Abdulahsaf,
..mimi napendekeza Muungano uvunjwe.
..serikali 3 haziwezi kuondoa manung'uniko ya wa-Tanganyika kwamba Muungano unawanyonya.
..badala yake napendekeza tushirikiane kupitia Jumuiya ya Afrika Mashariki.
..jinsi EAC inavyoimarika ndivyo ambavyo muungano wa Tanganyika na Zanzibar unavyokuwa redundant.
NB:
..suala la wa-Zenj[jumbe,mwinyi,hamad rashid,fatma maghimbi,mwakanjuki,bakhresa, ...] walioweka makazi huku Tanganyika napendekeza wapewe hadhi ya ukaazi wa kudumu, au ipitishwe sheria ya dual-citizenship.