#COVID19 Muungano wa Ulaya kurudisha mamilioni ya chanjo za COVID-19 Afrika

#COVID19 Muungano wa Ulaya kurudisha mamilioni ya chanjo za COVID-19 Afrika

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Muungano wa Ulaya utarudisha mamilioni ya dozi ya chanjo za Johnson & Johnson zilizotengenezwa Afrika Kusini katika bara la Afrika.

Mjumbe maalum wa Muungano wa Afrika Strive Masiyiwa amewambia waandishi wa habari kwamba chanjo zote zinazotengenezwa “zitabakia Afrika na kusambazwa Afrika”.

“Swala limerekebishwa na limerekebishwa kwa njia chanya ,” amesema.

Hii inafuatia ukosoaji kwamba chanjo zinasafirishwa kutoka bara la Afirka ambalo lina viwango vya chini vya uchanjaji duniani.

Chini ya asilimia 3 ya idadi ya watu wa Afrika ndio waliochanjwa chanjo dhidi ya Covid-19.

1630654054646.gif
 
Ngoja yaje yenye kudai kwanini zirudishwe? Hasa yale ya Stockholm Denmark.

Hiiiiii bagosha!
 
Daa! Hiki kitendawili cha Corona sijui kitaisha lini? Mbona chanjo nyingine hazina complications nyingine hivi?
Hata tuliochanja sasa tunakuwa doubtful!
 
Se


Sema wewe huzitaki, ila wenye akili na wanaojielewa wanazitaka na watachanjwa!
Misukule ya Gwajima hio mzee baba,hapo bado haijalishwa Unga wa lishe ndio maana unaona inaruka ruka.Ikishashiba Unga hua haisumbui tena.
 
Se


Sema wewe huzitaki, ila wenye akili na wanaojielewa wanazitaka na watachanjwa!
Hao unaowaona wana akili ndio wamezirudisha. Yani unashindwa kujiuliza swali rahisi tu kwanini wao warudishe zilizotoka Afrika ilhali Afrika zinaingia zilizotoka Ulaya? Dawa karibu zote zinazotengenezwa Afrika, hazivuki kwenda ulaya.
 
Hao unaowaona wana akili ndio wamezirudisha. Yani unashindwa kujiuliza swali rahisi tu kwanini wao warudishe zilizotoka Afrika ilhali Afrika zinaingia zilizotoka Ulaya? Dawa karibu zote zinazotengenezwa Afrika, hazivuki kwenda ulaya.
Hili swali najiuliza sana hata bidhaa zinazotoka viwandani hazifuki ulaya, America na asia wao wanataka raw materials tu these guys the don't want to do business with us the only things they want from us is to be their market.
 
Misukule ya Gwajima hio mzee baba,hapo bado haijalishwa Unga wa lishe ndio maana unaona inaruka ruka.Ikishashiba Unga hua haisumbui tena.
Nyie musubir soon mliochanjwa wote mnakua machoko.tunawatafuna kiulaini.
 
Hii issue naona sababu za kibiashara zinaingilia kati, panakuwepo na mashindano kati ya haya mataifa yanayotengeneza chanjo kununua za wengine wanaona itakuwa hasara kwa kampuni zao zinazotengeneza chanjo zao, ila kwa wasioelewa hapa watakuja kuruka ruka na wimbo wao hatuchanji.
 
Hii issue naona sababu za kibiashara zinaingilia kati, panakuwepo na mashindano kati ya haya mataifa yanayotengeneza chanjo kununua za wengine wanaona itakuwa hasara kwa kampuni zao zinazotengeneza chanjo zao, ila kwa wasioelewa hapa watakuja kuruka ruka na wimbo wao hatuchanji.
🤣👇
images (2) (10).jpeg
 
Bara la Africa mpaka sasa ndio bara ambalo limepata madhara machache sana ya Covid ukilingajisha na mabara mengine

Halafu bara hili pia ndio bara lililochanja watu wachache zaid

Bado kuna mijitu inaamini nusra ya Covid itapatikana kwny chanjo
 
Back
Top Bottom