Muwazie mpenzi wako kwa mazuri, hata kwa nusu saa tu

Ukimuwazia mazuri unakutana sms ya ukali umemuuliza vizur tu umefika kazini anakujibu ulikuwa unatakaje embu niache

Utashindwa kumuwazia mabay
🤣🤣🤣🤭 Ila muda mwingine mapenz yanachukiza balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…