Muuzaji si anajulikana………………....!

Yale mama wakati huyo mitaa hiyo yalikuwa ni akina Mama Koku..Ulikuwa ujawa checkbob nini?Pole ulikuwa bado unavaa chacha zako za plasti nini?Wakati huo lazima uwe namokasini mguuni na sunglass ndo usinigepigwa..
 
Kama vipi we mlipue tuu!!
:lol::lol:
Leo naharibu,
Unajua huwa ana stail yake tukishafika hm huwa anajidai ananipenda oohhh,mwisho wa mwezi nitakupa ile hela ya simu,akiona nimekaa na mama ananirushia jero kwenye simu yangu,
Asa leo bila msimbazi naharibu hata akinipunguzia buku!!
 
Nompongeza kaka yako kwa maamuzi MAGUMU aliyofanya kukurudisha kijijini,inaonyesha ulikuwa mhuni kweli kareti za kichina?,kulia kama paka?,kuvamia kina dada? LO! baba Ngina!!!
 


hahahaaaa haina haja ya kubadili ID.......We unajulikana tu kwa mwandiko wako!!!
Hata hivyo poa tu we niPM mi nitaihifadhi, ninatamani kweli kujua the way ulivokuwa unarusha mistari kwa mama ngina!!
 
Leo naharibu,
Unajua huwa ana stail yake tukishafika hm huwa anajidai ananipenda oohhh,mwisho wa mwezi nitakupa ile hela ya simu,akiona nimekaa na mama ananirushia jero kwenye simu yangu,
Asa leo bila msimbazi naharibu hata akinipunguzia buku!!


Leo mpaka kieleweke aisee!!!!
halafu dada zako mbona siwaoni leo.......au kesha wahonga???
 

Kwasababu imekuwa ngumu sana kutoutisha mimi nawashauli walaji siyo mbaya wakijaribisha maana anaweza mtu akawa yupo sokoni alafu ukadhania ni uvaaji wasasa hivyo kupunguza Turnover
 
huuu....!!!haaaaa....!! mastaaaaa....!!!mtambuzi raiti hiya. yu noo miii...???. mara chalii. hahahhaaaaa...!!
 
Leo mpaka kieleweke aisee!!!!
halafu dada zako mbona siwaoni leo.......au kesha wahonga???

Washakula Chapaa, unacheza na wekundu wa msimbazi.................Ni huyu Canta tu ndiye anayenipandisha presha na mikwala yae ili apate nyingi kuwazidi wenzie.................Huyu mtoto huyuuu......... Muone vile....................LOL
 

Asante kwa kunisaidia kucheka sana leo .
Enzi hizo nilikua natambaa nadhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…