battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Akili za vutu ,kuwaza kujamba tuu.
Muungano ki serikli, unawafaidisha zaidi Watanganyika kuliko wazanzibari.
Kiuwananchi ,wote tuna faidika, maana wako wabongo kibao wasaka tonge huku zenji, aidha wako wazenji kibao wasaka tonge kule Mrima.
Ama kwa kuowana ,tuna peana kimtindo .Mimi nina wandugu wawili wameolewa Bongo.
Uraisi ni hakiyetu ya Msingi tuliyozuiliwa toke a Mzee Mwinyi alipomaliza muhula wake.
Yafaa Kupeana kwa zamu uraisi wa Muungano.
Huenda Wabongo wakaondosha matabakayao kwa kupata Raisi Mzenji asiyeegemea ukanda wowote kule bara. Ila inafaa pia kuwekwa % ya viongozo kutoka bara na % ya kutoka Zenji wanaounda serikali ya Muungano. Kinyume chake Hakuna Haki na Muungano hauna Mantiki.
Muungano ki serikli, unawafaidisha zaidi Watanganyika kuliko wazanzibari.
Kiuwananchi ,wote tuna faidika, maana wako wabongo kibao wasaka tonge huku zenji, aidha wako wazenji kibao wasaka tonge kule Mrima.
Ama kwa kuowana ,tuna peana kimtindo .Mimi nina wandugu wawili wameolewa Bongo.
Uraisi ni hakiyetu ya Msingi tuliyozuiliwa toke a Mzee Mwinyi alipomaliza muhula wake.
Yafaa Kupeana kwa zamu uraisi wa Muungano.
Huenda Wabongo wakaondosha matabakayao kwa kupata Raisi Mzenji asiyeegemea ukanda wowote kule bara. Ila inafaa pia kuwekwa % ya viongozo kutoka bara na % ya kutoka Zenji wanaounda serikali ya Muungano. Kinyume chake Hakuna Haki na Muungano hauna Mantiki.