Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Muungano wa Tanzania uko katika hatua ya kwanza kuelekea kuvunjwa

Kuna mtu kakujaza ujinga kuwa Uafrika ni kuwa mweusi. Na pia umejazwa ujinga kuwa Uarabu ni kuwa mweupe.

Pole sana, huo ndio ujinga uliojazwa.

Nashukuru umekubaliana na mimi kwamba sisi watu hatukuwa wajinga kama ulivyosema. je nikuulize bara la watu weusi ni ipi duniani?
 
MAGWAnja,

Sometimes nakuonea huruma hutaka nikupe darasa lakini naona bora nikuachie kwanza maana hao kina Akhanaton ana Amenhoteph na kina Ramses wote hakuna katika history kama ni weupe.

Kwa taarifa yako kutokana na.definition ya neno "Arab" basi Masai na Wafugaji wote wasioishi sehem moja.kwa ajili ya ktafuta chakula cha wanyama wao pamoja na wale mbilikimo wa Msitu wa Kongo, wa Mongol katika Stepes za Kirgistan, Romans wa Rumania ambao kila siku hufukuzwa kule Ufaransa hao wote ni Arabs.

Mjomba sisi zama zetu tukisoma hovyo hivyo vitabu vya wamishionari na tumejifunza mengi sana. Sasa leo elimu ambayo zama hizo ikifanyiwa uchakachuaji na kutolewa kwa kiwango na kibaguzi iko free online. Hebu jihangaishe kidogo kutafuta mambo uelimike.

Averoes,Faiza Foxy na gombesugu nafyonza ilmu mujarabu.
Ahsanteni
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru umekubaliana na mimi kwamba sisi watu hatukuwa wajinga kama ulivyosema. je nikuulize bara la watu weusi ni ipi duniani?

Tafadhali acha kuwa mjinga.

Hebu pata darsa la Averoes labda utafunguka kidogo ujinga uliojazwa.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru umekubaliana na mimi kwamba sisi watu hatukuwa wajinga kama ulivyosema. je nikuulize bara la watu weusi ni ipi duniani?

magwanja,

Kuna philantropist mmoja kule USA ni Mmarekani Mweusi ametoa lecture kuwa watu weusi wenyewe ndio wabaguzi, usifanye nikakubaliana nae mimi, kwani katika kitabu gani Mungu amesema nimetenga bara hili la watu weusi?

Maana Wahindi walio wengi ni weusi na ndio wahindi original, Wa srilanka, Bangladeshi, Shirazis wa Iran (Kush) aborigines wa Australia, Khmer wa Cambodia wote hao ni weusi sasa wote hao utawaweka bara gani?

Unajuwa kuna watu weusi USA wanakwambiwa wao ni Americans tu sio Africans. Soma
 
Averoes,Faiza Foxy na gombesugu nafyonza ilmu mujarabu.
Ahsanteni

Mkuu,

Tangia jana nalikhis,yakua huyo jamaa Maganjwa hana ubavu wa hoja za kitaaluma...ndo maana nikamsihi hata Mkuu Averoes amwonee "huruma" japo kiduchu! Teeh! Teeh! Teeh!

Khalaf jamaa kama wa sampuli hiyo ati ndo wanajisifia ati "wamesoma" na kutia mbwembwe...huku wakieneza chuki na tashtit zao humu mitandanoni! Daah!

Karibu kijijini-Makete Mkuu Boko Haram...sisi bado tupo huku tunaendeleza zile "sera za ujamaa na kujitegema"...kama alivyotuamrisha yule "Baba wa Taifa"! Daah!

Ahsanta.
 
Wee bado hujafa tu!?...yaani unaendelea tu kuvuta hewa ya bure/kupumua humu duniani,sio!? Daah!

Weye Tanganyika waijuaje hata leo ifikie yakua ati una machungu nayo!?...nyie si ndo wale mabaki ya wakimbizi wa Banyamulenge mliopewa ukimbizi/hifadhi na yule Nyerere!...matokeo yake mnaishia humu mitandaoni kuleta chuki na akili zako za kibaguzi,sio!?

Sasa kama unadai ati mie "natukana" na ni "mbaguzi"...je hiyo ndo justification ya weye kujaribu kumteteta huyo Nguruvi3 wako...ili aendeleze ubaguzi,kutukana Wazanzibary mitandaoni na kueneza chuki dhidi yao!? Daah!

Jaribu kutumia akili/maarifa japo kiduchu khasa humu kwenye Public Forums...sisi Wananchi wa hali ya chini tuliopo vijijini tumepoteza nguvu zetu na kujitoa muhanga ili jamaa kama nyinyi mkapate Ilm bure kwa manufaa ya Taifa!

Acha/punguza kutumika na kuwa msukule jamaa yangu...jitambue na wakti ndo huu!

Salaam zao!

Ahsanta.
ww ni walewale, unadhani kila mtu kasoma bure kama ninyi mnavyosoma bure. Mimi baba yangu alinilipia ada, sijasoma bure, sijapendelewa shuleni ili kuleta uwiano.
Sijawahi azima akili yako, siongozwi kufikiri kama wewe ambaye huna mawazo huru, mbaguzi mkubwa wewe, huna hata haya unanivua uraia mtandaoni (kama kawaida yenu mkishindwa hoja mnavua watu uraia wao halali) unadhani utaweza
 
Mkuu,

Tangia jana nalikhis,yakua huyo jamaa Maganjwa hana ubavu wa hoja za kitaaluma...ndo maana nikamsihi hata Mkuu Averoes amwonee "huruma" japo kiduchu! Teeh! Teeh! Teeh!

Khalaf jamaa kama wa sampuli hiyo ati ndo wanajisifia ati "wamesoma" na kutia mbwembwe...huku wakieneza chuki na tashtit zao humu mitandanoni! Daah!

Karibu kijijini-Makete Mkuu Boko Haram...sisi bado tupo huku tunaendeleza zile "sera za ujamaa na kujitegema"...kama alivyotuamrisha yule "Baba wa Taifa"! Daah!

Ahsanta.

shida ni kwamba ukweli kuhusu sisi waafrica haujawahi kuongelewa wazi barazani ndio maana unaona kama ubaguzi wa rangi hoja yangu ni historia yetu kama watu waafrica tukiongelea sio kwamba sisi ni wabagizi.
 
magwanja,

Kuna philantropist mmoja kule USA ni Mmarekani Mweusi ametoa lecture kuwa watu weusi wenyewe ndio wabaguzi, usifanye nikakubaliana nae mimi, kwani katika kitabu gani Mungu amesema nimetenga bara hili la watu weusi?

Maana Wahindi walio wengi ni weusi na ndio wahindi original, Wa srilanka, Bangladeshi, Shirazis wa Iran (Kush) aborigines wa Australia, Khmer wa Cambodia wote hao ni weusi sasa wote hao utawaweka bara gani?

Unajuwa kuna watu weusi USA wanakwambiwa wao ni Americans tu sio Africans. Soma

Je wewe unaonaje wazungu kututangaza dunia nzima kwamba sisi waafrika hatuchangia katika ustaabu wa dunia hii ni sawa? na sisi tukianza kuwa jibu wewe unasema ubaguzi nikisema wewe umedumazwa kiakili kuona umuhimu wa kuongelea historia yako. nakuomba angalia clips hizi na fungua akili yako uelewe. Uelewa tunatofautiana sana hasa ukifundishwa uwongo ukauamini ni shida sana.
 
Last edited by a moderator:
Tafadhali acha kuwa mjinga.

Hebu pata darsa la Averoes labda utafunguka kidogo ujinga uliojazwa.

wewe si hutaki kukubali pamoja na fact niliyokuonyesha nimekuuliza swali ulitakiwa ujibu na uniconvince ili nikubaliane na wewe hujanipa hoja unawezaje kuniita mjinga.
 
Ati vile uko muungano wa kuvunjika au kuna wa kumeguka !!! Swali nipeni majibu ! sijaona lazima au faida ya huu muungano wa lazima.
Wacha kila mtu achukue zake kabla hakujaharibika zaidi.
Ikiwa Zanzibar hawaoni maslahi ya muungano kwa Tanganyika wanashikilia kuwepo kwake hiyo clearly huu muungano uko one sided.
Fikiria hiyo utakuta ndugu zetu wa kisiwani wame istukia dili.
 
Nani alokwambia Nubians are white people au Waarabu are white people. Nimekwambia kasome husikii sasa huyo ulioniewekea kwenye clip soma hapa kafundishwa nini:

Racist-ideas
As the slave trade developed, Europeans created a racist ideology which could be used to justify the trade. Africans were thought to be sub-human, uncivilised, and inferior to Europeans in every way. And as they were ‘not one of us’, they could be bought and sold. The development of racism is linked to the slave trade. The slave trade could not have continued without this ideology to justify it. Racism cannot be ignored in any study of the slave trade.

The English had equated blackness with death and evil centuries before they met any black people. Thus the first reaction to people with black skin was to assume that they were some form of devil or monster. From this, and from travellers’ tales, arose the stereotype of the African, as barbarous, prone to excessive sexual desire, lazy, untrustworthy and even cannibalistic. There were few who challenged this prejudiced view. Richard Ligon, in his book A true & exact history of the Island of Barbados, published in 1657, wrote against the popular view. He believed ‘that there are as honest, faithfull, and conscionable people amongst them, as amongst those of Europe’.

From about 1600, with the development of science in Europe, racism could be ‘proved’ scientifically. Scientists and philosophers like David Hume could state that Africans were ‘naturally inferior to the whites’. It was widely believed that Africans and Europeans had developed separately. Many, like Sir Thomas Herbert, writing in 1634, believed that Africans must be descended from apes and were part of a separate and inferior race. This was long before Charles Darwin’s theory of evolution, which showed that all humans are part of the same species. In the 18th and 19th century, many white people campaigned for an end to the slave trade and for freedom for the slaves. But few of those white people believed in racial equality, that is equality between the black and white races.

In the 19th century, racist ideologies were strengthened by ‘fake’ sciences such as phrenology. It was believed that the shape of the skull reflected the character of the person. Phrenologists applied their theory to African skulls and classified all Africans as inferior to white races intellectually, culturally and morally. Phrenology showed Africans to be unsuited to work other than that supervised by white people. In the minds of most, this justified making Africans work as slaves.

The study of teleology looked at design in nature. This allowed men to argue that Africans were, by nature, suited to hard work but not to thinking. They were, therefore, obviously made to serve white people. “The Negro in general is a born slave” wrote Sir Harry Johnston, a British colonial administrator in Africa in the 1890s.

Anthropology, the study of mankind, looked at such things as the size of the brain and the physical appearance of people. Again, anthropologists could conclude that the African was inferior to the white man, a separate species more closely related to apes than to whites.

The English naturalist, Charles Darwin, developed a theory of evolution. It suggested that Europeans were related to Africans and that all humans were related to the apes. Whilst this upset the anthropological theories about separate species, other aspects of the evolutionary theory still ‘proved’ the superiority of the white races over all others. His theory saw the Anglo-Saxons, that is, the British, at the top of the evolutionary scale. The British were at the top of the family tree of the human race, as the most ‘civilised’ race. The African, as a ‘primitive’ race, was considered childlike and unintelligent. Such ‘inferior’ races were doomed to be either ruled by or destroyed by the ‘superior’ races. Survival of the fittest was the rule in Darwin’s theory of evolution.

The belief in the superiority of the British and European races fed the expansion of the empire. The British empire grew from the idea ‘that the British were the best race to rule the world’, a view expressed by Cecil Rhodes, the colonial administrator who founded the British colony
of Rhodesia, in Central Africa (now Zimbabwe).

These ‘scientific’ theories of the inferiority of the African were generally accepted by the British public. Racism was taken for granted. For example, books by G A Henty were seen as great reads for boys. His book By Sheer Pluck: a tale of the Ashanti war was written in 1884 and probably still available in school libraries until the middle of the 20th century. The boys reading it learned that black people are ‘just like children. They are always either laughing or quarelling. They are good-natured and passionate, indolent, but will work hard for a time; clever up to a certain point, densely stupid beyond… They are absolutely without originality, absolutely without inventive power.’

Black people living in Britain, as well as those living in their own countries under European colonial rule, had to cope with this racism. Racism has been and is central to the experience of black people in Britain, over the centuries.
------
With acknowledgement to Peter Fryer and his work on the history of black people in Britain in Staying Power.

Then what!!! that is how they think about us is that true according to you? what do you want to say then?

My opinion is to refuse ideas like this with evidence and teach new ideas to our people that prove the wrong ideas like this.
 
ww ni walewale, unadhani kila mtu kasoma bure kama ninyi mnavyosoma bure. Mimi baba yangu alinilipia ada, sijasoma bure, sijapendelewa shuleni ili kuleta uwiano.
Sijawahi azima akili yako, siongozwi kufikiri kama wewe ambaye huna mawazo huru, mbaguzi mkubwa wewe, huna hata haya unanivua uraia mtandaoni (kama kawaida yenu mkishindwa hoja mnavua watu uraia wao halali) unadhani utaweza

Teeh! Teeh! Teeh!

Mkuu naona hilo suala la uraia limekuumiza mno!? Daaah! Pole sana! Teeh! Teeh! Teeh!

Mimi nafahamu yakua wewe Mkuu lazima ulisomeshwa bure ile enzi yenu ya "Mwalimu",au!?...watu kama nyinyi mbona mpo wengi tu humu-JF...na hata kufikiri kwenu pia kumeathirika kwa ile elimu ya "bure" alokupeni yule Kambarage!

Ahsanta.
 
Kwelikabisa cion umuhimu wakuwabembeleza hawa wazenji kwasababu tanganyika tunawabeba sana kivyovyote wanadai wanaweza kujiongoza so tanganyika tuwabembeleze kwa kipi hapo wanakatiba yao na wimbo wao wabunge wa bara fungukeni jamani wajukuuwenu na vitukuu watakuja kuwalilia makaburini kwenu serikali tatu ndo mpango mzima hakuna chaziada hapo watanganyika tunataka wimbo wetu kama nchi ya tanganyika na bendela yatu pia nakatibayetu nawahasa wanasiasa naviongozi mbalimbali ambao sauti zenu zinaweza kuckika kilahisi tofauti na cc watanzania cc ndotunajua watanzania nn tunataka ikisjindikana serokali tatu kuvunja muungano ni muhimu pia hayo nimaoniyangutu wanasiasa tunawategemea
 


Huyu hawajui wa znz.
Wa znz hawataki kuvunja muungano . Wanachotaka ni uhuru zaidi ili nchi yao ifaidike na mahusiano na wengine bila kubanwa na masharti ya mungano.
Wawe huru katika katika mambo kiuchumi sarafu mikopo na misaada bila ya kubanwa na masharti ya muungano.
Tumeona miaka 50 namna gani uchumi wa znz ulivo poromoka kutokana na muundo wa muungano. Mfumo wa muungano ndio sababu kubwa ya kuanguka uchumi wa znz ma bila kupata msaada wa maana kutika serikali ya mungano kujikwamua.
Wakati tanganyika ikisaidiwa kujikwamua kiuchumi toka wakati wa mwinyi mkapa na sasa kikwete mazungumzo yote na mashirika ya fedha nje kama world bank IFC au IMF
Tanzania imefanya mazungumzo na mashirika haya kwa niaba ya tanganyika na wamesaidia sana kukwamua uchumi wao kwa kupewa ushauri na fedha . Katika masharti yale tanganyika ilikubali masharti magumu ili kupata kupata misaada hio kutoka mashirika ya fedha.
masharti hayo ni kubinafsisha makampuni na mashirika ya umma,
Kufungulia njia makampuni ya nje kuwekeza
Kubinafsisha ma benki
Na kubwa zaidi ambalo ulikua ni mwiba mkali ni lazima wakubali kushusha thamani ya fedha ya Tanzania.
Kutokana na hali ngumu walokua nayo serikali ya tanganyika ndani ya muungano walikubali kuumeza mwiba huo na kukubali kushusha thamani ya shilingi .
Kabla ya masharti haya USD $ 1 =Tshs 20 tu. Hii imekwenda mpaka sasa ni shs 1630.
Na hali ya uchumi na uwezo wa SMZ wakati huo haikua mbaya ulikua mzuri tu wa kujiweza.
Serikali ya mungano kwa niaba ya mambo ya tanganyika wakapokea misaada mikubwa na mikopo baada ya kukubali masharti ya IMF na World Bank.
Nini kilitokea ? Wakati tanganyika ikifaidika na misaada hio, Zanzibar ndio mwanzo wa kuanza kuporomoka uchumi wake .wao hawakupata fidia yoyote kutokana na Tanganyika kukubali kushuka kwa Shilingi.
Bajeti yake ilianza kuharibika mfumuko wa bei ukuwa juu bei ya mafuta ukawa juu . Wakati tanganyika ikipata misaada kujikwamua zanzibar ikaachwa kufa kabisa kiuchumi.
Muundo wa sasa wa muungano hauruhusu znz kuingia katika mikataba mashauriano au kupata misada kuwa na mahusiano yoyote na mashirika ya fedha au mashirika ya kimataifa kama FAo ,Unicef,UNdp,IMF au hata Comminwealth,OIC au hata mashirika ya mahusiano na umoja wa visiwa vya Indian Ocean !!
Hivyo mfumo uliopo haufai kabisa. Utakua unafaa kama kuna nia ya kuimaliza zanzibar kiuchumi na kuifanya wawe mafukara wa kutupwa.
Nadhani sote nia yetu tunapenda kuona Tanzania bara inaendelea na kusonga mbele na pia tunapenda kuona Zanzibar nao wanaendelea kiuchumi na sio tegemezi.
Kutaka serikali 3 sio kuvunja muungano ni njia nzuri ya kuumarisha kukiwa na njia njema .
Kuwa na serikali tatu sio sababu ya kuanza kuchochea chuki, sio sababu ya Tanganyika kuwabana wazanzibari na kadhalika.
Haubadili mahusiano yetu bali kuleta mfumo mzuri zaidi utaoboresha mahusiano na uchumi wetu.
Huyu mheshimiwa ametaja kuhusu ardhi na wafanyabiashara wa znz walioko walioko bara ni kweli wa znz wapo Bara na wanafanya kazi na biashara lakini wanasaidia kujenga uchumi wa bara na sio znz. Kiserikali znz haifaidiki chochote hakuna hata anaeweka akiba yake katika benki ya znz
Na pia huyu mheshimiwa ni katika watu wa kuogopwa kama ukimwi ni mbaguzi,mchochezi ndio maana maoni yake ameleta upemba na uunguja.
Hasemi kuwa Tanzania bara walotaka serikali 3 ni 66% ila yeye ameona wapemba tu. Ni Racist mkubwa.na hawa ni katika wale ambao serikali ya muungano inapoteza fedha nyingi kuwaweka madarakani ikadhaniwa kuwa wataendelea kuulinda muungano kwa porojo na propaganda.ukweli tanganyika haihitaji kupoteza fedha kuwa na mamluki kutoka znz eti waunge mkono muungano hata kama unaizika znz na kuwafanya omba omba.vibaraka hawa wanazidisha tu ari na morari ya wa znz kuuchukia muungano.
tuufanye muungano huu uwe wa wananchi na wananchi wataupenda na wataulinda , hakutakua na sababu kwa serikali ya bara kuwalinda na kuweka vubaraka kama hawa huku ikigharamika bure.hawa wanapigania matumbo yao na ndio walio influence CCM kuweka msimamo wa serikali 2 japo kwa gharama ya 66% ya watanzania bara waliotaka serikali 3.
Serikali tatu ndio suluhisho la kupata muungano wenye nguvu zaidi.
Hata wakati wa apartheid kule afrika ya kusini walikuwapo waafrika na waliojifanya wazalendo sana lakini walikubali mfumo ule wa kibaguzi .wakakubali kuwa viongozi wa zile bantustans. Na walikubali kupewa uhuru wa hizo bantustan na kupewa "urais" mimi namfananisha huyu seif khatib na buthelezi aliepewa kaji urais wa wazuli !!!
 
wewe si hutaki kukubali pamoja na fact niliyokuonyesha nimekuuliza swali ulitakiwa ujibu na uniconvince ili nikubaliane na wewe hujanipa hoja unawezaje kuniita mjinga.

Bado hujamsoma Averoes?
 
Teeh! Teeh! Teeh!

Mkuu naona hilo suala la uraia limekuumiza mno!? Daaah! Pole sana! Teeh! Teeh! Teeh!

Mimi nafahamu yakua wewe Mkuu lazima ulisomeshwa bure ile enzi yenu ya "Mwalimu",au!?...watu kama nyinyi mbona mpo wengi tu humu-JF...na hata kufikiri kwenu pia kumeathirika kwa ile elimu ya "bure" alokupeni yule Kambarage!

Ahsanta.
Unaonesha ni jinsi gani ulivyo na unavyojifanya huelewi, ubaguzi utakuua ww. kwa kuwa wewe umesomeshwa bure kwa hiyo unaona kila mtu kasomeshwa bure, sikusomeshwa ili kupata uwiano. Ni uwezo wangu kiakili darasani ndiyo umenifikisha hapa kielimu sio kubebwa ili kupata uwiano
 
Bado hujamsoma Averoes?

ile notes za kukaririshwa nisome nini pale angeniambia nyuma ya ukuta kuna nini sawa ila habari zile tumeshazoea na ndio ambayo hatutaki na wewe ni mojawapo kati ya waliokaririshwa mpaka unaona kitu kipya ni nilichokuonyesha kichwani mwako hautaki kukifikria hata kidogo nakuomba kaa chini kidogo uiangalie kwa umakini utagungua vitu vipya kabisa.
 
Kwani kabla ya muungano zanzibar ilikua wanaishi vp? ata ukivunjika leo washindwe kujiendesha. Mimi naona znz watafaidika zaidi wakiwa nje yamuungan.angalieni miaka 20 yanyuma znz ilivokua na anagalieni tanganyika ilivokua ikisha mtapata jibu kwann wazanzibari wanalalamika. Kiufupi muungano umeuwa uchumi wa zanzibar kwaiyo wanataka nchi yao. Kama znz ni mzigo kwann tumewang'ang'ania? Tuwawache wapumue
 
Back
Top Bottom