Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Ni ujanja kwenye kutangaza biashara,Mwenyewe amesema kwenye iyo video hapo juu
Unanikumbusha Mwanajeshi mmoja afisa alinunua gari la kutembea Volvo, baada ya kustaafu kazi akawa analipaki tu.Wivu wa Nini Sasa yeye anauza used za UK Hawa wanauza used za Japan mbona biashara mbili hazifanani.
Gari za UK hata ukiuziwa Bei ya IST still Kama huna pesa utapaki tu kwa ishu ya mafuta na spare
Biashara za watumishi Huwa zinastaafu baada ya wao kustaafu.Unajikumbusha Mwanajeshi mmoja afisa alinunua gari la kutembea Volvo, baada ya kustaafu kazi akawa analipaki tu.
Mwisho aliamua kuliuza, rafiki yangu alilinunua kwa Tsh. Laki tano tu.
Linakunywa mafuta kama limetumwa vile.
upo aisee..Siyo mchezo
upo aisee..
Umejiunga na group lake la minada??Gari kumi kwa siku huo ni uongo mkubwa
Unampigia promo au sioHuyu Mwamba namkubali sana na namshukuru kwa kuleta ushindani hasa kwenye biashara ya magari.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa [emoji38][emoji38]
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.
Aliyekuelewa atusaidie na sisiHuyu jamaa sometimes ni TAPELI mtu wa IRNGA alimtapeli jamaa flani 25+M jamaa kamvizia alirudi kwenye msiba kwao Jamaa anamsweka ndani hadi alipolipa hela ya watu.
Hongera zake!Huyu Mwamba namkubali sana na namshukuru kwa kuleta ushindani hasa kwenye biashara ya magari.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa ππ
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.
One of the best interview. Safi sana Lukosi. Uko vizuri. Vijana wana mengi ya kujifunza hapaHuyu Mwamba namkubali sana na namshukuru kwa kuleta ushindani hasa kwenye biashara ya magari.
Kwenye ushindani huu ambapo angalau anauza madungu jeshi kwa bei ya kuridhisha reasonable price ukilinganisha na show rooms zingine.
Fikiria wengine walikuwa wanauza na wanauza hayo magari kama ya Lukos kwa million 90 hadi 100 lakini mwamba anakuuzia kwaanzia million 30 hadi 50.
Na kwa siku anauza magari 10 kwa mwezi 100.
Nimesikia chuki, wivu na maumivu ya baadhi ya wafanybiashara wa magari wakilalamika na kumind kichiz.
Chris awe makini. Inabidi aende songea huko kwa wangoni akatafute mganga mahiri. Mimi namshauri atoe kafara ya mbwa ππ
Kwa ushauri azidishe kuleta range rover vogue. Sports ziko za kutosha.
Namtakia kila la heri huyu Mwamba na mpambanaji Chris Lukos na mwanajamvi mwenzetu. Alikuwaga active sana jamvini 2013-2015 ex cop.