Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Huwa nachukizwa sana na watanganyika wanaotetea huu muungano na Zanzibar. Zanzibar kwa nini asiachwe ajitemee mbona tuna ishi kwa amani na majirani wakorofi kama Kenya na Rwanda lakini tunaishi nao kwa amani na tunaheshimiana sote. Kwa nini Zanzibar anaitawala Tanganyika?
 
Kama kweli Zanzibar ni nchi basi wanaosema mtu katoka nchi ya zanzibar wapo sawa. Kama Zanzibar ni sehemu ya Tanzania basi sio nchi na hawana Uhuru wa kuitwa nchi. Zanzibar ingetakiwa kuwa na Governor au Mkuu wa mkoa lakini sio Raisi. Hili ndilo linachanganya watu na kuanza ku punic. Je zanzibar ni kama Puerto Rico ambayo ni sehemu ya USA lakini hawana nguvu kama nchi basi tuweke sawa.

Tatizo tulilonalo kila mtu anajua Zanzibar sio nchi lakini kwa kinafiki tuna kaa na kuita Zanzibar nchi!

Kama wewe unaamini Zanzibar ni nchi basi sio makosa mumuita mtu yeyote kwamba ni Raia wa Zanzibar. Lakini kama hatuamini hivyo basi tubadilishe sheria tuweke mambo sawa
 
Huwa nachukizwa sana na watanganyika wanaotetea huu muungano na Zanzibar. Zanzibar kwa nini asiachwe ajitemee mbona tuna ishi kwa amani na majirani wakorofi kama Kenya na Rwanda lakini tunaishi nao kwa amani na tunaheshimiana sote. Kwa nini Zanzibar anaitawala Tanganyika?
MaCCM ndio hayataki kusikia Tanganyika huku yakizidi kuimega keki ya Tanganyika
 
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".

Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.

Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.
Mwana wa Mungu ameamusha dude , mwamba kauli yake moja hapakaliki lissu hakuzaliwa kwa bahti mbaya
 
Nchi ni nini?

Na unaitafsiri Nchi kwa mujibu wa marejeo gani?

Je marejeo hayo yanakubaliwa na watu wote ambao wanajihusisha kwenye mjadala huu ?

Bila kupata muafaka wa hayo hapo juu hasa hiyo bolding basi hakutakuwa na muafaka wa mjadala huu
 
Ni nchi ambayo kupinduwa serikali si uhaini. Hii ni kwa mujibu wa Mahakama ya rufaa Tanzania.
 
Back
Top Bottom