Muuza magari Chris Lukosi awe makini

Huyu jamaa sometimes ni TAPELI mtu wa IRNGA alimtapeli jamaa flani 25+M jamaa kamvizia alirudi kwenye msiba kwao Jamaa anamsweka ndani hadi alipolipa hela ya watu.
 
"Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100."
 
WaTz tujenge mazoea ya biashara hutia, na kuachana na ushirikina.
 
Sasa huko kwenye siasa ndio atapotea mazima.

Maisha ya kulisha machawa wa kukuletea umbea kila siku si sahihi kwa mtu ambaye tayari umeshasimama kwa miguu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…