Tetesi: Muungano wa Vyama 2020 CCM inaanguka

Tetesi: Muungano wa Vyama 2020 CCM inaanguka

Tayari mikakati imekwishaiva. Vyama vya upinzani bila kujali itikadi zao pamoja na Vigogo kadhaa kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM wameshajipanga kuingia Ikulu na kuangusha utawala uliopo madarakani hivi sasa.

Nimepenyezewa habari kwamba Mipango ilianza tangu mwaka 2016 na figisufigusi wanazofanyiwa baadhi ya Viongozi wa upinzani ni katika kutaka kuwadhoofisha lakini Mipango ya kuingia Ikulu 2020 na kuiangusha CCM ipo na inaratibiwa kwa usiri wa hali ya juu na baadhi ya viongozi wa CCM, Chadema, CUF ya Maalim Seif na Chauma ya Mzee Hashim Rungwe.

Tujiandae kwa mtifuano mkali 2020.
Hata wapinzani wote wakiungana bila tume huru ccm watashinda.Tatizo wapinzani hawapiganii kuwa na tume huru ya uchaguzi.Kwa kuweka makada wa ccm kuwa wakurugenzi unatarajia nini?
 
Wamebaki kumwandama Membe tu masikini ya Mungu kifo kikikuita unakuwa kama mwebdawazimu vile
 
Inategemea hao wanaounganika ni kina nani na huo muunganiko unaleta kitu gani kipya.

Kwa bahati mbaya sana wanaoungana na wale wale waliokuwa na muungano kama huo hapo awali, na bahati mbaya zaidi ni kuwa muungano wao hauleti jambo jipya, hoja zao ni zile zile.
 
Inategemea hao wanaounganika ni kina nani na huo muunganiko unaleta kitu gani kipya.

Kwa bahati mbaya sana wanaoungana na wale wale waliokuwa na muungano kama huo hapo awali, na bahati mbaya zaidi ni kuwa muungano wao hauleti jambo jipya, hoja zao ni zile zile.
2020 TUTAMWAGA POMBE,
#KAZInaBATA
 
Inategemea hao wanaounganika ni kina nani na huo muunganiko unaleta kitu gani kipya.

Kwa bahati mbaya sana wanaoungana na wale wale waliokuwa na muungano kama huo hapo awali, na bahati mbaya zaidi ni kuwa muungano wao hauleti jambo jipya, hoja zao ni zile zile.
Nimegundua wapinzani wanaogopwa sana nchi hii
 
2020 Mwaga Pombe Twende na Membe. #KazinaBata
 
Endeleeni kuleta thread kama hizi tena lkiwezekana kila dakika, najua huko hakuna kuamianiana, hivyo itamkosesha raha, itamuingizia hofu, na yeye aonje radha ya hofu anayowapa tz utafikili wako ukimbizini
 
Hahaha mzee hapati usingizi hakiyamungu
Endeleeni kuleta thread kama hizi tena lkiwezekana kila dakika, najua huko hakuna kuamianiana, hivyo itamkosesha raha, itamuingizia hofu, na yeye aonje radha ya hofu anayowapa tz utafikili wako ukimbizini
 
Ikifika June 2020, Jiwe atafanya changes za wakurugenzi pale NEC na kupachika watu kutoka TISS kama kina Kapilimba et al na mchezo utakuwa umeishia hapo. Kwa sheria za sasa za uchaguzi, ambapo eti kura zote zinaenda kuwa tallied NEC HQ na kutangazwa, hakuna namna CCM itatoka pale
 
Tayari mikakati imekwishaiva. Vyama vya upinzani bila kujali itikadi zao pamoja na Vigogo kadhaa kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM wameshajipanga kuingia Ikulu na kuangusha utawala uliopo madarakani hivi sasa.

Nimepenyezewa habari kwamba Mipango ilianza tangu mwaka 2016 na figisufigusi wanazofanyiwa baadhi ya Viongozi wa upinzani ni katika kutaka kuwadhoofisha lakini Mipango ya kuingia Ikulu 2020 na kuiangusha CCM ipo na inaratibiwa kwa usiri wa hali ya juu na baadhi ya viongozi wa CCM, Chadema, CUF ya Maalim Seif na Chauma ya Mzee Hashim Rungwe.

Tujiandae kwa mtifuano mkali 2020.
Kama Mrema na Lowasa ilishindikana mh sijui
Itakuwa ni ajabu jipya na sijui la ngapi duniani!?!?!?!?!?
 
Back
Top Bottom