Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunazungunzia mawaziri, makamishna, wakurugenzi, RC, DC level za V8 wewe unazungumzi mwalimu wa skuli! Ha ha ha!Mdogo
Wangu anakula mshahara hadi kesho ni mwalimu wa skuli Zanzibar
Kamishna wa ZRA zanzibar ni mtanganyika anaitwa mwenda mkurugezi wa ZBC Zanzibar pia ni mtanganyikaOnesha mtanganyika hata mmoja mwajiriwa ndani ya SMZ nami nitakuonesha maelfu ya wazanzbari waajiriwa Tanganyika. Achana na kero nyingine kama umiliki wa ardhi, n.k.
Hamza hassan juma ni waziri wa Smz ni mtanganyika mtu wa tangaTunazungunzia mawaziri, makamishna, wakurugenzi, RC, DC level za V8 wewe unazungumzi mwalimu wa skuli! Ha ha ha!
Wewe unaleta samples za wataalamu temporary wanaowajengea uwezo wazanzibari. Tunazungumzia permanent and pensionable.Kamishna wa ZRA zanzibar ni mtanganyika anaitwa mwenda mkurugezi wa ZBC Zanzibar pia ni mtanganyika
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Samples za kuokoteza tena zenye mashaka not credible!Hamza hassan juma ni waziri wa Smz ni mtanganyika mtu wa tanga
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Hayo mapesa yanayopelekwa zanzibar yanachotwa wapi na nani anaeyachota?Mapesa yanachotwa kupelekwa Zanzibar kwenda kuijenga
Mnataka kumrejesha kwako😆😆😆
Mbona hueleweki? Wewe umesema utajiwe mtanganyika alieajiriwa na Smz au vipi?Wewe unaleta samples za wataalamu temporary wanaowajengea uwezo wazanzibari. Tunazungumzia permanent and pensionable.
kuna maneno ukiyasema au kuomba halafu yakatekelezwa utaona aibu. Funika kombe mwanaharamu apite. Tafadhali jitambue kwamba hujui na uikubali hiyo hali.Onesha mtanganyika hata mmoja mwajiriwa ndani ya SMZ nami nitakuonesha maelfu ya wazanzbari waajiriwa Tanganyika. Achana na kero nyingine kama umiliki wa ardhi, n.k.
Nyerere alisemaUmejitahidi kuandika, kumbe... Trash.
Huyo tayari keshajibiwa lakini tu sasa anajaribu kupindisha manenokuna maneno ukiyasema au kuomba halafu yakatekelezwa utaona aibu. Funika kombe mwanaharamu apite. Tafadhali jitambue kwamba hujui na uikubali hiyo hali.
Nyerere alisema
Yote.Alisema mangapi nyerere ambayo hayakufaa?
Nilimjibu mmoja juzi akaufyata.Huyo tayari keshajibiwa lakini tu sasa anajaribu kupindisha maneno
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app