Muwazie mpenzi wako kwa mazuri, hata kwa nusu saa tu

Muwazie mpenzi wako kwa mazuri, hata kwa nusu saa tu

Ukimuwazia mazuri unakutana sms ya ukali umemuuliza vizur tu umefika kazini anakujibu ulikuwa unatakaje embu niache

Utashindwa kumuwazia mabay
🤣🤣🤣🤭 Ila muda mwingine mapenz yanachukiza balaaa
 
Back
Top Bottom