Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Cantalisa, King'asti na Husninyo................marufuku kuchangia huu uzi..................Nikiwaonaaaaaa!
Khaaaaa!hv hapa pananihusu?Asa baba,napenda kujua pale ulipojifanya bruc lii ina maana ulitaka kweli kuaplai ubruc lii bila mafunzo hayo au ulitaka kushusha mkwara ili mabaunsa wakuachie!hahahahaha!cpati picha baada ya kichapo ulivojutia ule mkwara wako lol!