Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

nyerere alikuwa na akili sana umuhimu wa muungano ni sawa na kusema umoja wa afrika unanisaidiaje au tanganyika inanisaidia nini ni hapo tu ukijua jibu la swali hilo basi umuhimu umeupata

Akili za kuuwa nchi na kuiwacha maskini wa mwisho duniani? asiye na akili tu ndio ataziona kuwa hizo ni akili.
 
Kuna wznz wa aina mbili wapi unaoongelea?

Wale wavuvi weusi wanaokuja soko la samaki au wale wa Oman?
Watanganyika watakuja znz, na wale wznz laki 5 walioko bara watakwenda wapi?

Wewe ni mbaguzi mwenye chuki dhidi ya waislamu!
Ni mnafiki unaepaka watu mafuta kwa mgongo wa chupa!
Kuingiza kwako rangi ya ngozi ktk comments zako ni dalili tosha kabisa ya kuonyesha kuwa wewe ni mbaguzi wa rangi km wale makaburu na wazungu waliomfanya babu yako km uchafu dhaifu!
Hao unao wakashifu na kuwabagua wanaishi na wengi wao wameo dada zako na wale wajomba zako wana neemeka nao!

Mbaguzi yyt ALAANIWE!
 
Wewe ni mbaguzi mwenye chuki dhidi ya waislamu!
Ni mnafiki unaepaka watu mafuta kwa mgongo wa chupa!
Kuingiza kwako rangi ya ngozi ktk comments zako ni dalili tosha kabisa ya kuonyesha kuwa wewe ni mbaguzi wa rangi km wale makaburu na wazungu waliomfanya babu yako km uchafu dhaifu!
Hao unao wakashifu na kuwabagua wanaishi na wengi wao wameo dada zako na wale wajomba zako wana neemeka nao!

Mbaguzi yyt ALAANIWE!
Jamani si kuna mapinduzi daima na mapinduzi zii.
Kwani nani alileta habari za wazanzibar na wazanzibar?
Kuna mtu hapo juu kasema wapo wznz waliokuja na mwenge, ni wapi hao kama znz ni moja?

Kwani hujasikia Nyerere ndiye alimuondoa sultan na wakati wa sultan mambo yalikuwa mazuri sana!!!
Halafu kuna wanaosema wakati wa sultan wao walikuwa walinzi tu. Yote haya tunayasikia kutoka kwao.

Na hivi karibuni nimesikia kuna Seif Mweusi na Seif wa Pemba, mimi sikujua hilo. Nilipodadisi nikajua makamu wetu wawili kumbe wana ID?
Kosa langu lipi?
 
Jamani si kuna mapinduzi daima na mapinduzi zii.
Kwani nani alileta habari za wazanzibar na wazanzibar?
Kuna mtu hapo juu kasema wapo wznz waliokuja na mwenge, ni wapi hao kama znz ni moja?

Kwani hujasikia Nyerere ndiye alimuondoa sultan na wakati wa sultan mambo yalikuwa mazuri sana!!!
Halafu kuna wanaosema wakati wa sultan wao walikuwa walinzi tu. Yote haya tunayasikia kutoka kwao.

Na hivi karibuni nimesikia kuna Seif Mweusi na Seif wa Pemba, mimi sikujua hilo. Nilipodadisi nikajua makamu wetu wawili kumbe wana ID?
Kosa langu lipi?

Nguruvi we endelea kuimba mashairi lkn kizuri ni kuwa watu wanakusoma. Na kufahamu ule u mbwa mwitu mwenye ngozi ya kondoo!
Wewe ni mpingaji wa kwanza wa kuvunjika kwa muungano!
Sababu ulizonazo ni za kibaguzi na kiadui!

We ni wa kwanza kuwajadili waislamu na kusahau wale wagalatia wenzako wanao tuchafulia mazingira!

Na pia ni wa kwanza kutunga mashairi na maneno ya hasada uonapo kuna mtafaruku baina ya wazanzibari!
Utakuja dhuruka na laana za watu we kijana!
Jadili yanayo kuhusu kwanza kabla ya kujihusisha na mambo ya watu wengine, usije nyang'anywa mke bure!
 
Akili za kuuwa nchi na kuiwacha maskini wa mwisho duniani? asiye na akili tu ndio ataziona kuwa hizo ni akili.

Alijaribu kufikiri kama mwafrika sio ninyi mnaosaidiwa kufiki ambao ni ugojwa mkubwa sana mnaougua ninyi mimi nauliza kulikuwa na G55 walikuwa wanampinga leo hayupo mbona hatuoni walichokifanya zaidi ya uporaji na mmewape nchi na rasimali zake kwa wazungu
 
Jamani si kuna mapinduzi daima na mapinduzi zii.
Kwani nani alileta habari za wazanzibar na wazanzibar?
Kuna mtu hapo juu kasema wapo wznz waliokuja na mwenge, ni wapi hao kama znz ni moja?

Kwani hujasikia Nyerere ndiye alimuondoa sultan na wakati wa sultan mambo yalikuwa mazuri sana!!!
Halafu kuna wanaosema wakati wa sultan wao walikuwa walinzi tu. Yote haya tunayasikia kutoka kwao.

Na hivi karibuni nimesikia kuna Seif Mweusi na Seif wa Pemba, mimi sikujua hilo. Nilipodadisi nikajua makamu wetu wawili kumbe wana ID?
Kosa langu lipi?

kaka wewe subiri usijali dhambi ya ubaguzi haitawaacha zanzibar kuna kuangaliana rangi kumbe mtawakumbuka watanganyika siku wapemba wakidai nchi ya ili mwarabu arudi
 
Alijaribu kufikiri kama mwafrika sio ninyi mnaosaidiwa kufiki ambao ni ugojwa mkubwa sana mnaougua ninyi mimi nauliza kulikuwa na G55 walikuwa wanampinga leo hayupo mbona hatuoni walichokifanya zaidi ya uporaji na mmewape nchi na rasimali zake kwa wazungu

Na Mwaafrica aliacha kuwa na akili toka enzi za Bilqis na Mtume Suleiman.

Hapo sasa.
 
Jamani si kuna mapinduzi daima na mapinduzi zii.
Kwani nani alileta habari za wazanzibar na wazanzibar?
Kuna mtu hapo juu kasema wapo wznz waliokuja na mwenge, ni wapi hao kama znz ni moja?

Kwani hujasikia Nyerere ndiye alimuondoa sultan na wakati wa sultan mambo yalikuwa mazuri sana!!!
Halafu kuna wanaosema wakati wa sultan wao walikuwa walinzi tu. Yote haya tunayasikia kutoka kwao.

Na hivi karibuni nimesikia kuna Seif Mweusi na Seif wa Pemba, mimi sikujua hilo. Nilipodadisi nikajua makamu wetu wawili kumbe wana ID?
Kosa langu lipi?

Unaongea pumba sana!
 
kaka wewe subiri usijali dhambi ya ubaguzi haitawaacha zanzibar kuna kuangaliana rangi kumbe mtawakumbuka watanganyika siku wapemba wakidai nchi ya ili mwarabu arudi
Usiniambie Pemba ni kama Crimea ya Ukraine...!
 
Na Mwaafrica aliacha kuwa na akili toka enzi za Bilqis na Mtume Suleiman.

Hapo sasa.
Unaugua ugonjwa mbaya sana wa kufikiri wala hujui historia ya watu weusi. Kwa hiyo kama unajua huna akili unachangia nini?
 
Unaugua ugonjwa mbaya sana wa kufikiri wala hujui historia ya watu weusi. Kwa hiyo kama unajua huna akili unachangia nini?

Naijuwa historia zaidi ya unavofikiria, pitia post zangu, utaziona darsa za historia nnazotowa.

Mnajidanganya utamaduni wenu kumbe bado mpaka leo mnajiremba kwa shanga walizoletewa babu na bibi zenu wakawauza utumwani na watu kujichukulia almasi. Halafu ndio akili hizo?

Faidika na Darsa la FaizaFoxy.
 
Naijuwa historia zaidi ya unavofikiria, pitia post zangu, utaziona darsa za historia nnazotowa.

Mnajidanganya utamaduni wenu kumbe bado mpaka leo mnajiremba kwa shanga walizoletewa babu na bibi zenu wakawauza utumwani na watu kujichukulia almasi. Halafu ndio akili hizo?

Faidika na Darsa la FaizaFoxy.

wewe unajua ulichoambiwa ila historia ya mtu mweusi hujui kama ungekuwa unajua usingetoa sentensi yaa kusema sisi hatuna akili. unajua wazungu walisoma africa? unajua first surjery ilifanyika afrika? je unajua kwamba 24 hour day ilikutwa africa? na kwamba mwaka una 365 na robo waliogundua ni waafrica? Na pamoja sayansi ya leo hakuna anaweza kujenga piramid iliyojengwa na black egyptian? kama hayo yote unajua unaweza kusemaje mtu mweusi hana akili. usiongee usichojua kasome.
 
Naijuwa historia zaidi ya unavofikiria, pitia post zangu, utaziona darsa za historia nnazotowa.

Mnajidanganya utamaduni wenu kumbe bado mpaka leo mnajiremba kwa shanga walizoletewa babu na bibi zenu wakawauza utumwani na watu kujichukulia almasi. Halafu ndio akili hizo?

Faidika na Darsa la FaizaFoxy.

nitarudi baadaye umenishtua sana na watu kama nyie ambao hamjui histori ni hatari sana katika dunia hii ambayo kila kitu kiko nje
 
ndio ukraine wanpiga kura jumapili siku muungano ukivunjika wanamwomba mwarabu alete jeshi ili wapige kura ili wawe sehemu ya united arabic emirate
Nadhani wakifanya hivyo ndiyo utakuwa mwanzo wa kuunganisha Unguja na Tanzania bara huku ICBM zikisimikwa Mkunazini na visiwa Anjuani huko Comoro zikiilenga Pemba kwa nia ya kuhakikisha haileti madhara kwa Muungano wa Tanzania bara na Unguja...Najaribu kuwaza tu.
 
Back
Top Bottom