Kuna mtu kakujaza ujinga kuwa Uafrika ni kuwa mweusi. Na pia umejazwa ujinga kuwa Uarabu ni kuwa mweupe.
Pole sana, huo ndio ujinga uliojazwa.
MAGWAnja,
Sometimes nakuonea huruma hutaka nikupe darasa lakini naona bora nikuachie kwanza maana hao kina Akhanaton ana Amenhoteph na kina Ramses wote hakuna katika history kama ni weupe.
Kwa taarifa yako kutokana na.definition ya neno "Arab" basi Masai na Wafugaji wote wasioishi sehem moja.kwa ajili ya ktafuta chakula cha wanyama wao pamoja na wale mbilikimo wa Msitu wa Kongo, wa Mongol katika Stepes za Kirgistan, Romans wa Rumania ambao kila siku hufukuzwa kule Ufaransa hao wote ni Arabs.
Mjomba sisi zama zetu tukisoma hovyo hivyo vitabu vya wamishionari na tumejifunza mengi sana. Sasa leo elimu ambayo zama hizo ikifanyiwa uchakachuaji na kutolewa kwa kiwango na kibaguzi iko free online. Hebu jihangaishe kidogo kutafuta mambo uelimike.
Nashukuru umekubaliana na mimi kwamba sisi watu hatukuwa wajinga kama ulivyosema. je nikuulize bara la watu weusi ni ipi duniani?
Nashukuru umekubaliana na mimi kwamba sisi watu hatukuwa wajinga kama ulivyosema. je nikuulize bara la watu weusi ni ipi duniani?
Wenyew wanajijua, ndio wakuu wa fitina na majungu Zanzibar, maskani yao inaitwa KISONGE!!
Averoes,Faiza Foxy na gombesugu nafyonza ilmu mujarabu.
Ahsanteni
ww ni walewale, unadhani kila mtu kasoma bure kama ninyi mnavyosoma bure. Mimi baba yangu alinilipia ada, sijasoma bure, sijapendelewa shuleni ili kuleta uwiano.Wee bado hujafa tu!?...yaani unaendelea tu kuvuta hewa ya bure/kupumua humu duniani,sio!? Daah!
Weye Tanganyika waijuaje hata leo ifikie yakua ati una machungu nayo!?...nyie si ndo wale mabaki ya wakimbizi wa Banyamulenge mliopewa ukimbizi/hifadhi na yule Nyerere!...matokeo yake mnaishia humu mitandaoni kuleta chuki na akili zako za kibaguzi,sio!?
Sasa kama unadai ati mie "natukana" na ni "mbaguzi"...je hiyo ndo justification ya weye kujaribu kumteteta huyo Nguruvi3 wako...ili aendeleze ubaguzi,kutukana Wazanzibary mitandaoni na kueneza chuki dhidi yao!? Daah!
Jaribu kutumia akili/maarifa japo kiduchu khasa humu kwenye Public Forums...sisi Wananchi wa hali ya chini tuliopo vijijini tumepoteza nguvu zetu na kujitoa muhanga ili jamaa kama nyinyi mkapate Ilm bure kwa manufaa ya Taifa!
Acha/punguza kutumika na kuwa msukule jamaa yangu...jitambue na wakti ndo huu!
Salaam zao!
Ahsanta.
Mkuu,
Tangia jana nalikhis,yakua huyo jamaa Maganjwa hana ubavu wa hoja za kitaaluma...ndo maana nikamsihi hata Mkuu Averoes amwonee "huruma" japo kiduchu! Teeh! Teeh! Teeh!
Khalaf jamaa kama wa sampuli hiyo ati ndo wanajisifia ati "wamesoma" na kutia mbwembwe...huku wakieneza chuki na tashtit zao humu mitandanoni! Daah!
Karibu kijijini-Makete Mkuu Boko Haram...sisi bado tupo huku tunaendeleza zile "sera za ujamaa na kujitegema"...kama alivyotuamrisha yule "Baba wa Taifa"! Daah!
Ahsanta.
magwanja,
Kuna philantropist mmoja kule USA ni Mmarekani Mweusi ametoa lecture kuwa watu weusi wenyewe ndio wabaguzi, usifanye nikakubaliana nae mimi, kwani katika kitabu gani Mungu amesema nimetenga bara hili la watu weusi?
Maana Wahindi walio wengi ni weusi na ndio wahindi original, Wa srilanka, Bangladeshi, Shirazis wa Iran (Kush) aborigines wa Australia, Khmer wa Cambodia wote hao ni weusi sasa wote hao utawaweka bara gani?
Unajuwa kuna watu weusi USA wanakwambiwa wao ni Americans tu sio Africans. Soma
Nani alokwambia Nubians are white people au Waarabu are white people. Nimekwambia kasome husikii sasa huyo ulioniewekea kwenye clip soma hapa kafundishwa nini:
Racist-ideas
As the slave trade developed, Europeans created a racist ideology which could be used to justify the trade. Africans were thought to be sub-human, uncivilised, and inferior to Europeans in every way. And as they were not one of us, they could be bought and sold. The development of racism is linked to the slave trade. The slave trade could not have continued without this ideology to justify it. Racism cannot be ignored in any study of the slave trade.
The English had equated blackness with death and evil centuries before they met any black people. Thus the first reaction to people with black skin was to assume that they were some form of devil or monster. From this, and from travellers tales, arose the stereotype of the African, as barbarous, prone to excessive sexual desire, lazy, untrustworthy and even cannibalistic. There were few who challenged this prejudiced view. Richard Ligon, in his book A true & exact history of the Island of Barbados, published in 1657, wrote against the popular view. He believed that there are as honest, faithfull, and conscionable people amongst them, as amongst those of Europe.
From about 1600, with the development of science in Europe, racism could be proved scientifically. Scientists and philosophers like David Hume could state that Africans were naturally inferior to the whites. It was widely believed that Africans and Europeans had developed separately. Many, like Sir Thomas Herbert, writing in 1634, believed that Africans must be descended from apes and were part of a separate and inferior race. This was long before Charles Darwins theory of evolution, which showed that all humans are part of the same species. In the 18th and 19th century, many white people campaigned for an end to the slave trade and for freedom for the slaves. But few of those white people believed in racial equality, that is equality between the black and white races.
In the 19th century, racist ideologies were strengthened by fake sciences such as phrenology. It was believed that the shape of the skull reflected the character of the person. Phrenologists applied their theory to African skulls and classified all Africans as inferior to white races intellectually, culturally and morally. Phrenology showed Africans to be unsuited to work other than that supervised by white people. In the minds of most, this justified making Africans work as slaves.
The study of teleology looked at design in nature. This allowed men to argue that Africans were, by nature, suited to hard work but not to thinking. They were, therefore, obviously made to serve white people. The Negro in general is a born slave wrote Sir Harry Johnston, a British colonial administrator in Africa in the 1890s.
Anthropology, the study of mankind, looked at such things as the size of the brain and the physical appearance of people. Again, anthropologists could conclude that the African was inferior to the white man, a separate species more closely related to apes than to whites.
The English naturalist, Charles Darwin, developed a theory of evolution. It suggested that Europeans were related to Africans and that all humans were related to the apes. Whilst this upset the anthropological theories about separate species, other aspects of the evolutionary theory still proved the superiority of the white races over all others. His theory saw the Anglo-Saxons, that is, the British, at the top of the evolutionary scale. The British were at the top of the family tree of the human race, as the most civilised race. The African, as a primitive race, was considered childlike and unintelligent. Such inferior races were doomed to be either ruled by or destroyed by the superior races. Survival of the fittest was the rule in Darwins theory of evolution.
The belief in the superiority of the British and European races fed the expansion of the empire. The British empire grew from the idea that the British were the best race to rule the world, a view expressed by Cecil Rhodes, the colonial administrator who founded the British colony
of Rhodesia, in Central Africa (now Zimbabwe).
These scientific theories of the inferiority of the African were generally accepted by the British public. Racism was taken for granted. For example, books by G A Henty were seen as great reads for boys. His book By Sheer Pluck: a tale of the Ashanti war was written in 1884 and probably still available in school libraries until the middle of the 20th century. The boys reading it learned that black people are just like children. They are always either laughing or quarelling. They are good-natured and passionate, indolent, but will work hard for a time; clever up to a certain point, densely stupid beyond They are absolutely without originality, absolutely without inventive power.
Black people living in Britain, as well as those living in their own countries under European colonial rule, had to cope with this racism. Racism has been and is central to the experience of black people in Britain, over the centuries.
------
With acknowledgement to Peter Fryer and his work on the history of black people in Britain in Staying Power.
ww ni walewale, unadhani kila mtu kasoma bure kama ninyi mnavyosoma bure. Mimi baba yangu alinilipia ada, sijasoma bure, sijapendelewa shuleni ili kuleta uwiano.
Sijawahi azima akili yako, siongozwi kufikiri kama wewe ambaye huna mawazo huru, mbaguzi mkubwa wewe, huna hata haya unanivua uraia mtandaoni (kama kawaida yenu mkishindwa hoja mnavua watu uraia wao halali) unadhani utaweza
Kuna mtu anajua wznz wanataka nini kwa uhakika?
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/22886-serikali-3-zitavunja-muungano
wewe si hutaki kukubali pamoja na fact niliyokuonyesha nimekuuliza swali ulitakiwa ujibu na uniconvince ili nikubaliane na wewe hujanipa hoja unawezaje kuniita mjinga.
Unaonesha ni jinsi gani ulivyo na unavyojifanya huelewi, ubaguzi utakuua ww. kwa kuwa wewe umesomeshwa bure kwa hiyo unaona kila mtu kasomeshwa bure, sikusomeshwa ili kupata uwiano. Ni uwezo wangu kiakili darasani ndiyo umenifikisha hapa kielimu sio kubebwa ili kupata uwianoTeeh! Teeh! Teeh!
Mkuu naona hilo suala la uraia limekuumiza mno!? Daaah! Pole sana! Teeh! Teeh! Teeh!
Mimi nafahamu yakua wewe Mkuu lazima ulisomeshwa bure ile enzi yenu ya "Mwalimu",au!?...watu kama nyinyi mbona mpo wengi tu humu-JF...na hata kufikiri kwenu pia kumeathirika kwa ile elimu ya "bure" alokupeni yule Kambarage!
Ahsanta.
Bado hujamsoma Averoes?