Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

That's true, that's why I'm sayin let's cut them loose, I don't need this union, do you? It's only a bunch of moron politician.

To be honest the important of unity every one knows but this people zanzibarian have no any thanks to tanganyika coz we made them fell as nation and i am sure after we break union another game will start between themselves thats unguja and pemba coz 1964 revolution has regarded by UMA party from pemba as false and they prepared to overthrow karume and this is the source of union.
 
Mimi ninachkuambia ni kutokana na historia ya huu muungano mpaka tumefikia hatua hii ya kuandika katiba mpya tanganyika haijawahi kulalamika isipokuwa zenji na mimi ninakuambia muungano umefika mwisho wake..
Kweli muungano unafikia ukingoni ila si wengi watakao yaamini maneno yako.

Usishangae, ndio hawa hawa ambao miaka 20-25 iliyopita kama ungewaambia Watanganyika watakuja kuamka kwa wingi na kuidai Tanganyika yao basi wangekwambia wewe uko ndotoni..
 
Wakuu kiusalama muungano unaumhimu sana tuulinde sote kwa nguvu zote.
 
Kweli muungano unafikia ukingoni ila si wengi watakao yaamini maneno yako.

Usishangae, ndio hawa hawa ambao miaka 20-25 iliyopita kama ungewaambia Watanganyika watakuja kuamka kwa wingi na kuidai Tanganyika yao basi wangekwambia wewe uko ndotoni..
Mkuu umewahi kuiona tanganyika? Je muundo wake ulikuwaje make tunaweza kudai kitu ambacho hakijawahi kuwepo.
 
Mkuu,

Tumewatetea sana hawa Wazenji ila ukweli ni kuwa hawabebeki. Sasa hivi wameshaanza kuparuana hata Muungano haujavunjika, ukivunjika ndiyo kazi itakuwa pevu. Tatizo wao wanafikiri Ma-CCM wataawacha waende salama, ujinga mtupu. Kama Ma-CCM yanauwa watu wake wenyewe huku Bara, Zanzibar ndiyo yatakuwa hayana huruma.

Wameshamuamsha nyoka pangoni mwake, Watanganyika sasa tunadai nchi yetu, hapo kazi wanayo. Nafikiri kuna siku watakuja kupiga magoti na kuomba warudishwe ndani ya Muungano. Ila sasa itabidi Zanzibar iwe Mkoa na kama hawataki, basi acha wanywe chai ya CHUMVI.

Yaani HATA Kuvunjika kutakuwa na STAGES na IBARA kibao kufuatwa? Jamani wataunda makamati Mangapi kuvunja huo MUUNGANO ? huo ni WIZI MTUPU

Wafanye as if One of the TWO has been Overthrown by soothsayers...

Haya -- Wa BARA walioko ZANZIBAR Wanapewa Miezi 3 kufungasha na kubeba Vipodozi vyao vyote kama ni Mawe; Madawa; Madini au Rangi yao NYEUSI wabebe wapeleke huko BARA zilikotoka


Haya na wa VISIWANI -- Hapo ni kazi sababu kuna wa PEMBA na ZANZIBAR

Wabebe kila kitu isipokuwa ARDHI yetu waiache bara; sababu huko ARDHI inadidimia maji yanabadilika kuwa ya CHUMVI
 
Wazanzibar hawana biashara ya vinyago wala karanga, ndio maana wanafany business eneo lolote dunia hii, sio Tanganyika tuu hadi Kenya tupo wala hatujaungana nao, na ktk hilo Watanganyika hamuna wazimu wa kususia biashara za Wazanzibar, maana nyie njaa zenu zimezidi hata kam kuna passport mutakuja tu.....!!

sisi tuna njaa ya maendeleo na ndio maana mnafikiri mnadhulumiwa chapeni kazi na baada muungano kufa mtajua kama muungano ulikuwa hauna faida kwenu

kwanza inabidi muishukuru tanganyika imewafanya muwe ngugupemba na unguja maana mlikuwa mpigane unguja na pemba baada ya mapinduzi 1964 na lazima mnalianzia baada muungano si tutaona.
 

Yaani HATA Kuvunjika kutakuwa na STAGES na IBARA kibao kufuatwa? Jamani wataunda makamati Mangapi kuvunja huo MUUNGANO ? huo ni WIZI MTUPU

Wafanye as if One of the TWO has been Overthrown by soothsayers...

Haya -- Wa BARA walioko ZANZIBAR Wanapewa Miezi 3 kufungasha na kubeba Vipodozi vyao vyote kama ni Mawe; Madawa; Madini au Rangi yao NYEUSI wabebe wapeleke huko BARA zilikotoka


Haya na wa VISIWANI -- Hapo ni kazi sababu kuna wa PEMBA na ZANZIBAR

Wabebe kila kitu isipokuwa ARDHI yetu waiache bara; sababu huko ARDHI inadidimia maji yanabadilika kuwa ya CHUMVI

CHUKI, FITINA , UBAGUZI ndio iliyokujaa Moyoni mwako...!! Wazanzibar ni watu waungwana na kamwe hatujapata sikia wa kutokea hicho ukifikiriacho we we, Wazanzibar tumewakaribisha Watanganyika tokea enzi zilee walipokuwa wanakimbia kodi ya kichwa na wakaishi Zanzibar bila kurudi nyumbani kwa jinsi walivyopendezwa na maisha ya kidugu ya Wazanzibar....!!! na daima hiyo itabakia kuwa ndio asili ya Wazanzibar!!!
 
Mkuu umewahi kuiona tanganyika? Je muundo wake ulikuwaje make tunaweza kudai kitu ambacho hakijawahi kuwepo.
Sijayaelewa vizuri maswali yako.

Kama unamaanisha kuiona i.e kuzaliwa ndani ya Tanganyika basi mimi nimezaliwa baada ya Tanganyika.
..fafanua maswali yako vizuri.
 
Mkuu umewahi kuiona tanganyika? Je muundo wake ulikuwaje make tunaweza kudai kitu ambacho hakijawahi kuwepo.

125px-Flag_of_Tanganyika.svg.png
ngoja nikusaidie kama unadhani tanganyika haikuwepo ingawa hatujaiona hiyo ndio bendera yake sasa.
 
Zaidi ni zanzibar wanalalamika kuliko tanganyika wakawaamsha watanganyika ndio waliodai katiba na ndio maana nilisema hii ni safari ya kuvunja muungano

Maganjwa:Hu Muungano haupo kihalisia huu ni mfumo tuu unaoitwa Muungano, Niliwahi kusoma sehemu na kumsikia Mzee Hasan nassor Moyo akisema kuwa mzee AAK na mzee JKN waliwahi kuhitilifiana kwa muda wa Mwaka 1 hawakusema wala kuonana na haikupita muda mrefu Mzee AAK akauwawa.Je hapa kweli palikuwa na muungano wania njema kwa faida ya WaTanganyika na waZNZ?
Ukiangalia Historia ya ZNZ kabla na baada ya uhuru na ukiangalia Historia ya AA na TAA mpaka TANU na JkN na Tanganyika utaona jinsi gani Jkn alivyo ingia ktk siasa kutoka ktk uwalimu najinsi alivyo weza kupata uwongozi wa juu wa TANU mpaka kuingia Ikulu akiwa mkuu wa nchi.Haya ukiyafuatilia utajua kama hakuna ktk watu hawa AAK naJKN waloungnisha hizi nchi kwa maslahi ya wananchi.
Waliunganisha hizi nchi kila mmoja akiwa na malengo yake binafsi ndio maana huu si muungano wa kweli na ndio maana JKN alikuwa mkali sana pindi akitokea mtu kuhoji Muungano na wengi wamepoteza madaraka yao wakati wa JKN kwa kuhoji Muungano usio eleweka.kwahiyo hiyo shaka ulio nayo nisawa tu huo ni muendelezo wa kuvunja huo mfumo tulio karirishwa kama ni Muungano.
 
CHUKI, FITINA , UBAGUZI ndio iliyokujaa Moyoni mwako...!! Wazanzibar ni watu waungwana na kamwe hatujapata sikia wa kutokea hicho ukifikiriacho we we, Wazanzibar tumewakaribisha Watanganyika tokea enzi zilee walipokuwa wanakimbia kodi ya kichwa na wakaishi Zanzibar bila kurudi nyumbani kwa jinsi walivyopendezwa na maisha ya kidugu ya Wazanzibar....!!! na daima hiyo itabakia kuwa ndio asili ya Wazanzibar!!!

sasa nani kawaloga miaka ya hivi karibuni mpaka mnaangaliana eti huyu katoka bara hafanani na sisi? ninachoona hofu imekujaa na wasiwasi wa siku hiyo ikija mtakuwa mgeni wa nani? wala msiogope mliyataka yote hayo.
 
Maganjwa:Hu Muungano haupo kihalisia huu ni mfumo tuu unaoitwa Muungano, Niliwahi kusoma sehemu na kumsikia Mzee Hasan nassor Moyo akisema kuwa mzee AAK na mzee JKN waliwahi kuhitilifiana kwa muda wa Mwaka 1 hawakusema wala kuonana na haikupita muda mrefu Mzee AAK akauwawa.Je hapa kweli palikuwa na muungano wania njema kwa faida ya WaTanganyika na waZNZ?
Ukiangalia Historia ya ZNZ kabla na baada ya uhuru na ukiangalia Historia ya AA na TAA mpaka TANU na JkN na Tanganyika utaona jinsi gani Jkn alivyo ingia ktk siasa kutoka ktk uwalimu najinsi alivyo weza kupata uwongozi wa juu wa TANU mpaka kuingia Ikulu akiwa mkuu wa nchi.Haya ukiyafuatilia utajua kama hakuna ktk watu hawa AAK naJKN waloungnisha hizi nchi kwa maslahi ya wananchi.
Waliunganisha hizi nchi kila mmoja akiwa na malengo yake binafsi ndio maana huu si muungano wa kweli na ndio maana JKN alikuwa mkali sana pindi akitokea mtu kuhoji Muungano na wengi wamepoteza madaraka yao wakati wa JKN kwa kuhoji Muungano usio eleweka.kwahiyo hiyo shaka ulio nayo nisawa tu huo ni muendelezo wa kuvunja huo mfumo tulio karirishwa kama ni Muungano.

Yaap umekuja kenye point. na suala muhim sana ilikuwa kuuliza watu je tuwe na muungano au tusiwe na muungano. hilo swali ni uhaini na kitu cha kuhioji ni je muungano uwe wa aina gani? umeona?
 
Ni mchakato mkuu siyo chache ni nyingi zataka mda kwa sasa niko bungeni nitashindwa kukupa kwa umakini.

nakuomba ndugu katiba mpya iseme je nchi hii aidha iwe ya kijamaa, ubepari au mrengo wa kati maana rasimu iko kimya hapo.
 
madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa tanganyika na zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari. Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru

Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.

Rasimu ina mambo mengi kuhusu huu muungano hivyo kuchaguwa moja na kusema kuwa ndio chanzo naona bado ni mapema kwani hiyo ni rasimu na lengo la Bunge maalum ni kuangalia kuwa viashiria vya kuvunja muungano vinajadiliwa na kuwekwa sawa.
 
mkuu mimi nimeseme facts hapa tunajadili au sio maana tunatunga katiba ya jamhuri ya muunga wa tanzania kipengelee nilitaja hapo juu mbona hujatoa ufafanuzi wake zaidi umenishambulia kwamba mimi ni mwoga ebu toa hoja ndugu yangu kwa maana kuna jambo moja ilikazwa tusiongelee kabisa kuwa na muungano au kutokuwa na muungano bahati mbaya hiyo sentesi haikuruhusiwa na ingeruhusiwa wengi wangesema hatutaki muungano.

je wewe unasemaje hapo?
Tukufahamu vipi sasa? Tujadili tishio la kuvunjika kwa muungano au jee muungano uwepo au usiwepo?
 
hoja yako inadhihirisha hoffu na woga uliotawala fikira zako, ila mbaya zaidi umeonesha kama kwamb Wazanzibar ndio walinzi ama wavunjaji wakuu wa Muungano huu, na kuwafanya Watanganyika wawe watiifu na kuwapigia magoti Wazanzibar ili kuunisuru Muungano, wazo ambalo sio sahihi...!!
Muungano huu utalindwa pale utaposimamia misingi ya usawa na hakki baina ya pande mbili, bila ya kujali ukubwa ama population ya nchi washirika,
Hivyo kuuenzi Muungano sio Zanzibar kusarenda
mambo yake kwa Tanganyika bali kufuata misingi ya hakkki na usawa ktk Muungano huu!!

kitu gani mnatendewa baya na watanganyika ambayo sio ya haki na inawadhulumu ninyi?
 
Tukufahamu vipi sasa? Tujadili tishio la kuvunjika kwa muungano au jee muungano uwepo au usiwepo?

kwa hiyo wewe hukuona cha kujadili katika post yangu ukaona hofu yangu? hoja ni jinsi vifungu vinavyogongana kama unataka nikusaidie kukuelewesha. mana vifungu vinagongana now let go to fact nafikir nimekusaidia.
 
Rasimu ina mambo mengi kuhusu huu muungano hivyo kuchaguwa moja na kusema kuwa ndio chanzo naona bado ni mapema kwani hiyo ni rasimu na lengo la Bunge maalum ni kuangalia kuwa viashiria vya kuvunja muungano vinajadiliwa na kuwekwa sawa.

mkuu umesema vema sana mimi nimetoa kitu kitakacholeta utata na imani yangu ni kwamba haipita bila kurekebishwa.
 
Back
Top Bottom