Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 694
- Thread starter
- #21
Kwanini hakuna jipya? Ina maana CCM wanaiba matokeo kwanguvu kwa kutumia tume ya uchaguzi? Tusidhani hivyo
Swali Zuri sana.
Kama tume ya taifa ya uchaguzi ndiyo watakao hesabu kura basi hamna jipya.