Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Kutokana na malalamiko na kero kuwa nyingi,kila upande ukiona upande mwingine mzigo, alafu bado kuna wana siasa wanataka muungano uendelee huu wa serikali mbili , najiuliza huu muungano wetu ni wa kujivunia au ni janga tumeachiwa?
 
sioni cha kujivunia kwenye muungano huu ziadi ya kuumizana vichwa na kupotezeana muda
 
Tokea 1964 wazbar walikwisha fahamu kuwa huu c muungano,tunawashangaeni watanganyika eti ndio kwanza leo muelewe kuwa huu c muungano,zanzbr kwanza.
 
minyoo,

Wewe kweli minyoo tena ile ndani ya utumbo wa nguruwe unaoishi kwa uchafu anaokula nguruwe. Kwanza ni Zanzibar ilowaamsha katika zombie world mlizorogwa na baba yenu wa taifa alowafichia Tanganyika yenu katika nchi ya Kusadikika [Tanzania] ni Wazanzibari pekee ndio walionda kumpa changamoto hadharani tena yuko hai. Nyinyi wengi wenu mlikuwa hamjui lolote na waliojuwa walikuwa wanaogopa hata kufikiria kutafuta kengele wacha kufanya shauri mumfunge vipi kengele Paka Shume. Tulipikuwa tunapigwa na kunyanyaswa kwa kudai haki zetu nyumbani kwetu mlikuwa [Chadema] ndio mnakusanya viboko na kupiga makofi kushangiria, leo mnapigwa nyinyi na kunyanyaswa ndani ya nyumba yenu halivyeye yuko kuzimu teh teh teh. Nyinyi sio mlioamka kudai Tanganyika ni sisi ndio tuliowaamsha minyoo nyinyi!!!

Eti Zanzibar inainyonya Tanganyika kwa kila kitu:

1) EPA ni Zanzibar??,
2) Scandal ya Radar ni Zanzibar?
3) Mikataba mibovu ya Madini ni Zanzibar?
4) Mikataba mibovu ya Gesi asilia ni Zanzibar?
4) Majangiri ya wanyama pori ni Zanzibar?
5) Kashfa za Tanapa ni Zanzibar?

Eti Muungano ukivunjika Tanganyika itakuwa nchi Tajiri teh teh teh. Sasa mnag'ang'ania nini basi lazima Muungano uwepo mara.serikali mbili mara moja? Mmkuwa kama mke yatima aso na kwao Mwanaume hakutaki bado unashikilia tu hapo hapo hutoki ndani ya nyumba ya watu.

Eti uchumi wa Zanzibar hakuwi, kwa taarifa yako kwa Uchumi wa Zanzibar umekuwa by 7.9% katika 2012
allAfrica.com: Tanzania: Zanzibar Economy to Grow By Eight Percent

Nyinyi mnachokiogopa Zanzibar kuwa na mamlaka kamili ni vitu viwili:
1) Chuki dhidi ya Uislam manogopa eti tutawaamsha ndugu zetu.waislam walioko Tanganyika na ndio mlichokiweka mbele (outside influnced). Hao wameamka zamani kwani ndio chimbuko la TANU na hili nyinyi Wayahudi weusi linawauma kwenye matumbo yenu. Hamuikubali historia hii.

2) Mnaogopa kuaibika kwa sababu tayari Zanzibar imeshaonyesha mfano katika miaka ya karibuni 1982-84. Katika mipango yaie ya kiuchumi na uhuru wa biashara enzi za Serikali ya SMZ awamu ya Tatu.

Na huu ndio uadui wenu dhidi ya Wazanzibari. Nasi tunaujuwa vizuri.

Endeleeni kuwafumbia macho walafi wenu wanaoshirikiana na multinationals kama Barick Gold Africa, Aminex, Ndovu resources etc. Sio Zanzibaris.
Muungano ni silaha ya kuendeleza ugalatia znz. Wanajenga makanisa tu wala hayana waumini.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sitaki Muungano, na wala sioni faida yoyote ya muungano zaidi ya kunyonyana tu. Wanaofaidika ni wanasiasa peke yao. Kwangu muungano uwepo au usiwepo ni sawa tu. Mimi naitaka Tanganyika yetu!
 
Mkuu naona unajifariji na kujiliwaza kwa msongo wa mawazo, muungano ukivunjika wazanzibar wataishi kama wawekezaji kutoka nje kama walivyo Wakenya, Wahindi na Wazungu.

Mkuu suala la kumiliki ardhi linaitaji pesa siyo maneno na stori za vijiweni, yale majengo ambayo yapo Kariakoo unategemea utayapata kwa kuandika JF, sisi watu wa ukanda wote wa Pwani ni ndugu toka karne na karne na tuna muungano wetu, hatuwezi kupangiwa na watu kutoka Rombo au Makete.

Kwa hiyo unategemea muungano uvunjike ukaibe mali za wazanzibar.
Umesema kweli akhui,znz ni nchi ndogo ukiwaachia hawa wagala wamiliki ardhi znz itanuka pombe.
 
Tuwachape zanzibar liwe koloni letu

wewe subiri wnapiga domo sana niliwahi kuwauliza hiyo jamhuri ya watu wa zanzibar ilikuwa kama nchi kwa muda wa miaka mingapi hakuna anayeza kunijibu nawataka hao domodomo kutoka zenji.
 
Muungano huu ni haramu na tunaomba upotee sasa atleast wale wahuni wanaopelekwa Zanzibar kutembea uchi itapungua.

mnajifanya hamtaki mbona mtaukumbuka subirini siku si nyingi kiu yenu ya kuona muungano unavunjika itakatwa muda si mrefu.

sisi tuna msamiati kwa jamii ya wafugaji "ng'ombe hajui thamani ya mkia wake mpaka utakapokatika" ndio ninyi.
 
Mimi ni Mtanganyika, si wa kujidai, la hasha. Nimezaliwa Tanganyika nikaanza kusoma Tanganyika. Ghafla nikajistukia nipo Tanzania.

Ukweli usiopingika, Zanzibar imedumaa na kudidimia kiuchumi na kiuzalendo na kiumaarufu baada ya kuungana na Tanganyika. Zanzibar ilikuwa Zanzibar kweli.

Ukweli usiofichika, muungano wa Nyerere ilikuwa ni kurusedi dhidi ya waislaam wa Zanzibar. Hakuwa na manufaa yoyote ya muungano zaidi ya manufaa ya kuwaritadisha Waislaam wakitaka wasitake. Amefanikiwa sana kwa hilo.

Leo hii, jinsi wabara walivyojazwa Unguja na Pemba hata ikipigwa kura ya Muungano uwepo au usiwepo basi watashinda wanaotaka Muungano, tena wa Serikali moja.

Huu muungano unafaida gani kwetu Watanganyika? Una faida gani kwa Wazanzibari?

Mimi siioni.

Nyerere huyo huyo ambae alipigia debe na kupeleka misaada Biafra ili itengane na Nigeria kwa kuwa tu Biafra ni Wakatoliki ilikuwaje aing'ang'anie Zanzibar kwenye muungano batili? Ilhali inajulikana kuwa Zanzibar ni nchi ya Waislaam.

nyerere alikuwa na akili sana umuhimu wa muungano ni sawa na kusema umoja wa afrika unanisaidiaje au tanganyika inanisaidia nini ni hapo tu ukijua jibu la swali hilo basi umuhimu umeupata
 
wavuvi weusi"
inaonyesha unahusidia sana sura nyeupe kuliko point na wala hujui kwamba mtu mweusi ndiye mwenye historia ya kuwa mstaarabu wa kwanza hapa duniani na mpenda watu sio watu weupe wenye mioyo ya kishetani kama wewe.
 
dullyhami;
sina hata neno la kukujibu hapa kwa sababu mi naona unajiandikia njozi za Abunwasi tu. Ati Tanganyika haina pwani. Sawa, kabisa kwa sababu Nyerere alipoupewa uhuru wa Tanganyika alijisahau akaenda kuupokea kwenye nchi jirani. Pole zako ndg yangu. Nilikuwa nadhani Daresalama ni mji mkuu wa Tanganyika kumbe ni nchi jirani? Asante mwana falsafa uliye bobea. Kama ndivyo mnavyo wadanganya hao Waarabu wa Pemba kuwa mmepangisha watanganyika Darisalama yenu, mbona mmeula wa chuya?
Kwa kheri ya kuonana UN tukiomba kile kiti cha Zanziba kilichouzwa utumwani Tanganyika. Natamani mngeondoka kesho asubuhi, ila msirudi tena kuomba muungano.

mbona mipasho imekuwa mingi, umesahau kama nasubiria jibu la hoja yang?
 
Nadhani kama ni kuvunjika kwa muungano ulishavunjika tangu zamani sana. Muulize Aboud Jumbe kama Muungano una maslahi gani. Pili mabadiliko ya kumi ya katiba ya Zanzibar yalipigia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Muungano.
Sasa cha msingi tuache kuishi kwa matamko ya waliotangulia tutengeneze Tanzania tunayoitaka. Waafrika wengi hupata shida katika maisha kwa kuwa wanajishika sana na nani alisema nini. na mambo yakiwaendea kinyume kidogo wanaanza kuwa ni laana za mababu. Hayo mambo tuachane nayo tuangelie mbele yenye matumaini kuliko kujifunga katika vifungo vya zamani ambayo havina tija kwetu.
 
Ukweli ni kuwa tunahitaji mashirikiano na sio muungano. Iko siku watoto wetu watamwaga damu!
 
Back
Top Bottom