RICARDO KAKA
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 865
- 338
Jaamani naomba kuuliza, si kwamba nadharau ila nataka kujua kuwa "INA MAANA AKILI YA MWALIMU NYERERE NI ZAIDI YA AKILI ZA WATANZANIA WOTE HADI SASA?" Hivi mawazo ya Mwalimu Nyerere ni Msahafu au Biblia?
Ni hayo tu Watanganyika wenzangu!
Ni hayo tu Watanganyika wenzangu!