Naomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi
Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap
Niliupata huu ugonjwa nikiwa form 6 mwaka 2008 Ilboru SECONDARY, kuna creams za kupaka, zingatia ukavu na sehemu za siri kausha ziwe kavu, koga mara kwa maraNaomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi
Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap
Kwani ni ndevu hizo..?Ukinyoa oga jikaushe then paka limao utakuwa saaafi
avae msuli tu bila kitu ndani ndio tiba yakeLimao?
Are you serious?
hii ndo ile pumbu jero ya kuwashwa ovyo?Na hili joto Kamanda bila kutoboa mifuko ya surualii au bukta hutoboi.
Usivae nguo za kubana.
Hakikisha usafi wa eneo husika ni Hi-65.
Usafi wa nguo za ndani.
Usafi wa Taulo.
Hakikisha hewa nyingi inafikia Barracks hasa ukipaka Dawa.
Hakikisha ukavu upo katika Barracks....poda za baridi
Usikune kwa kukwangua ,Tumia kitambaa/ Sponji kugusagusa.
Fungicide yoyote itaokoa wakuu.
Kanishtua,maana limao linauma kama chumviavae msuli tu bila kitu ndani ndio tiba yake
Hii ndiyo tiba yenyewe asisahau na kuoga maji ya uvugu vugu ( yasiwe baridi au moto), pia ajizuie kujikuna hata kama anahisi muwashoπFua Boksa zako zote, Kisha zipige Pasi.
Badili Boksa Asubuhi Jioni kipindi chote cha matibabu, Kila Boksa unayovaa hakikisha imenyooshwa.
Nunua Dawa hizi
Terbinafine cream , pakaa Asubuhi Jioni Kwa wiki mbili.
T.Terbinafine 500mg , meza mara Moja Kila siku usiku Kwa siku 14.
dawa ni kutovaa kitu ndani basi.. mzigo uning'inie Hadi atapo ponaKanishtua,maana limao linauma kama chumvi
hahahahahahaaa ModeratorModerator
Mnazingua sana aisee mimi siwashwi sehem za siri ni pumbu tu zinatoa kama ukurutu na kiharufu fulani hizi sasa huo muwasho mnawashwa nyie au
Ndiyo hiyo, ukicheza vibaya tu inaanza kuliwa ngozi inatoka vidonda na kuoza wakati huo ishatafuna vooz lote huku uchimbaji na kuoza kukiendelea kwa kasi .hii ndo ile pumbu jero ya kuwashwa ovyo?
AK-47 nayo inahitaji matunzo kama mbususu
DR Mambo Jambo toa ufafanuzi juu ya haya mambo mkuu
Tafuta yale mafuta ya nazi ya Tanga, uwe unapaka... yaani hizo ngozi zisiwe kavuNaomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi
Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap
Jamaa Katoa Ufafanuzi mzuri sana Lloyd Munroe kamaliza kabisa π€£π€£hii ndo ile pumbu jero ya kuwashwa ovyo?
AK-47 nayo inahitaji matunzo kama mbususu
DR Mambo Jambo toa ufafanuzi juu ya haya mambo mkuu
ππ Myahudi unazingua.Jamaa Katoa Ufafanuzi mzuri sana Lloyd Munroe kamaliza kabisa π€£π€£
Mkuu si umesema zinapukutika na kuwasha? Korodani ni sehemu za siri piaModerator
Mnazingua sana aisee mimi siwashwi sehem za siri ni pumbu tu zinatoa kama ukurutu na kiharufu fulani hizi sasa huo muwasho mnawashwa nyie au
Mkuu si umesema zinapukutika na kuwasha? Korodani ni sehemu za siri pia
Pia moderator mbona PM yangu haifunguki mpaka sasa licha ya kuomba msaada mara kadhaa imegonga mwambaMkuu si umesema zinapukutika na kuwasha? Korodani ni sehemu za siri pia
ππππππππModerator
Mnazingua sana aisee mimi siwashwi sehem za siri ni pumbu tu zinatoa kama ukurutu na kiharufu fulani hizi sasa huo muwasho mnawashwa nyie au