TO TALK OPENLY" Lakini huo uwazi nao una mipaka. Ushauri wangu nakupa tena bure OMBA RADHI KWA KAULI ZAKO ZISIZO LINGANA NA HADHI YAKO, UMETELEZA.
 
Back
Top Bottom