Kwani kule ni raia ka kuambia nani?Itabidi akane uraia wa uingereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kule ni raia ka kuambia nani?Itabidi akane uraia wa uingereza
Hiyo ni character assassination tu, mpaka mtu Alete ushahidi.Huyu jamaa sometimes ni TAPELI mtu wa IRNGA alimtapeli jamaa flani 25+M jamaa kamvizia alirudi kwenye msiba kwao Jamaa anamsweka ndani hadi alipolipa hela ya watu.
Sikulazimishi kuaminiHiyo ni character assassination tu, mpaka mtu Alete ushahidi.
Range Rover Vogue hizi gari ombaomba hutumia kule marekani nasikia. Hata Kiduku Lilo mfanyakazi wake anatembelea Hio Range Rover Vogues😂😂Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Hata wanaouza laptop hawauzi 10 kwa siku [emoji28][emoji28][emoji28]Gari kumi kwa siku huo ni uongo mkubwa
"Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100."Huyu Mwamba namkubali sana na namshukuru kwa kuleta ushindani hasa kwenye biashara ya magari.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa [emoji38][emoji38]
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.
WaTz tujenge mazoea ya biashara hutia, na kuachana na ushirikina.Huyu Mwamba namkubali sana na namshukuru kwa kuleta ushindani hasa kwenye biashara ya magari.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa [emoji38][emoji38]
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.
Ndo tunacho jua tu.Daaah wabongo kuchafuana.Lukosi piga kazi kanyaga twende.
Za makaratasiGari 10 Kwa siku=100 Kwa mwezi? Hesabu za wapi hizi?
Mwenyewe amesema kwenye iyo video hapo juuHata wanaouza laptop hawauzi 10 kwa siku [emoji28][emoji28][emoji28]
Labda wauza jinziHata wanaouza laptop hawauzi 10 kwa siku [emoji28][emoji28][emoji28]
Nitajie huyo mtu aliyekatapeliwa na Chriss hapa iringaHuyu jamaa sometimes ni TAPELI mtu wa IRNGA alimtapeli jamaa flani 25+M jamaa kamvizia alirudi kwenye msiba kwao Jamaa anamsweka ndani hadi alipolipa hela ya watu.
Sasa huko kwenye siasa ndio atapotea mazima.Kafungua watu akili hawezi kubaki kama monopoly wengi waleta hizo damping mda sio mrefu, yeye kinachombeba ni waminifu na kua na fair game, kitu ambacho wa bongo wengi hawana....kwa hilo ataendelea kupiga pesa ila mimi simuoni miaka mitano injao na muona katika bunge la CCM
First mover's advantage...ukiijua hii wala huwezi kuogopa kua mchezoni kwa muda mfupiMafia Business, hii kitu ataifanya kwa muda mfupi atatoka mchezoni