Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
ondokeniWewe wasema kwa mwisho wa maono yako.
Ila inaelekea na udogo wa ZNZ tunaiogpa mnooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ondokeniWewe wasema kwa mwisho wa maono yako.
Ila inaelekea na udogo wa ZNZ tunaiogpa mnooo.
Wewe mpuuzi unajua nini wanaposema ULINZI NA USALAMA? Zanzibar ikiachwa haichukui round inakuwa kama Dubai... ni hatari sanaKwahiyo Zanzibar iwe na haki kwa kila kitu lakini bara haina haki yoyote? wapuuzi nyie hatuwataki huku rudini kwenu
Hofu ya wadanganyika juu YA waZNZ kubwa mno jiondoeni tuone kama hawataishi kama DPworld. 🤣🤣🤣Sema CCM ndio wanalazimisha muungano wa aina hiyo,
Leteni mkataba tuuvunje mataifa yajue mkaungane na wakongo huko.ondokeni
Kwahiyo Dubai ni hatari? mjinga kweliWewe mpuuzi unajua nini wanaposema ULINZI NA USALAMA? Zanzibar ikiachwa haichukui round inakuwa kama Dubai... ni hatari sana
Kutwa mpo bara mnatafuta nini? hatuwataki ondokeniLeteni mkataba tuuvunje mataifa yajue mkaungane na wakongo huko.
Kwanza BAHARI tu ni uchumi tosha kwetu🤣🤣🤣🤣
Unaweza kuwa sawa ila usiwe sawa kwa komenti yako.Angalia in Big picture.
Viwanda vya Zanzibar haviruhusiwi kuuza Tanganyika, ila Vya Tanganyika vinauza Zanzibar, Zanzibar wana kiwanda cha Sukari ila kinaishia kule kule, hata wakiwa na surplus haiji kuuzwa huku, hii inasababisha Uwekezaji Zanzibar kutokua mzuri na kudhoofisha uchumi wao.
Walikua na umeme wao wenyewe umeuliwa Wanapewa na Tanesco, Kifupi Tanganyika wanatumia huu Mtego kuifanya Zanzibar iwe dependent na huku Bara na wasiwe na Maendeleo.
Kutwa mpo bara mnatafuta nini?
Na udogo wetu bado mnaishi kwa amani.Kutwa mpo bara mnatafuta nini? hatuwataki ondokeni
Sasa hivi Bibi yenu Mzenji ana Mamlaka yote, kitu gani kinmshinda kuvunja huu upuuziCha ajabu sasa watanganyika ndio wanaowang`ang`ania Wanzazibar.
Siyo shughuli pevu......mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar.Mtanganyika kununua na kumiliki ardhi zanzibar ni shughuli pevu
Wapuuzi nyieNa udogo wetu bado mnaishi kwa amani.
Bila sisi mngekuwa kama jirani zenu wakongo na Burundi.
Maana huko si ndo kuna jamii yenu lakin mdaa woote kama sisi na ndugu zetu wasudan.
Hawezi vunja ngoja tule mali za wadanganyika kwanza.Sasa hivi Bibi yenu Mzenji ana Mamlaka yote, kitu gani kinmshinda kuvunja huu upuuzi
Lakini bado mkataba mumeuficha leteni tuuvunje.Wapuuzi nyie
si mnakopi? Ikulu yupo ndugu yenu maana ameficha yeyeLakini bado mkataba mumeuficha leteni tuuvunje.
Upuuzi wetu una manufaa kwenu.
Sema viongozi wa CCM wanawang'ang'ania Wazanzibar.Cha ajabu sasa watanganyika ndio wanaowang`ang`ania Wanzazibar.
MpuuziFaida ya muungano huu iko kwenye suala la ulinzi na usalama. Inadaiwa bila muungano huu, Zanzibar ingekuwa kituo cha magaidi toka kona zote za dunia na hivyo kutishia ulinzi na usalama wa Tanganyika.
Kwann? Kwasabb Zanzibar bila muungano huu tayari ingekuwa ni mwanavhama wa OIC (umoja wa nchi za kiislam). Na kama ujuavyo ugaidi ugaidi na uislam ni kama Pete na chanda.
Kazi ya JW ni nini?Faida ya muungano huu iko kwenye suala la ulinzi na usalama. Inadaiwa bila muungano huu, Zanzibar ingekuwa kituo cha magaidi toka kona zote za dunia na hivyo kutishia ulinzi na usalama wa Tanganyika.
Kwann? Kwasabb Zanzibar bila muungano huu tayari ingekuwa ni mwanavhama wa OIC (umoja wa nchi za kiislam). Na kama ujuavyo ugaidi ugaidi na uislam ni kama Pete na chanda.