Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Bado nimetulia nakusubiri [emoji12][emoji1787][emoji1787] Asante
Mnatuchanganya, tukiwa naughty naughty mnasema mnataka decent flan hivi .. tushike lipiLips zake [emoji119][emoji119]
His naughtnes [emoji30]
Weee,em niwekee mmoja hapa
Sikiliza hii nyimbo.....kidogo tu please!!!!
Sijawahi penda wanaume decentMnatuchanganya, tukiwa naughty naughty mnasema mnataka decent flan hivi .. tushike lipi
Shida ndio huwa inakuwa hapo sasa 😂 😂 😂Ukimuwazia mazuri unakutana sms ya ukali umemuuliza vizur tu umefika kazini anakujibu ulikuwa unatakaje embu niache
Utashindwa kumuwazia mabay