Muuza CD/DVD za uchochezi akamatwa mkoani Simiyu

Muuza CD/DVD za uchochezi akamatwa mkoani Simiyu

Mambo mengine hayana mantiki kabisa. Miaka yote hii DVDs zimeuzwa kama nyanya, watu wamefanya makongamano nchi nzima ya kuhimiza kuua Maaskofu, Mapadre na Wachungaji. Police na Usalama wa Taifa walikuwa wapi? Hii yote ni mikakati yenu watawala ya kutaka kuislimisha nchi lakini sasa hata nyie mmejua mmekwama! Ndo mnaanza kujifanya kukamata wauza DVDs. Acheni utoto. Wenyewe mmefinance makongamano na kuyarusha kwenye TV na Radio zenu.
Now you pretend to be serious.. tumejua janja yenu .... hamtatudanganya tena... ngoja muone nguvu ya umoja wetu. Hamtaamini...
 
Mtoa mada wewe ni mmoja wao wavunjifu amani. Muuza CD ndie aliezirecord CD? Muuza CD yeye anazipatia wapi? Muuza CD hana kosa la kujibu hapo. Waifuate source ya hizo CD, na wakomeshe vitendo vya uvunjifu wa amani.
Hainingii akilini kwamba muuza CD ashikiliwe na Police wakati, waliomuua Padre,Mchungaji wako nje tu. Waliochoma makanisa wanapeta tu.
 
Mambo mengine hayana mantiki kabisa. Miaka yote hii DVDs zimeuzwa kama nyanya, watu wamefanya makongamano nchi nzima ya kuhimiza kuua Maaskofu, Mapadre na Wachungaji. Police na Usalama wa Taifa walikuwa wapi? Hii yote ni mikakati yenu watawala ya kutaka kuislimisha nchi lakini sasa hata nyie mmejua mmekwama! Ndo mnaanza kujifanya kukamata wauza DVDs. Acheni utoto. Wenyewe mmefinance makongamano na kuyarusha kwenye TV na Radio zenu.
Now you pretend to be serious.. tumejua janja yenu .... hamtatudanganya tena... ngoja muone nguvu ya umoja wetu. Hamtaamini...

Umenena sahihi mkuu, na Mungu aendelee kukupa nguvu ili kuitetea imani ya wwalio wengi.
 
Mbona huku mitaani tandika, buguruni, yombo, mbagala na manzese. Hizo cd zipo daily na vijamaa vinavyouza wamevalia kanzu chakavu na vipedo
 
wanajisumbua bureeee! Majumbani kwetu zimejaa kama njugu.
 
Mbona huku mitaani tandika, buguruni, yombo, mbagala na manzese. Hizo cd zipo daily na vijamaa vinavyouza wamevalia kanzu chakavu na vipedo

umeshachelewa kama unahitaji copy nikupe,sms already sent
 
Ma ikh'wa msitishike na matendo yao hawana cha kutufanya zaid ya jela na mauti,muogope allah pekee wala co kiumbe hvyo ikiwa yafaa kupambana na kafiri ili kusimamisha hukmu llah(qur'an)na 2pambane msiwe waoga haya n maneno 2 yasiwatishe na karibu nusra itakuja b idhni llah..
 
Back
Top Bottom