Muwasho sehemu za siri

Muwasho sehemu za siri

Naomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi
Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap

Pole sana.

Kwanza ni muhimu ukaenda hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi ili upatiwe matibabu sahihi.

Pili angalia ulaji wako na aina ya vyakula ambavyo unatumia mara kwa mara. Hakikisha unakuwa na mbogamboga na matunda kwa wingi kwenye milo yako ya kila siku.
Pia zingatia usafi wako wa mwili na mavazi.

Kila la kheri.
 
Naomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi
Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap
Niliupata huu ugonjwa nikiwa form 6 mwaka 2008 Ilboru SECONDARY, kuna creams za kupaka, zingatia ukavu na sehemu za siri kausha ziwe kavu, koga mara kwa mara
 
Na hili joto Kamanda bila kutoboa mifuko ya surualii au bukta hutoboi.

Usivae nguo za kubana.
Hakikisha usafi wa eneo husika ni Hi-65.
Usafi wa nguo za ndani.
Usafi wa Taulo.

Hakikisha hewa nyingi inafikia Barracks hasa ukipaka Dawa.

Hakikisha ukavu upo katika Barracks....poda za baridi
Usikune kwa kukwangua ,Tumia kitambaa/ Sponji kugusagusa.
Fungicide yoyote itaokoa wakuu.
hii ndo ile pumbu jero ya kuwashwa ovyo?

AK-47 nayo inahitaji matunzo kama mbususu

DR Mambo Jambo toa ufafanuzi juu ya haya mambo mkuu
 
Fua Boksa zako zote, Kisha zipige Pasi.

Badili Boksa Asubuhi Jioni kipindi chote cha matibabu, Kila Boksa unayovaa hakikisha imenyooshwa.

Nunua Dawa hizi

Terbinafine cream , pakaa Asubuhi Jioni Kwa wiki mbili.

T.Terbinafine 500mg , meza mara Moja Kila siku usiku Kwa siku 14.
Hii ndiyo tiba yenyewe asisahau na kuoga maji ya uvugu vugu ( yasiwe baridi au moto), pia ajizuie kujikuna hata kama anahisi muwasho🙏
 
Oga.....

Fua boksa vaa boksa iliyokauka....

Fua taulo.....

Paka mbupu mafuta maake mpk kupukutika ni kavu.....


Then tafuta dawa km previous commenters walivyo sema
 
hii ndo ile pumbu jero ya kuwashwa ovyo?

AK-47 nayo inahitaji matunzo kama mbususu

DR Mambo Jambo toa ufafanuzi juu ya haya mambo mkuu
Ndiyo hiyo, ukicheza vibaya tu inaanza kuliwa ngozi inatoka vidonda na kuoza wakati huo ishatafuna vooz lote huku uchimbaji na kuoza kukiendelea kwa kasi .

Ukizubaa inatanua wigo na kuongeza makoloni NEWS( North,East,west n south ).
 
Naomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi
Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap
Tafuta yale mafuta ya nazi ya Tanga, uwe unapaka... yaani hizo ngozi zisiwe kavu
 
Sasa ukiweka muwasho sehem za siri pekee inaondoa maana husika nakuwa kama mwanamke hao ndio wanazo sana hizi ishuu kuweka korodani/pumbu ni special sana wanaume wanajua zaidi
Mkuu si umesema zinapukutika na kuwasha? Korodani ni sehemu za siri pia

Mkuu si umesema zinapukutika na kuwasha? Korodani ni sehemu za siri pia
Pia moderator mbona PM yangu haifunguki mpaka sasa licha ya kuomba msaada mara kadhaa imegonga mwamba
 
Back
Top Bottom