Muungano wetu: Ujumbe huu kwenye bango la Timu ya Taifa Zanzibar unamaanisha nini?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Timu ya Taifa ya Zanzibar maarufu kwa jina la Zanzibar Heroes imebeba bango lenye logo ya CAF likiwa na ujumbe huu;

"Zanzibar should be restored as the 55th member state. Its time now to take us seriously" ~ "Zanzibar inapaswa kurudishwa kama mwanachama wa 55. Ni wakati sasa wa kutuchukua kwa uzito"

Ujumbe huu unamaanisha nini?

 
Lucas mwashambwa njoo fasta, Zanzibar inajitenga huku. Shikilia uzi muungano huenda usuvunjike
 
Nimetumia google translation, asee imeniuma sana kuona Wazanzibar wanahitaji kutambulika kama nchi ya 55 barani Africa.
 
Nimetumia google translation, asee imeniuma sana kuona Wazanzibar wanahitaji kutambulika kama nchi ya 55 barani Africa.
Ndio maana hata katika uuzwaji wa Bandari kwa DP world, Zanzibar walikataa huo ujinga, Mzanzibari Samia akaamua kuuza Bandari za Tanganyika kwa wajomba zake... Maana anajua yeye si mtanganyika
 
Hakuna shida yoyote, ni haki Yao, kwanini wabanwe banwe!? Ma CCM, yanajua yakiruhusu zenj,iwe huru,dynasties zote zitaisha,vile vichawa vyao vidogo vya chipukizi, Vita kuwa vimelamba garasa
 
Hebu Niambie kwenye Tamko la katiba yao Mwanzoni wametaka Neno Muungano ,CCM au chochote kinachohusu Bara au Tanu..
Wametaka Only ASP na Zanzibar yao tuwaachie tu Nchi yao
 
bibi kaamua kama bwai na iwe mbwai
 
MTU AKINIAMBIA KUNA MUUNGANI HUWA SIJUI NAMUONAJE YAANI MNAFIKI FULANI KATUFANYA WATANGANYIKA WAJINGA AU KATUFANYA HATUJUI KUSOMA SASA HII HAPA NI BAADHI YA VIFUNGU VYA KATIBA..

Zanziba ni nchi kwa mujibu wa katiba yao toleo la 2010 Washajitenga Kitambo hapa ni geresha tu..


Na inaRaia au wnanchi wanaojiita waZanzibari na sio Watanzania Sasa jiulize Mtanzania ni nani??
Kuna vitu zanzibar tunafanywa kama hatujui hivi..

Ona na hapa
Na katiba nzima hakuna neno Mtanzania kuna mzanzibar..
Kumbe mtu anaweza kupoteza Uzanzibar Je anapotezaje kasome katiba yaoo๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…



Haya kiserikali wana Mahakama,Wana jaji mkuu, mwanasheria mkuu, Baraza la Mapinduzi , Bunge la Mapinduzi aka Baraza la wawakilishi,Na wana Rais..


Sasa Rais wa Zanzibar Atakuwa na mamlaka kamili ya kuamua Bila kuingiliwa na chochote wla serikali yoyote.. SOMA 52 hapo..

Cha mwisho ni kwamba KATIBA YAO INA NGUVU YA KSHERIA PIA


SASA HUU NDO MUUNGANO WA KWANZA DUNIANI AMBAPO KILA NCHI INA KATIBA YAKE NA KILA KITU CHAKE MPAKA MARAISA WAKE HATA MAREKANI HAIKO HIVO..
 
hivi wanasubiri nini hawa? kuna wakati hadi naamini wana uamsho walitakiwa waachwe tu waendelee na harakati zao. waende tu kwa amani.
 
Nimetumia google translation, asee imeniuma sana kuona Wazanzibar wanahitaji kutambulika kama nchi ya 55 barani Africa.
Kinakuuma nini wakati huo ndio ukweli.zanzibar ni nchi hizo nyingine ni siasa tu ndo maana huo muungano haueleweki kwasababu umeshikiliwa na siasa badala ya uhalisia.
 
Mbona FIFA kuna Scotland na England na wales? Wakati ni nchi moja Tu yote chini ya mfalme Charles??
 
Hivi wakisema siasa michezoni haziruhusiwi humaanisha zaidi ya hii kitu? Na Hilo Bango unaweza kuta hao wachezaji hawajui hata nani kaliandaa. But Mimi naona Wanzazibar kama kweli hawataki muungano huu ndo wakati wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ