Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339
Madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa Tanganyika na Zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari.

Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na Zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru.

Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.
 
madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa tanganyika na zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari. Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru

Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.

inayokusumbua wewe ni hofu tu, hakuna kingine. Kuna ushahidi japo c wakisayansi kuwa makaburi ya watu waoga huwa yanadidimia hali inayofanya watu wanaoamini uchawi kusema wachawi wamefukua maiti.

Angalia na wewe kaburi lako lisije didimia. Ni rahisi tu kuepuka hili, just "ACHA WOGA USIO NA KICHWA WALA MIGUU"
 
inayokusumbua wewe ni hofu tu, hakuna kingine. Kuna ushahidi japo c wakisayansi kuwa makaburi ya watu waoga huwa yanadidimia hali inayofanya watu wanaoamini uchawi kusema wachawi wamefukua maiti.

Angalia na wewe kaburi lako lisije didimia. Ni rahisi tu kuepuka hili, just "ACHA WOGA USIO NA KICHWA WALA MIGUU"

mkuu mimi nimeseme facts hapa tunajadili au sio maana tunatunga katiba ya jamhuri ya muunga wa tanzania kipengelee nilitaja hapo juu mbona hujatoa ufafanuzi wake zaidi umenishambulia kwamba mimi ni mwoga ebu toa hoja ndugu yangu kwa maana kuna jambo moja ilikazwa tusiongelee kabisa kuwa na muungano au kutokuwa na muungano bahati mbaya hiyo sentesi haikuruhusiwa na ingeruhusiwa wengi wangesema hatutaki muungano.

je wewe unasemaje hapo?
 
madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa tanganyika na zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari. Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru

Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.

Nani kakuambia wazanzibar hawataki muungano mkuu? Wanajua udhaifu wa Watanganyika kwenye suala la muungano ndio maana wanatuchezea shalubu.
 
Binafsi sioni faida ya Muungano.Nitakuwa wa Mwisho kuutetea.
Natamani uvunjike hata leo.

mimi nimetoa kitu kitakachokea ila faida ya muungano utaiona siku muungano ukivunjika kama wewe wazenji watapata ndio wataopata shida zaidi itakuwa kama urusi na jimbo la cremia kutaka kujiuunga na urusi maana angalia ukubwa wa tanganyika na zanzibar kibiashara wataathirika sana sidhani kama chakula watajiweza wasije tanganyika mpakani lazima watozwe sawasawa.
 
Muungano utakuja vunjika kwa sababu waliouasisi waliamua kuufanya kuwa kitendawili hadi leo. Kuna mambo yanayohitaji ufafanuzi na uwazi zaidi ili kila upande uridhike lakini hayatatuliwi kiasi huwa ni vigumu kuelewa huu muungano ni kwa faida ya nani maana kila upande unalalamika
 
Nani kakuambia wazanzibar hawataki muungano mkuu? Wanajua udhaifu wa Watanganyika kwenye suala la muungano ndio maana wanatuchezea shalubu.

Mimi ninachkuambia ni kutokana na historia ya huu muungano mpaka tumefikia hatua hii ya kuandika katiba mpya tanganyika haijawahi kulalamika isipokuwa zenji na mimi ninakuambia muungano umefika mwisho wake kwa maana mtaka fitina hakosi sababu na zanzibar kama katiba mpya waliyoandika haiatabadilishwa hakuna muungana maana iko juu ya serikali ya muungano je nani atkubali ujinga huo?
 
Zaidi ni zanzibar wanalalamika kuliko tanganyika wakawaamsha watanganyika ndio waliodai katiba na ndio maana nilisema hii ni safari ya kuvunja muungano
 
Mimi ninachkuambia ni kutokana na historia ya huu muungano mpaka tumefikia hatua hii ya kuandika katiba mpya tanganyika haijawahi kulalamika isipokuwa zenji na mimi ninakuambia muungano umefika mwisho wake kwa maana mtaka fitina hakosi sababu na zanzibar kama katiba mpya waliyoandika haiatabadilishwa hakuna muungana maana iko juu ya serikali ya muungano je nani atkubali ujinga huo?

Elephants don't swat flies.
 
Muungano utakuja vunjika kwa sababu waliouasisi waliamua kuufanya kuwa kitendawili hadi leo. Kuna mambo yanayohitaji ufafanuzi na uwazi zaidi ili kila upande uridhike lakini hayatatuliwi kiasi huwa ni vigumu kuelewa huu muungano ni kwa faida ya nani maana kila upande unalalamika

Mwalimu Nyerere alidhani ataishi milele na kuendesha muungano kwa vile alivyotaka yeye kiasi kuujadili muungano ilikuwa ni uhaini. Kaondoka kawarithisha watu matatizo yasiyokuwa na ufumbuzi.
 
mimi nimetoa kitu kitakachokea ila faida ya muungano utaiona siku muungano ukivunjika kama wewe wazenji watapata ndio wataopata shida zaidi itakuwa kama urusi na jimbo la cremia kutaka kujiuunga na urusi maana angalia ukubwa wa tanganyika na zanzibar kibiashara wataathirika sana sidhani kama chakula watajiweza wasije tanganyika mpakani lazima watozwe sawasawa.

Mungu alipoiweka Zanzibar alijua jinsi ya kuilinda.Kama Jangwani Watu Wanaishi itashindikanaje Kisiwani?
 
Zaidi ni zanzibar wanalalamika kuliko tanganyika wakawaamsha watanganyika ndio waliodai katiba na ndio maana nilisema hii ni safari ya kuvunja muungano

Let's break it, what's the big deal anyway?! It's not the holy book, let's cut them loose.can we?
 
madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa tanganyika na zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari. Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru

Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.


Yaani HATA Kuvunjika kutakuwa na STAGES na IBARA kibao kufuatwa? Jamani wataunda makamati Mangapi kuvunja huo MUUNGANO ? huo ni WIZI MTUPU

Wafanye as if One of the TWO has been Overthrown by soothsayers...

Haya -- Wa BARA walioko ZANZIBAR Wanapewa Miezi 3 kufungasha na kubeba Vipodozi vyao vyote kama ni Mawe; Madawa; Madini au Rangi yao NYEUSI wabebe wapeleke huko BARA zilikotoka


Haya na wa VISIWANI -- Hapo ni kazi sababu kuna wa PEMBA na ZANZIBAR

Wabebe kila kitu isipokuwa ARDHI yetu waiache bara; sababu huko ARDHI inadidimia maji yanabadilika kuwa ya CHUMVI
 
But sometimes elephants guard their territory that's what is happening after many noise.

That's true, that's why I'm sayin let's cut them loose, I don't need this union, do you? It's only a bunch of moron politician.
 
madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa tanganyika na zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari. Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru

Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.
hoja yako inadhihirisha hoffu na woga uliotawala fikira zako, ila mbaya zaidi umeonesha kama kwamb Wazanzibar ndio walinzi ama wavunjaji wakuu wa Muungano huu, na kuwafanya Watanganyika wawe watiifu na kuwapigia magoti Wazanzibar ili kuunisuru Muungano, wazo ambalo sio sahihi...!!
Muungano huu utalindwa pale utaposimamia misingi ya usawa na hakki baina ya pande mbili, bila ya kujali ukubwa ama population ya nchi washirika,
Hivyo kuuenzi Muungano sio Zanzibar kusarenda
mambo yake kwa Tanganyika bali kufuata misingi ya hakkki na usawa ktk Muungano huu!!
 
Mwalimu Nyerere alidhani ataishi milele na kuendesha muungano kwa vile alivyotaka yeye kiasi kuujadili muungano ilikuwa ni uhaini. Kaondoka kawarithisha watu matatizo yasiyokuwa na ufumbuzi.

Ile ilikuwa imani yake na matamanio yake lakini waliomrithi hawakutumia akili ili kuendeleza muungano maana muungano ni wa watu si wa viongozi. ccm wanajifanya wanamuenzi nyerer wakati fikra za nyerere wamezitupa huku wakijifanya wanampenda kumbe ni wanafiki wakubwa.
 
Mungu alipoiweka Zanzibar alijua jinsi ya kuilinda.Kama Jangwani Watu Wanaishi itashindikanaje Kisiwani?
kuishi wataishi ila wamepunguza territory yao ya kufanya biashara na undugu na ofa waliyonayo ya kuishi tanganyika kama zanzibar vile. ila baada ya muungano kuvunjika atatakiwa kuwa na pasport na kadhalika
 
kuishi wataishi ila wamepunguza territory yao ya kufanya biashara na undugu na ofa waliyonayo ya kuishi tanganyika kama zanzibar vile. ila baada ya muungano kuvunjika atatakiwa kuwa na pasport na kadhalika

Wazanzibar hawana biashara ya vinyago wala karanga, ndio maana wanafany business eneo lolote dunia hii, sio Tanganyika tuu hadi Kenya tupo wala hatujaungana nao, na ktk hilo Watanganyika hamuna wazimu wa kususia biashara za Wazanzibar, maana nyie njaa zenu zimezidi hata kam kuna passport mutakuja tu.....!!
 
Back
Top Bottom