Tetesi: Muungano wa Vyama 2020 CCM inaanguka

Kwanini hakuna jipya? Ina maana CCM wanaiba matokeo kwanguvu kwa kutumia tume ya uchaguzi? Tusidhani hivyo
Swali Zuri sana.
Kama tume ya taifa ya uchaguzi ndiyo watakao hesabu kura basi hamna jipya.
 
Ccm haihitaji kura zenyu ili itangazwe kuwa mshindi
 
mada kama hizi huwa nazipuuza maana najua fika 2020 CCM inashinda kwa zaidi ya 85%
True
Hizi mada ni za wavuta bangi na walevi Maana saa hizi ndio linakolea majiwendawazimu
Pathetic DNA
 
True
Hizi mada ni za wavuta bangi na walevi Maana saa hizi ndio linakolea majiwendawazimu
Pathetic DNA
Sasa nyie watu gani mnaopenda kusikia yanayowapendeza tu? Kwani kuna kosa gani taarifa hii kutolewa hapa. Inakuuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…