Wana Visiwa baada ya kuinyonya sana Tanganyika kwa kila kitu sasa wameona wanatanganyika wameshituka wanataka Tanganyika Yao wanahaha hawajui maisha ya Utitiri wa wabunge na mawaziri Pia Viongozi wengi ktk Visiwa vidogo watawalipa mshahara upi kwani Uchumi wa ZNZ si imara kiasi cha Kuwa na Fedha za kuwalipa mishahara posho na marupurupu watumishi wake kumbuka Tanganyika yenye Madini Mbuga na Rasilimali zote bora imewabeba sana lakini wakishiba wanaanza Malalamiko huku Wakililia kurejesha koloni la Mwarabu . Ni Ukweli usiopingika Kuwa Siku muungano ukifariki Tanganyika itakuwa Nchi Tajiri Kama south Africa kwani Fedha ya kubembeleza muungano itasalia Bara kuinua Uchumi Pia watalipia umeme na chakula kwa dola Viza na vibali vya kuisha Bara vitalipiwa pato la Taifa la Tanganyika litapaa kwa kasi ya ajabu sana .
minyoo,
Wewe kweli minyoo tena ile ndani ya utumbo wa nguruwe unaoishi kwa uchafu anaokula nguruwe. Kwanza ni Zanzibar ilowaamsha katika zombie world mlizorogwa na baba yenu wa taifa alowafichia Tanganyika yenu katika nchi ya Kusadikika [Tanzania] ni Wazanzibari pekee ndio walionda kumpa changamoto hadharani tena yuko hai. Nyinyi wengi wenu mlikuwa hamjui lolote na waliojuwa walikuwa wanaogopa hata kufikiria kutafuta kengele wacha kufanya shauri mumfunge vipi kengele Paka Shume. Tulipikuwa tunapigwa na kunyanyaswa kwa kudai haki zetu nyumbani kwetu mlikuwa [Chadema] ndio mnakusanya viboko na kupiga makofi kushangiria, leo mnapigwa nyinyi na kunyanyaswa ndani ya nyumba yenu halivyeye yuko kuzimu teh teh teh. Nyinyi sio mlioamka kudai Tanganyika ni sisi ndio tuliowaamsha
minyoo nyinyi!!!
Eti Zanzibar inainyonya Tanganyika kwa kila kitu:
1) EPA ni Zanzibar??,
2) Scandal ya Radar ni Zanzibar?
3) Mikataba mibovu ya Madini ni Zanzibar?
4) Mikataba mibovu ya Gesi asilia ni Zanzibar?
4) Majangiri ya wanyama pori ni Zanzibar?
5) Kashfa za Tanapa ni Zanzibar?
Eti Muungano ukivunjika Tanganyika itakuwa nchi Tajiri teh teh teh. Sasa mnag'ang'ania nini basi lazima Muungano uwepo mara.serikali mbili mara moja? Mmkuwa kama mke yatima aso na kwao Mwanaume hakutaki bado unashikilia tu hapo hapo hutoki ndani ya nyumba ya watu.
Eti uchumi wa Zanzibar hakuwi, kwa taarifa yako kwa Uchumi wa Zanzibar umekuwa by 7.9% katika 2012
http://allafrica.com/stories/201203...view/group/main/main/id/00016203.html&mstac=0
Nyinyi mnachokiogopa Zanzibar kuwa na mamlaka kamili ni vitu viwili:
1) Chuki dhidi ya Uislam manogopa eti tutawaamsha ndugu zetu.waislam walioko Tanganyika na ndio mlichokiweka mbele (outside influnced). Hao wameamka zamani kwani ndio chimbuko la TANU na hili nyinyi Wayahudi weusi linawauma kwenye matumbo yenu. Hamuikubali historia hii.
2) Mnaogopa kuaibika kwa sababu tayari Zanzibar imeshaonyesha mfano katika miaka ya karibuni 1982-84. Katika mipango yaie ya kiuchumi na uhuru wa biashara enzi za Serikali ya SMZ awamu ya Tatu.
Na huu ndio uadui wenu dhidi ya Wazanzibari. Nasi tunaujuwa vizuri.
Endeleeni kuwafumbia macho walafi wenu wanaoshirikiana na multinationals kama Barick Gold Africa, Aminex, Ndovu resources etc. Sio Zanzibaris.