Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Mataifa mawili na si idadi ya watu. Kihalali mgao wowote ulitakiwa uwe 50/50

Mimi sijui lakini Nyerere aliyevamia Zanzibar kutekeleza program ya kanisa katoliki ya kuupiga vita uislamu alijua
Allah alikuwa likizo??[emoji12][emoji12]
 
Kwani wewe umeiwacha kamba yako ya Roho mtakatifu wako?
Ukitaka twende huko anzisha uzi wako utapewa daawa tu usihofu!
Huu uzi unahusu muungano!
Usimuharibie uzi wake!
Nimeaminia wahenga waliosema ashki majunun[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ukitaka twende huko anzisha uzi wako utapewa daawa tu usihofu!
Huu uzi unahusu muungano!
Usimuharibie uzi wake!
Nimeaminia wahenga waliosema ashki majunun[emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona ulianza mwenyewe,au Roho mtakatifu wako alisahau?
 
Hujui madhara ya kauli yako,maana mgao haushii kwenye mapato tu, upo hadi kwenye madeni.
 
Akili ya matope. Mmoja achangie 80% ya pato na mwingine 20% halafu wagawane 50% .?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…