Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi hamjui Katiba ya Jamhuri ya Muungano, 1977 inasemaje kuhusu Mambo ya Muungano. Haya tuambie juu ya Ibara yoyote inayosema kuwa "Shughuli za Maendeleo" ni jambo la Muungano! Ndio maana JK hajaona umuhimu wa kujibu maswali ya mzee wenu Warioba kwa kuwa hiyo Katiba ya sasa inampiga chenga huyo mzee Warioba!
Sam,
Inasikitisha sana kusoma huo mswada unaotegemewa kufanywa sheria katika siku za usoni , swali langu mimi ni moja tuu Watanzania ni nani aliyetuloga ? Kwa nini atufikirii kabla ya kufanya maamuzi ?
Kweli , kuna haja ya kuwa rocket scientist kujua ya kuwa huo mswada ni ujinga na ni kuwatukana wazalendo ? Yaani mapato ya madini yagawanywe katika uwiano wa 60% bara na 40 % zanzibar ....Ni vigezo gani wametumia kupata hizi figure ? kwanza zanzibar ina population ya watu wangapi .
Sam , naona utakuwa unaumiza kichwa tuu . Hawa viongozi awajali watu wa kawaida wanachodai ni masilahi yao binafsi ! siasa za bongo ni upotevu wa muda kwani wananchi wako so dormant na mara nyingi wanaishia kulalamika tuu .kikifika kipindi cha uchaguzi wanapitishiwa mswada wa kuwapa pilau " wanahongwa pilau " then wanawachagua kwa asilimia 80%.
Kwanini usivunjike kwani ukivunjika tutakufa au wao watakufa? maisha si yataendelea kama kawaida? mimi napendekeza serikali moja tu sio tatu wala mbili....zanzibar iwe ni mkoa wa unguja na pemba ndani ya tanzania.
Yaani nawashangaa watu wanaokurupuka na serikali Tatu! Ujue muungano ni saw a na ndoa, Zanzibar haikupaswa kuwa na serikali so as Tanganyika Kama kweli ziliungana! Kwani ndoa si Mke na mume kila mmoja anaacha wazazi wake anaungana na mwenzie wanakuwa mwili mmoja? In short hakuna na hakukuwahi kuwepo muungano! Muungano utakuwa na mantik iwapo tutakuwa na serikali Moja chini ya raisi mmoja tofauti na hapo hakuna muungano ila CCM wanatufanyia viini macho tu
Maprofessor wa kuchumia tumbo. Vigezo ni kufikria tumbo lako unapta hizo 60% na 40%.Sam,
Inasikitisha sana kusoma huo mswada unaotegemewa kufanywa sheria katika siku za usoni , swali langu mimi ni moja tuu Watanzania ni nani aliyetuloga ? Kwa nini atufikirii kabla ya kufanya maamuzi ?
Kweli , kuna haja ya kuwa rocket scientist kujua ya kuwa huo mswada ni ujinga na ni kuwatukana wazalendo ? Yaani mapato ya madini yagawanywe katika uwiano wa 60% bara na 40 % zanzibar ....Ni vigezo gani wametumia kupata hizi figure ? kwanza zanzibar ina population ya watu wangapi .
Sam , naona utakuwa unaumiza kichwa tuu . Hawa viongozi awajali watu wa kawaida wanachodai ni masilahi yao binafsi ! siasa za bongo ni upotevu wa muda kwani wananchi wako so dormant na mara nyingi wanaishia kulalamika tuu .kikifika kipindi cha uchaguzi wanapitishiwa mswada wa kuwapa pilau " wanahongwa pilau " then wanawachagua kwa asilimia 80%.
congratulations. It can be a nice peom for the ears.tanganyika ni eneo kubwa sna
ukilinganixia na z'bar,
kinachonixhanga za, kwanini
watanganyika tunaukana
utanganyika na na kuulilia
utanzania ?
Ushirikiano si kitu kibaya lakini
ikishafikia hatua km hii ya
kuvutana kwa vitu visvyoeleweka
haina haja tena.
Kisehemu kidogo km z'bar ndo
kinakupigisheni kelele.
Tanganyika kuna madini, mbuga,
maziwa n.k, tukitumia fursa hzi
lazma tutoke tu, au hatuwezi kufikia millenium goalx bila z'bar ??
Via mtazamo
Machafuko ni moja ya sifa ya nchi za kiafrika. Na hatua moja kwa nyingine husababishwa na weredi na ufanisi wa wanasiasa uchwala wasio jali uhai na haki za wananchi wao. Hufikisha mataifa yao katika machafuko ya umwagaji damu kwa midomo yao na ndimi zao kwa maslai ya vyama vyao na mabwana zao wanao waabudu na kuwahusudu. Tusidanganyane waheshimiwa wa bunge la katiba kwa kutaka kuiweka AMANI yetu rehani kwa maslai yenu binafsi. Kuna vitu zaidi ya 1000 vya kujadili kwa mustakabali wa taifa letu. Muundo wa serikali nisehemu dogo sana ya matakwa ya wananchi wenu ila ni sehemu kubwa sana ya matakwa ya vyama vyenu na maslai yenu. Kwa kipindi hicho chote mpka sasa ni siku 60 zimefika hatua hata moja na uelekoo wa kupata katiba mpya yenye weredi wa kuipatia tz maendeleo binafsi hakuna zaidi mnataka kuifanya iwe ombaomba milele kweli kwenye miti hakuna wajenzi. Hivi hatima ya maendeleo ya watz ipo kwenye serikali 3 au 2 au 10??? kina mama wajawazito wanafariki mahospitali chozo ni serikali 2 au ni uhaba wa rasilimali katika mahospitali??? wabunge kwa siku 60 wanakula 18 Million bila kodi kwa kupiga kelele na vijembe mchanganyiko na matusi hiyo ndio nafuu kwa wananchi. Hii dhambi itawarudia wenyewe msio kuwa na uchungu na damu za wananchi mnazotaka kuweka rehani ya mafanikio yenu kisiasa na vyama vyenu. Hatua ya maendeleo ktk ubora ina sifa 1 tu ambayo ni: kutoka chini kwenda juu kwa maana hii ukiwa wa kwanza kwenye mitihani yako basi ww ni bora zaidi ya walio kuwa wa pili na watatu.
KAMA KWELI NYINYI NI WAUMINI WAZURI SANA WA MUUNGANO BASI UGANISHENI TAIFA LIWE MOJA LENYE SERIKALI MOJA YA URT. ila sehemu mbili za muungano zipewe mamlaka ya kuwa majimbo huru katika usimamizi wa maendeleo hebu tujifunze katika taifa lililoendelea la USA Obama ni mmoja ila kuna majimbo takriba 52 yenye uhuru wa kusimamia maswala baadhi ya maendeleo ya ndani ya jimbo. TAFAKURI.
Ni mtanzamo wangu.
#CC .
#Bunge_La_Katiba
#Zomeazomea