Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
hahahahah!Washakula Chapaa, unacheza na wekundu wa msimbazi.................Ni huyu Canta tu ndiye anayenipandisha presha na mikwala yae ili apate nyingi kuwazidi wenzie.................Huyu mtoto huyuuu......... Muone vile....................LOL
Habari yako Ngina??
Mdomo huo mwanangu..............uliponza kichwa, na leo jioni nitakutwanga makonzi mpaka uite maji Mma.................
unikinipiga namwambia mama akunyime unyumba.
hahahahah!
Sura ka babake(mtambuzi)ongeza hela ndio niipotezeee!
Yani ni mgumu huyooo!mpaka tumbananishe kwa kutumia dhambi zake ndio anatoa!!Hivi huyu mdingi huwa anawapa kweli hela ya sinema???
Mpandishie dau wangu alafu uje unipitie namie..........si utanilipia eeh???
Mwenzangu hawa watoto hawa..................yaani najuuuta hawa watoto kuijua ID yangu,l akini hii yote ni kazi ya mama yao. kawapa ID yangu kwa ajili ya ulinzi shirikishi. kila nikitaka kuweka neno hapa nachungulia kwanza kama wapo. nikiona hawapo naweka...............lakini baada ya muda tu, utawakuta hao kama wale ndege Kwelea Kwelea wanaokula mpunga mashambani................Leo baba Ngina unaloooo......!!!
Yani ni mgumu huyooo!mpaka tumbananishe kwa kutumia dhambi zake ndio anatoa!!
Usijali wa kwetu kituo cha kwanza kwenu,then kwenye sinema.
Mwenzangu hawa watoto hawa..................yaani najuuuta hawa watoto kuijua ID yangu,l akini hii yote ni kazi ya mama yao. kawapa ID yangu kwa ajili ya ulinzi shirikishi. kila nikitaka kuweka neno hapa nachungulia kwanza kama wapo. nikiona hawapo naweka...............lakini baada ya muda tu, utawakuta hao kama wale ndege Kwelea Kwelea wanaokula mpunga mashambani................
Hahahahah!Halafu ye hajui tu......, angekuwa anawapa bila ugomvi hata msingekuwa mnamsemea!!! Nahisi anataka mtafute mafataki.....lol!!
Haina kweree mwanakwetu, zali likiitika tu we nistue!!!
yaani wewe mtoto unasema kabisa hilo neno la unyumba! hiyo maneno inaitwa 'Naniliu'
Au unaweza kusema 'aninyime utukufu'
Hahahahah!
Mafataki hapana,dawa yake ni kumletea wachumba mabaunsa!!!!!
Likitema tu utakuwa wa kwanza kupata habari.