Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Mataifa mawili na si idadi ya watu. Kihalali mgao wowote ulitakiwa uwe 50/50

Wewe utakua unaugua wazimu.
Umesema Zanzibar ndio ya kwanza kupeleka jeshi Uganda,
ulikuwa hujui kama ina jeshi au lah!?
[
/QUOTE]

Soma vizuri niliandika kitu gani halafu uniambie hivi Zanzibar Ina jeshi lake ?
 
Huu Muungano utavunjika kwa sababu ya tamaa za watu wachache.
 
Kijiseheme kinachozidiwa na Ngorongoro Mara 7 kigawena na Tanganyika yote 50/50 magawanyo uendane ukubwa wa eneo au Idadi ya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…