Muuzaji si anajulikana………………....!

Muuzaji si anajulikana………………....!

Cantalisa, King'asti na Husninyo................marufuku kuchangia huu uzi..................Nikiwaonaaaaaa!

Khaaaaa!hv hapa pananihusu?Asa baba,napenda kujua pale ulipojifanya bruc lii ina maana ulitaka kweli kuaplai ubruc lii bila mafunzo hayo au ulitaka kushusha mkwara ili mabaunsa wakuachie!hahahahaha!cpati picha baada ya kichapo ulivojutia ule mkwara wako lol!
 
Wakwetu hata angeweka ulinzi wa mgambo wa jiji lzm ningetia maguu!jaman nyie huyu mdingi wetu ni noumer!kumbe alishawahi kuwa bruc lii!ukinionea dada angu king mwambie aje mbio mdingi kamwaga radhi huku!

hahahah! Na suruali yake ya dingris plus mwendo ka chekibob......la la laa yaani kama namuona vile dogo akijikoki enzi hizo!! King'asti hacheleweshi, sasa hivi utamuona kaibuka!
 
We endelea tu, habari yako utaipata nyumbani......................Mtoto hujui la mwadhini wala la mnadi swala!

Hahahahahaha!ila baba kwa hili ulichemka mbaya!yan ww umuone bruc lii kwenye video nawe unaipeleka maigizo yake mbele ya mabaunsa!kuna kitu hujafafanua hapo so pale ndio ulikua unamrubun huyo bint ili akikubali iweje?
 
Khaaaaa!hv hapa pananihusu?Asa baba,napenda kujua pale ulipojifanya bruc lii ina maana ulitaka kweli kuaplai ubruc lii bila mafunzo hayo au ulitaka kushusha mkwara ili mabaunsa wakuachie!hahahahaha!cpati picha baada ya kichapo ulivojutia ule mkwara wako lol!

Sasa wewe unatarajia nikujibu nini hapo................! Umbeya tu.............Mtu wa bushi atajua staili za Bruce Lee bana! ule ulikuwa ni mkwala na sikujua kuwa niko Dar
 
hahahah! Na suruali yake ya dingris plus mwendo ka chekibob......la la laa yaani kama namuona vile dogo akijikoki enzi hizo!! King'asti hacheleweshi, sasa hivi utamuona kaibuka!
Na wewe umo tu, kuupigia chapuo huu uzi......... Angalia watakuponza hawa wanangu............................
Kwani hujui kuwa nimewapiga Karantini kuchangia mada zangu humu JF.
 
hahahah! Na suruali yake ya dingris plus mwendo ka chekibob......la la laa yaani kama namuona vile dogo akijikoki enzi hizo!! King'asti hacheleweshi, sasa hivi utamuona kaibuka!

Hahahahaha!namuimajin hapo kapiga na kishati chake cha juliana kichwan ana kapero mfuko wa nyuma wa surual katundika bonge la henkachifu,mwili katipaka vile vimafuta vya yolanda ananukiaje!mdingi noumer!
 
kuna kitu hujafafanua hapo so pale ndio ulikua unamrubun huyo bint ili akikubali iweje?
Maswali yako na wewe..................Si ili niende naye kuangalia sinema ya Bruce Lee........................!
 
Hahahahaha!namuimajin hapo kapiga na kishati chake cha juliana kichwan ana kapero mfuko wa nyuma wa surual katundika bonge la henkachifu,mwili katipaka vile vimafuta vya yolanda ananukiaje!mdingi noumer!

Kwa mavazi umepatia, lakini mafuta ya Yolanda yalikuwa ni ya juzi juzi tu, enzi hizo kulikuwa na mafuta ya Lady gay bana
 
Sasa wewe unatarajia nikujibu nini hapo................! Umbeya tu.............Mtu wa bushi atajua staili za Bruce Lee bana! ule ulikuwa ni mkwala na sikujua kuwa ni Dar

Hahahahaha!pole sn babangu!mwenyewe ulijiona umepatia na kutaka kuweka heshima kwa wale mabint!kumbe unaomba kipondo lol!
 
Na wewe umo tu, kuupigia chapuo huu uzi......... Angalia watakuponza hawa wanangu............................
Kwani hujui kuwa nimewapiga Karantini kuchangia mada zangu humu JF.

Dingi mwenyewe nunda tu, sasa watoto wako ulidhani watakuwaje!! Cantalisia ashajitokeza, bado mtu mbili tu hapa zije ili nicheke kwa loud speaker kabisa! Hahahahaaaaa ivi ulishawahi msimulia mama ngina??
 
utakuwa mtunzi wa hadithi jaman mtambuz maana iz headin zako duuuh!
hahahahaha.
 
Hahahahaha!namuimajin hapo kapiga na kishati chake cha juliana kichwan ana kapero mfuko wa nyuma wa surual katundika bonge la henkachifu,mwili katipaka vile vimafuta vya yolanda ananukiaje!mdingi noumer!

hahahahahaaa.......mbavu zangu chache mie!! Ningejua kabila la mdingi wenu ningemgelezea hadi kuongea! Dah....huyu dingi nuksi kweli, uskute alikuwaga handsome wa kijiji ndo maana alijiamini sana!!
 
Hahahahaaaaa ivi ulishawahi msimulia mama ngina??

Wewe hunitakii mema, hivi naanzaje kumsimulia mama Ngina hizi Pumba ninazoweka humu........ Si nitapigwa Karantini ya naniliu kwa miezi mitatu. Mama Ngina ni mkali nyie acheni tu, jeuri yangu yote inaishia humu humu na ndio maana hawa wanae watatu humu wananiumiza kichwa.....................
 
Maswali yako na wewe..................Si ili niende naye kuangalia sinema ya Bruce Lee........................!
Hahahahahaha!!!!
Baba mbona hukuchagua wavulana lol!
Ndio maana hilo liliposhindikana uliporudi kwa mara ya pili ukamchungulia Glady na kuona UTUKUFU wake,teheeee,teheeee!
 
Kudadadeki... kweli jogoo la shamba hawiki mjini.
Unaleta karate kwa mabaunsa?? Mabaunsa dawa yao ni mawe tu, vinginevyo wanakukamua nyongo
 
hahahahahaaa.......mbavu zangu chache mie!! Ningejua kabila la mdingi wenu ningemgelezea hadi kuongea! Dah....huyu dingi nuksi kweli, uskute alikuwaga handsome wa kijiji ndo maana alijiamini sana!!
Yani hujakosea,hebu pata picha alikuwa anadundikaje akitembea!
Unajua hata siku hizi huwa anaswaga zake matata na hiyo mawan anavohangaika nayo mpaka huwa tunasema huyu mdingi enzi zake mbona mabint walimkoma!!!
Hahahaha,nashindwa kuizoea hii sred kwa kweli,
Ukinionea dada yangu husni huko mwambie mdingi kaharibu huku alafu kachimba mkwara lol!
 
Wewe hunitakii mema, hivi naanzaje kumsimulia mama Ngina hizi Pumba ninazoweka humu........ Si nitapigwa Karantini ya naniliu kwa miezi mitatu. Mama Ngina ni mkali nyie acheni tu, jeuri yangu yote inaishia humu humu na ndio maana hawa wanae watatu humu wananiumiza kichwa.....................
Kwaa kwaaa kwaaaa!
Baba hiii naifikisha km ilivo!!!!
 
Hahahahahaha!!!!
Baba mbona hukuchagua wavulana lol!
Ndio maana hilo liliposhindikana uliporudi kwa mara ya pili ukamchungulia Glady na kuona UTUKUFU wake,teheeee,teheeee!
Hivi bado unamkumbuka huyo Glady wa watu.................unajua ninamuheshimu sana huyu dada.................haki ya Mungu vile, amekuwa dada yangu wa hiyari.
 
Back
Top Bottom