Muwasho sehemu za siri

Muwasho sehemu za siri

Sasa, sikia mkuu chukua pili pili kichaa, na spirit mpaka siku Tatu na kuhakikisha! Hautapata tena fangas maisha maana fangas+spirit=fire
 
Komaaa boy,, safiii kwa Sana nakumbuka Kuna mwamba ilimkuta hiyo yeye alitumia local maji ya limao anachanganya na majivu unapaka baadae ya kujisafisha vzriii futa maji harafu unapaka hiyo kitu kutwa mara 3 ndani ya siku chache utapata majibu
 
"Nje Ya Mada"Nipasie Namba Za Huyo Bibie Aliyesababisha Hayo Kwako,,Kama Hutojali Lakini.
 
Kimsingi kuna wengi kwa Nia njema kabisa wamejaribu kuchangia kwa lengo la kukusaidia thus good. Kuna kitu naweza changia kwa mwili wa mwanadawa eneo lolote linapoanza kutoa harufu mbaya isivyo kawaida basi mwili wa mgonjwa huyo Huwa na sumu ambazo zimepelekea tatizo hilo, hivyo wapaswa kuonana na daktari akupime kwanza aone anawezaje kukusaidia. kutumia cream kwa weza saidia kwa muda na baadae kutokea tena.

Nakupa dawa ambayo inaweza kukupa nafuu au kukutibu kabisa kama utafuata kanuni za usafi na ukaacha kula junk foods na kula matunda , mbogamboga na maji angalau Lita 3 per day.
Iko hivi chukua karafuu ya punje vijiko vitatu (chakula chakula) weka kwenye maji masafi ya moto kisha subiri yapoe. Then changanya na unga wa manjano vijiko vitano kwenye maji koroga mchanganyo huo vizuri. Tumia maji hayo kujiosha angalau mara 3 kwa siku, wawezaona mabadiliko ndani ya siku tatu hivyo waweza tumia Hadi wiki (7days).
 
Kimsingi kuna wengi kwa Nia njema kabisa wamejaribu kuchangia kwa lengo la kukusaidia thus good. Kuna kitu naweza changia kwa mwili wa mwanadawa eneo lolote linapoanza kutoa harufu mbaya isivyo kawaida basi mwili wa mgonjwa huyo Huwa na sumu ambazo zimepelekea tatizo hilo, hivyo wapaswa kuonana na daktari akupime kwanza aone anawezaje kukusaidia. kutumia cream kwa weza saidia kwa muda na baadae kutokea tena.

Nakupa dawa ambayo inaweza kukupa nafuu au kukutibu kabisa kama utafuata kanuni za usafi na ukaacha kula junk foods na kula matunda , mbogamboga na maji angalau Lita 3 per day.
Iko hivi chukua karafuu ya punje vijiko vitatu (chakula chakula) weka kwenye maji masafi ya moto kisha subiri yapoe. Then changanya na unga wa manjano vijiko vitano kwenye maji koroga mchanganyo huo vizuri. Tumia maji hayo kujiosha angalau mara 3 kwa siku, wawezaona mabadiliko ndani ya siku tatu hivyo waweza tumia Hadi wiki (7days).
Barikiwa sana mkuu mchango mzuri najua ujanisanisaidia mimi tu ni jopo kubwa watu wanaumwa the same lakin waoga hawasemi na kukejeli mimi niliyefunguka.

Maana hii nazani niliambukizwa na wadada maana kwa mimi ni msafi naoga kila mara na kufua nguo vizuri matunda nakula sana mkuu.
 
Fua boxer na usivae nguo za kubana muda mrefu.

Hicho kichwa cha chini, hizo pumbu hapo chini ndio mapafu yake na hapo ndani kuna moyo na pia kumbuka umeibeba dunia ndani ya suruali yako.
Sasa kuvaa nguo inabana/boxer kwa muda mrefu unawachafulia hali ya hewa viumbe zaidi ya 1B walio na makazi hapo ndani.

So ukishachafua hali ya hewa huko ndani ya mbupu kunawaka moto kama wa Calfoni kule US, huo ukurutu unaotoka ndio majivu ya moto wa ndani.
 
Unaweza ukawa nazo nyingi lakini usafi sifuri,una zivaa kwamuda gani?,unazifua na kuanika zikauke,na unazipiga pasi kabla ya kuvaa?
Mkuu navaa siku mbili tu boxer za mazoezi ni masaa nikitoka tize nafua mkuu kwenye pasi apo ndio inshu kidg
 
Back
Top Bottom