Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?


Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe
 
Muungano wa bara na visiwani uangaliwe upya bara wanaumia. Zanzibat kuna utawala wa Rais wa muungano na Rais wao wakato bara wana Rais wa miungano.

Zanzibar wana bumge lao na wengine wanakwenda kwenye bunge la muungano, idadi ya wazanzibar ni 1.3 milinoni na wabara ni zaidi ya 58 milioni, sasa faida ya muungano iko wapi?
 
Muungano wa bara na visiwani uangaliwe upya bara wanaumia. Zanzibat kuna utawala wa Rais wa muungano na Rais wao wakato bara wana Rais wa miungano. Zanzibar wana bumge lao na wengine wanakwenda kwenye bunge la muungano, idadi ya wazanzibar ni 1.3 milinoni na wabara ni zaidi ya 58 milioni, sasa faida ya muungano iko wapi?
Kule zanzibar kuna majengo na ofisi za TRA zinakusanya kodi kwaajili ya Tanganyika waendeshe maisha yao ya kila siku, zanzibar haifaidiki na hizi kodi ata nusu shilingi
 
Muungano huu una faida kwa Wazanzibari tu.Cha kwao chao, chetu chao.
 
Kule zanzibar kuna majengo na ofisi za TRA zinakusanya kodi kwaajili ya Tanganyika waendeshe maisha yao ya kila siku, zanzibar haifaidiki na hizi kodi ata nusu shilingi
HiyoTPA ifutwe huko visiwani waanzishe taasisi yao.
 
Tunao maprofesa mamia kwa maelefu ila hawajawahi kuandika kitabu kinachoonyesha faida au hasara ya Muungano. Kuna siri ipi?
 
Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
 
We umeona wapi muungano ambao unabagua watu?

Wazanzbar kumiliki ardhi TANGANYIKA n ruksa ila mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar haiwezekani

Asee uvunjike hata leo hamna Zanzibar mlichoifaidisha TANGANYIKA Zaid mmetupa mzigo tu wa kuwakopea kulipa tulipe Watanganyika
 
Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Unajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni hata aibu kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?

Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
 
Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
yaaaheee kuna mpemba huku muuza 👁 anaongea utumbo mtupu
 
Back
Top Bottom